Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
SawA hakuna shida ukifika getini hapo we nambie maan nipo hapa kibarazani nakungojaMachine zote ziko safiii Ile ya kunyoa na ya kutuliza maumivu na kuleta Raha kwa bibi😅
SawA hakuna shida ukifika getini hapo we nambie maan nipo hapa kibarazani nakungojaMachine zote ziko safiii Ile ya kunyoa na ya kutuliza maumivu na kuleta Raha kwa bibi😅
Hahahahahabado kidogo tutakuwa kama kambare baba ndevu mama ndevu mtoto ndevu tafrani tupu...
😂😂😂Mungu ameeasikia kilio Chao Cha haki sawa.
Balaamambo yashabadilika,hata wanaume kuwa na mvi kwenye umri mdogo nayo inakuja kwa kasi
Hao watakuwa wasukuma na wangoni ndio zao
HahaVyakula vya kusindika na vipodozi vyenye kemikali za sumu pamoja na matumizi makubwa ya dawa za kuzuia mimba, kutoa mimba na kuzuia menstruation period
Hii ipo? Kwahiyo ya mwenzi haitoki kabisa au? Na mpaka lini au mpaka mtu aamue kuacha dawa?hawataki hedhi wanajipiga madawa wasivae ped,