bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Nyumba ina uwanja wa sqm 1200. Ina vyumba vi 4 na kila chumba kina makabati mpaka jikoni nyumba ipo ndani ya uzio wa ukuta kama inavyoonekana kwenye ukuta. Nyumba ina hati. Bei yake 150m. For more details call 0712464777