bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Nyumba ya kisasa inauzwa ipo MAPINGA SHULE nyumba ya kisasa YENYE idadi ya vyumba vitatu master ipo moja lakini pia kuna NYUMBA za wapangaji kwa Nyuma YANI boy kotta zenye chumba sebule x 2 pia kuna ya chumba Kimoja Chenye choo nyumba inatazama BARABARA ya mtaa Ina Uwanja wa sqmt 850 Ina hati miliki kutoka wizara ya ardhi na INAUZWA kwa Tsh 130 Milion mazungumzo yapo kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane kupitia
Whatsap & call 0712464777
Ili ujibiwe kwa haraka Tuma ujumbe mfupi whatsap
Whatsap & call 0712464777
Ili ujibiwe kwa haraka Tuma ujumbe mfupi whatsap