NJAA YAJA: Dear Mr. President, On a Serious Note...

System haifanyi kazi? Hawa jamaa wa Early Worning Systems wako wapi? Meteolorgical Argency? Kitengo cha maafa PMO?, TISS wanafanya nini? paid for nothing DCs? National granary? Ministry of agriculture, MKUKUTA, MKUZA, PADEP,ASDP afu tuwe na njaa jamani wote hao taasisi zizo plus natural resource abundancy afu tuwe na njaa jamani?

Kwa mfano Marekani, wakulima na wafugaji ambao ni asilimia isiyozidi 3 ya watu wote huko, wanalisha taifa zima, wanajaza maghala ya serikali ya chakula cha akiba na kinachobaki wanauza nje ya nchi.

Hii inawezekana huko kupitia utafiti na matumizi ya science na technologia (mfano matumizi ya mbolea, matrekta, combines, umwagiliaji, nk)

Nchi maskini kama Tanzania, asilimia zaidi ya 80 ya watu wanajishugulisha na kilimo kwenye "vibustani" na wengi wao hawajui kusoma wala kuandika.

Tunategemea nini hapo?
 
Kwa mfano Marekani, wakulima na wafugaji ambao ni asilimia isiyozidi 3 ya watu wote huko, wanalisha taifa zima, wanajaza maghala ya serikali ya chakula cha akiba na kinachobaki wanauza nje ya nchi.

Hii inawezekana huko kupitia utafiti na matumizi ya science na technologia (mfano matumizi ya mbolea, matrekta, combines, umwagiliaji, nk)

Nchi maskini kama Tanzania, asilimia zaidi ya 80 ya watu wanajishugulisha na kilimo kwenye "vibustani" na wengi wao hawajui kusoma wala kuandika.

Tunategemea nini hapo?[/QUOTE]

HAKUNA TUNACHOTEGEMEA ZAIDI YA KUENDELEA KUTESEKA NA BAA LA NJAA
 
Tunaendelea...

350,000 facing acute food shortage in K`njaro Region





comment_bubble.png

Comments





More than 350,000 people in Kilimanjaro Region are facing acute shortage of food, and require about 2,400 tonnes of relief supplies to sustain them up to February next year.
This was revealed by the regional agricultural adviser, Idda Mkamba, yesterday when speaking to members of the regional advisory committee.
She said that the food situation in the region was worse despite current government’s effort to provide 10,726 tonnes in form of relief food.
She said the 2008/2009 harvests were not enough to meet the region’s food requirements for the year 2009/2010, adding that there were at least 1,902,530 people in need of relief food.
Mkamba said at least 520,818 tonnes of carbohydrates and 52,082 tonnes of protein was required for the region in the 2009/2010 period, adding that the harvests were only 259,789 tonnes of carbohydrate and 12,550 tonnes of protein.
She said the food analysis situation was done between February and July this year by a team of specialists from the Prime Minister’s Office, Ministry of Agriculture, Food Security and Co-operatives and the regional food secretariat.
The agricultural officer said so far a total of 10,726 tonnes of relief food had been distributed to the needy, and that 402,111,463/- was used for transportation.
The escalating situation had led into hiked food prices whereby some people were not affording to make purchases. She added that the regional authorities were now educating people on the importance of serving food and on the proper use of small amounts of relief food available.
Kilimanjaro Regional Commissioner Monica Mbega said that she has ordered directors to properly supervise the exercise, and called on the farmers to improve agriculture, so as to ensure enough harvests in the coming season.
Agriculture, Food Security and Cooperatives minister Stephen Wassira was recently quoted saying that the food situation in 67 districts in the country was still critical.
He however cautioned that there was no cause for alarm because emergency supplies were being dispatched to the affected areas.
The minister said that additional efforts had been made to ensure that food relief reached the people currently facing serious shortage.
“We (government) deployed officials from the Prime Minister’s Office, Ministry of Agriculture, Food Security and Cooperatives and other relevant offices in the districts to assess the situation on the ground together with district officials,” the minister said.
He added: “All areas that need immediate attention have been reached and as I speak now, 20,000 tonnes of grain have been transported to those places.”
Commenting on the immediate demand for grain, Wassira said 56,000 tonnes of grain had been set aside for delivery to ensure that people in places with acute shortage were reached as soon as possible.
The majority of the districts facing serious food shortage are in Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Tanga, Dodoma, Lindi, Mtwara and Singida regions among others where delivery is a matter of urgency.
In June this year, Agriculture, Food Security and Co-operatives deputy minister Mathayo David told the parliament that 61 districts were at risk of facing food shortage in 2009/10, according to the food evaluation survey conducted between May and June this year.
He said the government was set to purchase 165,000 tonnes of food, including 160,000 tonnes of maize and 5,000 tonnes of sorghum. From February to July this year, the government had already distributed relief food to almost 780,000 people in several areas.
Mathayo said the country produced a total of 5,265,309 tonnes of cereals in the 2008/9 season against the demand of 6,578,508 tonnes in 2009/10.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
Tunaendelea...

350,000 facing acute food shortage in K`njaro Region


comment_bubble.png

Comments



More than 350,000 people in Kilimanjaro Region are facing acute shortage of food, and require about 2,400 tonnes of relief supplies to sustain them up to February next year.
This was revealed by the regional agricultural adviser, Idda Mkamba, yesterday when speaking to members of the regional advisory committee.
She said that the food situation in the region was worse despite current government’s effort to provide 10,726 tonnes in form of relief food.
She said the 2008/2009 harvests were not enough to meet the region’s food requirements for the year 2009/2010, adding that there were at least 1,902,530 people in need of relief food.
Mkamba said at least 520,818 tonnes of carbohydrates and 52,082 tonnes of protein was required for the region in the 2009/2010 period, adding that the harvests were only 259,789 tonnes of carbohydrate and 12,550 tonnes of protein.
She said the food analysis situation was done between February and July this year by a team of specialists from the Prime Minister’s Office, Ministry of Agriculture, Food Security and Co-operatives and the regional food secretariat.
The agricultural officer said so far a total of 10,726 tonnes of relief food had been distributed to the needy, and that 402,111,463/- was used for transportation.
The escalating situation had led into hiked food prices whereby some people were not affording to make purchases. She added that the regional authorities were now educating people on the importance of serving food and on the proper use of small amounts of relief food available.
Kilimanjaro Regional Commissioner Monica Mbega said that she has ordered directors to properly supervise the exercise, and called on the farmers to improve agriculture, so as to ensure enough harvests in the coming season.
Agriculture, Food Security and Cooperatives minister Stephen Wassira was recently quoted saying that the food situation in 67 districts in the country was still critical.
He however cautioned that there was no cause for alarm because emergency supplies were being dispatched to the affected areas.
The minister said that additional efforts had been made to ensure that food relief reached the people currently facing serious shortage.
“We (government) deployed officials from the Prime Minister’s Office, Ministry of Agriculture, Food Security and Cooperatives and other relevant offices in the districts to assess the situation on the ground together with district officials,” the minister said.
He added: “All areas that need immediate attention have been reached and as I speak now, 20,000 tonnes of grain have been transported to those places.”
Commenting on the immediate demand for grain, Wassira said 56,000 tonnes of grain had been set aside for delivery to ensure that people in places with acute shortage were reached as soon as possible.
The majority of the districts facing serious food shortage are in Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Tanga, Dodoma, Lindi, Mtwara and Singida regions among others where delivery is a matter of urgency.
In June this year, Agriculture, Food Security and Co-operatives deputy minister Mathayo David told the parliament that 61 districts were at risk of facing food shortage in 2009/10, according to the food evaluation survey conducted between May and June this year.
He said the government was set to purchase 165,000 tonnes of food, including 160,000 tonnes of maize and 5,000 tonnes of sorghum. From February to July this year, the government had already distributed relief food to almost 780,000 people in several areas.
Mathayo said the country produced a total of 5,265,309 tonnes of cereals in the 2008/9 season against the demand of 6,578,508 tonnes in 2009/10.



SOURCE: THE GUARDIAN

Naamini sasa ni wakati muafaka kama taifa tukikabidhi tatizo la NJAA Chuo Chetu Kikuu cha Kilimo (SUA) kuhakikisha wanalimaliza hili tatizo la njaa. Tuwape uwezo wa kifedha watakaohitaji tuone kitakachotokea. Wanaijua vizuri sana nchi yetu kijografia na wamefanya tafiti nyingi sana. Bila SUA kupewa uwezo na kutuongoza kivitendo, pamoja na wahitimu wake wa fani mbalimbali, tutaendelea kusubiri miujiza. Sioni tatizo la kuwapatia shilingi bilioni 100-200 kila mwaka ili wazisimamie ipasavyo na kuzitumia hasa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji na kuanzisha viwanda vya kusindika mazao.
 
Sioni tatizo la kuwapatia shilingi bilioni 100-200 kila mwaka ili wazisimamie ipasavyo na kuzitumia hasa kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji na kuanzisha viwanda vya kusindika mazao.

wakitumia bilioni moja au mbili kukarabati nyumba ya Mkuu wa Chuo tutasemaje?
 
Njaa itakayosababishwa na kunyesha kwa mvua nyingi kupita kiasi, hiyo itakuwa imesababishwa na tatizo la kijanga. Hivyo Serikali haina budi kujiandaa kwa hilo katika kuhakikisha wananchi wake hawaadhiriki kwa kupoteza maisha au kushindwa kufanya kazi zao za kila siku kwa sababu ya janga hilo la masikia.

Njaa ya ukame, hiyo mimi nitaisema inasababishwa na uzembe wetu tu. Tunayo maji kibao nchini (maziwa kama Victoria, Tanganyika, Nyasa na mangine mengi) yanayoweza kutumika kama chanzo cha maji mashambani mwetu. Mbona nchi kama Misri hazina mvua lakini wanakula vizuri tena kuzidi hata sisi?
 
Njaa itakayosababishwa na kunyesha kwa mvua nyingi kupita kiasi, hiyo itakuwa imesababishwa na tatizo la kijanga. Hivyo Serikali haina budi kujiandaa kwa hilo katika kuhakikisha wananchi wake hawaadhiriki kwa kupoteza maisha au kushindwa kufanya kazi zao za kila siku kwa sababu ya janga hilo la masikia.

Njaa ya ukame, hiyo mimi nitaisema inasababishwa na uzembe wetu tu. Tunayo maji kibao nchini (maziwa kama Victoria, Tanganyika, Nyasa na mangine mengi) yanayoweza kutumika kama chanzo cha maji mashambani mwetu. Mbona nchi kama Misri hazina mvua lakini wanakula vizuri tena kuzidi hata sisi?


. Hilo ndiyo SWALI la msingi la kujiuliza. Ila ninavyofahamu, Wanawatumia ipasavyo wataalam wao pamoja na kuufanyia kazi ipasavyo ushauri wao.
 
Habari Leo Julai 6, 2011

TANZANIA inakabiliwa na upungufu wa tani 413,740 za chakula kinachotokana na nafaka na tayari baadhi ya maeneo katika wilaya 56 yametajwa kuwa tete na yako hatarini kupoteza usalama wa chakula.

Hatari hiyo ya kupoteza usalama wa chakula, inachangiwa na hali ya ukame mbaya ulioukumba Ukanda wa Pembe ya Afrika na hasa nchi jirani na ongezeko kubwa la bei ya chakula katika miji ya Kampala, Mogadishu, Juba na Nairobi, linalochangia utoroshaji wa chakula nchini.

Kutokana na hali hiyo, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe jana alitoa kauli ya Serikali bungeni iliyopiga marufuku uuzaji wa mazao yote nje ya nchi kuanzia Julai mosi hadi Desemba 31.

Pia Serikali imefuta vibali vyote vya kusafirisha mazao ya chakula nje ya nchi vilivyokwishatolewa kuanzia Julai mosi mwaka huu mpaka itakapotangazwa vinginevyo.

Profesa Maghembe alisema uzalishaji wa chakula hasa cha nafaka kinachovunwa sasa nchi nzima, unatarajiwa kufikia tani milioni 6.78 wakati mahitaji ni tani milioni 7.2 na hivyo kuwa na upungufu wa tani 413,740 za nafaka.

"Wananchi wengi hutumia zaidi vyakula vya nafaka, hivyo ni dhahiri kuwa upungufu wa nafaka unaashiria upungufu wa chakula nchini," alisema Profesa Maghembe.

Mbali na upungufu huo, Profesa Maghembe alisema uhaba mkubwa wa chakula nje ya nchi na ongezeko la bei ya chakula hicho, umechangia kuhatarisha zaidi hali ya chakula ndiyo maana Serikali ikazuia usafirishaji wake.

"Bei ya wastani ya mahindi nchini kwa Juni 6 kwa kilo ni Sh 440 ... bei za juu zaidi zimeripotiwa Kampala, Mogadishu, Juba na Nairobi ambako kwa ujumla zimepanda kwa asilimia 120.

"Kwa mfano, katika soko la Nairobi bei ya mahindi imepanda kutoka dola 215 kwa tani au Sh 323 za Kitanzania kwa kilo Aprili mwaka huu hadi dola 465 kwa tani au Sh 744 za Kitanzania kwa kilo Juni mwaka huu," alisema Profesa Maghembe.

Hali mbaya zaidi inatokana na nchi nyingi zinazopakana na Tanzania na nyingine za jirani kutarajiwa kukabiliana na hali mbaya ya chakula kutokana na ukame na vita ya wenyewe kwa wenyewe, ambazo ni Burundi, Kenya, Uganda, Msumbiji, Kongo DRC, Sudan Kusini na Madagascar.

Hata hivyo, Serikali imebainisha kuwa Tanzania ina ziada ya mazao yasiyo ya nafaka tani 1,725,143 kutokana na uzalishaji mzuri wa mazao hayo kama viazi, muhogo, ndizi na mengineyo.

Profesa Maghembe alisema uzalishaji wa mazao hayo umefikia tani milioni 6.02 wakati mahitaji ni tani milioni 4.29.

Maeneo tete kwa ukosefu wa chakula ni katika wilaya nane za Shinyanga, Arusha (7), Mwanza (6), Kilimanjaro (5), Manyara (4), Mara (4), Tabora (4), Dar es Salaam (3), Singida (3), Pwani (2), Dodoma (2), Iringa (2), Kagera (2), Mbeya (2), Mtwara na Tanga moja moja. Mikoa ambayo haina maeneo tete ni Kigoma, Lindi, Morogoro, Rukwa na Ruvuma.
 
Kwa muda wa miaka mitatu nimekuwa nikifuatilia hili suala la njaa na katika thread hii unaweza kufuatilia. Hakuna jambo ambalo linatokea leo ambalo tunaweza kusema kuwa hatukujua. Niliwahi kusema "taifa lisilojiandaa kwa majanga, limejiandaa kwa maafa"
 
nimejaribu kuelezea lakini sidhani kama umesoma nilichosema.
Tatizo la wengi hapa JF wakiona thread si ya ufisadi au kibaya juu ya CCM na watu wake wanaona haina mishiko, hivyo basi kabla hajamaliza kusoma kilichoandikwa anaanza kuchangia hoja, na hivyo hujikuta akiuliza maswali ambayo yamo kwenye thread, ila yeye hakuyaona kwa kuwa hakusoma hadi mwisho
 
Baada ya njaa ya mwaka 1974, Nyerere aliznzisha mpango wa kutunza nafaka za ziada kwa ajili ya dharura kitaifa, lakini baadaye watawala wanadai Nyerere aliharibu kila jambo wakati wao wenyewe hawana mkakati wowote.
 
Baada ya njaa ya mwaka 1974, Nyerere aliznzisha mpango wa kutunza nafaka za ziada kwa ajili ya dharura kitaifa, lakini baadaye watawala wanadai Nyerere aliharibu kila jambo wakati wao wenyewe hawana mkakati wowote.

Mzee mwenzangu, ukifikiria sana lazima ujiulize, watu wanaolalamika kuwa wakati wa Mwalimu watu walikufa "njaa" hawasimami kujiuliza mbona njaa imezidi mwaka huu, tuna wilaya 56 zenye tatizo la njaa - kwa mujibu wa taarifa ya leo. Tanzania tuna wilaya 127!! Hii ina maana ya kwamba karibu nusu ya wilaya zote nchini zina matatizo ya upungufu wa chakula. Really? na hakuna watu wenye kukasirika? Au watu wanafikirai wanavyokula Dar ndivyo ilivyo nchi nzima?
 
Wakati kuna njaa, nusu ya Tanzania inakufa njaa wakati wengine wanavyo vya kubadilisha what do we do? Tuwaache wachague mchele wa Kyela au wa India, tuache wenye fedha wale wanavyotaka huku mamilioni hawana hata cha kunywa? or what do we do? Je, matajiri na wenye uwezo wako tayari kujikuta wanapangiwa vitu vya kula? Je, kuna uwezekano wa kuanza tena kwa food hoarding ambacho kitasababisha ulanguzi?
 
Back
Top Bottom