Nisaidieni kazi yoyote halali

Hoody2

Member
May 10, 2024
38
39
Habiri wanaJF,

Mimi ni kijana wa kiume umri22, nilihitimu form 6 mwaka jana lakini sikufanikiwa kwenda chuo kwa sababu za kiuchumi.

LENGO: Tafadhali naombeni mnisaidie kazi yoyote halali kama ni kulima, kuuza duka n.K, niweze kujikwamua.

Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom