Nini tatizo la mwanaume kuzimia akifanya mapenzi?

Hi wadau,

Nimezoea kusikia wadada huwa wanatabia ya kuzimia kwenye show akimpata mwanaume wa ukweli na kama ana kiu ya muda mrefu.

Juzi kati yalimkuta rafiki hayo ya kuzimia akipiga show mechi ya kirafiki katika uwanja wa ugenini.

Huyu rafiki yangu japo ameoa lakini kwa kucheza friends mechi hajambo. Na kila akitoka mechi lazima anipashe ooo pale nilipiga hat trik ooo uwanja ulikuwa safi ooo alipata upinzani mkali hiyo mechi. Yaani hanifichi kitu.

Sasa wiki iliyopita kaenda kucheza mechi ya ugenini ya kujipima nguvu. Aliyekutana naye siku hiyo sijui ni wa aina gani maana cha moto alikipata. Jamaa kwenda kupiga mechi ile kupiga goli la kwanza si akazimia kuanzia sana nane mchana hadi kuja kuzinduka ni saa tatu usiku na demu kashasepa kitambo. Ila bahati nzuri hakuna chake kilichoibwa.

Jamaa kushtuka akaanza kutetemeka na jasho kwa wingi. Yaani alivyonisimulia ameapa hatakaa arudie ujinga huo.

Napenda kujua kwa wadau tatizo nini hasa hadi mwanaume apatwe na hali hii maana mmmmh kesho inaweza kuwa kwako.

Karibuni.
Nitazungumzia suala hili kwa aina mbili;
1. Idealism idea: Ni adhabu toka kwa Allah kutokana na uzinzi/uasherati alio ufanya, warning alert for the red light deem change and and watch out never repeat another time other wise may si mbali be singing for you.

2. Materialism: Huenda khali ile imesababishwa na Hyper tension BP ambapo msukumo wa damu ulikuwa mkubwa sana kutokana na tough game ambapo moyo ulishindwa kufanya kazi kama kawaida yake.
Udhaifu wa mwili kutokana na poor diet taken before ngono hiyo ambapo mwili huitaji au hutumia energy an calories nyingi za mwili na wakati huo huenda jamaa kashindia maji tu, hivyo mwili hukosa lishe na kuwa dhaifu....hatimaye kuhisi kizunguzungu na kuwa Faint.Pia Diabetes
(Kisukari husababisha hilo).Ni kwa ufupi tu...
My Take Now na ni nini kifanyike?NIna shauri yafuatayo;

1. Tuachane na Ngono uzembe.
2. Unapofanya tendo hilo kwa wana ndoa jipange vema na kuwa na maandalizi mazuri na siyo ya zima moto maana utazima wewe.
3. Mlo bora huitajika kwa wana ndoa mara kwa mara maana hupoteza virutubisho (hasa Proteins) vingi wakati wa Tendo la ndoa...n.k.n.k
 
Hi wadau,

Nimezoea kusikia wadada huwa wanatabia ya kuzimia kwenye show akimpata mwanaume wa ukweli na kama ana kiu ya muda mrefu.

Juzi kati yalimkuta rafiki hayo ya kuzimia akipiga show mechi ya kirafiki katika uwanja wa ugenini.

Huyu rafiki yangu japo ameoa lakini kwa kucheza friends mechi hajambo. Na kila akitoka mechi lazima anipashe ooo pale nilipiga hat trik ooo uwanja ulikuwa safi ooo alipata upinzani mkali hiyo mechi. Yaani hanifichi kitu.

Sasa wiki iliyopita kaenda kucheza mechi ya ugenini ya kujipima nguvu. Aliyekutana naye siku hiyo sijui ni wa aina gani maana cha moto alikipata. Jamaa kwenda kupiga mechi ile kupiga goli la kwanza si akazimia kuanzia sana nane mchana hadi kuja kuzinduka ni saa tatu usiku na demu kashasepa kitambo. Ila bahati nzuri hakuna chake kilichoibwa.

Jamaa kushtuka akaanza kutetemeka na jasho kwa wingi. Yaani alivyonisimulia ameapa hatakaa arudie ujinga huo.

Napenda kujua kwa wadau tatizo nini hasa hadi mwanaume apatwe na hali hii maana mmmmh kesho inaweza kuwa kwako.

Karibuni.
Nitazungumzia suala hili kwa aina mbili;
1. Idealism idea: Ni adhabu toka kwa Allah kutokana na uzinzi/uasherati alio ufanya, warning alert for the red light deem change and and watch out never repeat another time other wise may si mbali be singing for you.

2. Materialism: Huenda khali ile imesababishwa na Hyper tension BP ambapo msukumo wa damu ulikuwa mkubwa sana kutokana na tough game ambapo moyo ulishindwa kufanya kazi kama kawaida yake.
Udhaifu wa mwili kutokana na poor diet taken before ngono hiyo ambapo mwili huitaji au hutumia energy an calories nyingi za mwili na wakati huo huenda jamaa kashindia maji tu, hivyo mwili hukosa lishe na kuwa dhaifu....hatimaye kuhisi kizunguzungu na kuwa Faint.Pia Diabetes
(Kisukari husababisha hilo).Ni kwa ufupi tu...
My Take Now na ni nini kifanyike?NIna shauri yafuatayo;

1. Tuachane na Ngono uzembe na kumcha Mola atuepushe na Dhambi hizi na nyinginezo.
2. Unapofanya tendo hilo kwa wana ndoa jipange vema na kuwa na maandalizi mazuri na siyo ya zima moto maana utazima wewe.
3. Mlo bora huitajika kwa wana ndoa mara kwa mara maana hupoteza virutubisho (hasa Proteins) vingi wakati wa Tendo la ndoa...n.k.n.k
 
kilimanjaro maeneo ya rombo
yele uwiiiiiii, kiruuuuu, ote, au alikuwa Mkenya alikuja Rombo kutoa service kwa wale akina mama waliokuwa wanalalamika kuwa wanaume wanalewa sana gongo kiasi kwamba hawapati unyumba!!!!!
 
Aende akapime magonjwa ya moyo inawezekana ana shinikizo la damu na kama ni mtu ambaye hafanyi mazoezi na akakutana na mtu mpya na kuamua kufanya kwa nguvu zote mara nyingi inaleta tatizo la shinikizo la damu. Pia kutumia pombe au madawa ya kuongeza nguvu husababisha shinikizo la damu katika tendo. Unaposikia watu haswa wanaume wamekufa guest mara nyingi ni shinikizo la damu
 
Hi wadau,

Nimezoea kusikia wadada huwa wanatabia ya kuzimia kwenye show akimpata mwanaume wa ukweli na kama ana kiu ya muda mrefu.

Juzi kati yalimkuta rafiki hayo ya kuzimia akipiga show mechi ya kirafiki katika uwanja wa ugenini.

Huyu rafiki yangu japo ameoa lakini kwa kucheza friends mechi hajambo. Na kila akitoka mechi lazima anipashe ooo pale nilipiga hat trik ooo uwanja ulikuwa safi ooo alipata upinzani mkali hiyo mechi. Yaani hanifichi kitu.

Sasa wiki iliyopita kaenda kucheza mechi ya ugenini ya kujipima nguvu. Aliyekutana naye siku hiyo sijui ni wa aina gani maana cha moto alikipata. Jamaa kwenda kupiga mechi ile kupiga goli la kwanza si akazimia kuanzia sana nane mchana hadi kuja kuzinduka ni saa tatu usiku na demu kashasepa kitambo. Ila bahati nzuri hakuna chake kilichoibwa.

Jamaa kushtuka akaanza kutetemeka na jasho kwa wingi. Yaani alivyonisimulia ameapa hatakaa arudie ujinga huo.

Napenda kujua kwa wadau tatizo nini hasa hadi mwanaume apatwe na hali hii maana mmmmh kesho inaweza kuwa kwako.

Karibuni.
Mimi ndo nataka show zakibabe kama izo
 
Mambo ni mengi mno hapo yawezekana alipelekwa puta mpaka kukatokea mgogoro wa mapigo ya moyo na mwendo kasi wa tukio hadi jamaa aka-collapse ila kuna mademu wengine wamefanyiwa mazindiko ya namna tofauti sana mwingine ukigusa una nata( Hawa ndiyo wale unashauriwa kutest na kidole kwanza ili kikinata unakikatia huko then unasepa) Ila wengine ukishiriki naye tu inapelekea hadi kupoteza maisha kabisa ...

hahahahahaaaaa... mkuu hapo umemaliza,,, unakikata unamuachia akahangaike nacho mbele kwa mbele...hahahahaaa
 
Mambo ni mengi mno hapo yawezekana alipelekwa puta mpaka kukatokea mgogoro wa mapigo ya moyo na mwendo kasi wa tukio hadi jamaa aka-collapse ila kuna mademu wengine wamefanyiwa mazindiko ya namna tofauti sana mwingine ukigusa una nata( Hawa ndiyo wale unashauriwa kutest na kidole kwanza ili kikinata unakikatia huko then unasepa) Ila wengine ukishiriki naye tu inapelekea hadi kupoteza maisha kabisa ...
Hahaha
 
Back
Top Bottom