JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,195
Hao wakiwezeshwa kuachana na kanda2 wanaweza kuanza kuuza product zao.Wengine wanahamisha receiver na transmitter za simu kwenye kandambili alafu wanasema wamegundua simu
Hao wakiwezeshwa kuachana na kanda2 wanaweza kuanza kuuza product zao.Wengine wanahamisha receiver na transmitter za simu kwenye kandambili alafu wanasema wamegundua simu
How kama kila kitu wanahamisha toka kwenye simuHao wakiwezeshwa kuachana na kanda2 wanaweza kuanza kuuza product zao.
Duh, Tanzania ya viwanda itakuja vipi!? Kama tutakandamizana hivi kaka! Bila ubunifu tutafika wapi!?ni wazo zuri... hii concept ya free energy yaani watu watumie bila kulipia alikuja nayo Nicolai Tesla miaka mingi iliyopita.. unajua ni nini kilimpata!!? Maabara na workshop zake zilivunjwa na kupigwa kiberiti na vifaa muhimu alivyokuwa anatumia vikachukuliwa na serikali ya US na ndoto zake zikazima hapo. Sasa bwana wewe acha kufafuta troubles na wafanyabiashara i.e TANESCO/SERIKAL