Mr.mtui usiropoke! usilojua ni sawa na Giza! Unafikiria nitafanya vipi mpaka umeme uwake kwa mawazo yako? Mpaka unikatalie ili hali mpaka sasa upo gizani hujui lolote kuhusu wazo langu zaidi ya Chuma!.Kutengeneza umeme kutumia chuma... Na wasiwasi...then endless mana yake nn as iknow if utatumia chuma basi chuma kitaisha with time sasa hyo endless inamaana gani
Asante nitakutafuta rafiki una umuhimu sana.unipe tenda ya designing and assembling mkuu!
Maisha yanagonga kichizi.
Nikifafanua kila mtu ataelewa ninachotaka kufanya mzeesource ya kufua umeme kwa kutumia chuma? mkuu unaweza fafanua kidogo.
haya bhana kila la kheri unaweza ukawa TESLA wa tanzania na ukabadili taswira ya ulimwengu.Nikifafanua kila mtu ataelewa ninachotaka kufanya mzee
Nakutafuta ndugu.Upo WAP,nichek kwa0622376943
Unamtiaje moyo mtu kaja na wazo jepesi namna hii aise?Duh sie tz tuna shida kweli, badala ya kumtia moyo upo kwenye kukosoa tu
Alexander bell angekuletea wazo lake mwaka 1900 ungemwelewa kweli? Au ungemuona chizi?Unamtiaje moyo mtu kaja na wazo jepesi namna hii aise?
Nmeshakutana na watu kama nyie wengi but fshida kubwa inakuja kwenys implementations.. Kuna jamaa nilikutana naye alisema anatakantengeneza genereta ya kutumia maji badala ya mafuta nilimsikiliza but shida ikaja kwenye implementation.... Cha kukushauri tengeneza modo ndogo ambayo sidhan kama itakucost sana... Then hyo modo itumie kwenye kujitangaza am sure hyo modal ukiipeleka wizara ya nishati watakupa tenda hapo hapo...Mr.mtui usiropoke! usilojua ni sawa na Giza! Unafikiria nitafanya vipi mpaka umeme uwake kwa mawazo yako? Mpaka unikatalie ili hali mpaka sasa upo gizani hujui lolote kuhusu wazo langu zaidi ya Chuma!.
Uko mkoa au jiji gani mkuu?Asante tuwasiliane.
Kwanza aeleze kama ana ujuzi na masuala ya umeme. Halafu atoe pia mkakati wa namna hiyo kitu itakavyotulipa. 1.5 ni pesa ndefu business model ya hiyo mashine yake ni complex kiasi, ikilinganishwa technology ya solar ambayo hata maskini anaimudu. Kuna solar kits zinauzwa around tsh 10000/-, hiyo ya 1.5m kupata wateja itabidi kusugua kichwa.Tuchange tumpe
Sina wazo hilo mzee.1.First law of thermodynamics Energy in equals energy out- rules out creation of a perpetual motion machine.
2.Second law of thermodynamics it is impossible to create a machine that is hundred percent efficient.
Ushauri usipoteze muda wako bure.
Nipo dar es salamUko mkoa au jiji gani mkuu?
Poa mkuu, kila kheri mm niko mbeya nadhani umbali unaweza kuwa shida kidogo kwenye ushirikianoNipo dar es salam