Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,047
- 42,045
Muambia asome apunguze bata.mwaka masomo kumi ni dogo langu yaani sijui kama atatoboa ifm banking and finance
Muambia asome apunguze bata.mwaka masomo kumi ni dogo langu yaani sijui kama atatoboa ifm banking and finance
Hapana,fuatilia ndio utaratibu uko hivyo hadi sasaItakuwa umesoma hapo enzi za 1990s
Sent from my
Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
fuatilia kwa sasa bado utaratibu ni huo huo pass mark ni 50%
,,, umecomment kikatili Sana mkuu, jamaa anataka msaada.Kama ni kweli basi wewe ni mpumbavu sana.... chuo ulienda kufanya nini? Mimi nadhani fikiria maisha mapya... chuo hakikufai
,,, Nyieeeeeeeee.Kwanza ukatakiwa uwe umeshavaa pingu unaenda segerea nyumbu mkubwa. Sapu tisa na bado uko hai!?
Sup 9 ina maana jamaa hayawezi hayo masomo au hajali shule yuko bize na mambo ya nje ya shule. ACHAGUE MOJA.,,, umecomment kikatili Sana mkuu, jamaa anataka msaada.