kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,015
- 19,083
Vyuo gani hivyo?Kuna vyuo mpaka B ni sup sijui wanaangalia nini? Elimu ya kibongo hii
Vyuo gani hivyo?Kuna vyuo mpaka B ni sup sijui wanaangalia nini? Elimu ya kibongo hii
SuaVyuo gani hivyo?
Sua mbona B sio supp?
Huyu mnunulieni shamba,shule hamna hapoNina sapp nne 4 semester 1 na 5 second semester.
Je, kunauwezekano wa kuchomoa?
Unasoma hapo?Sua mbona B sio supp?
🤣Usikute huyu mpuuzi anataka tuijadili zion college
Hizo zinaitwa direct supp MkuuKuna vyuo mpaka B ni sup sijui wanaangalia nini? Elimu ya kibongo hii
Swali lako gumu Sana.Nina sapp nne 4 semester 1 na 5 second semester.
Je, kunauwezekano wa kuchomoa?
Labda anazungumzia C ya O-level(ya zamani). Kuanzia ( 41- 60), labda Kuna baadhi ya vyuo pass mark yao ni 50+( Sasa ukipata 41-49 ni C, lakini hujafikia pass mark). Na Kuna baadhi ya vyuo pass mark yao ni 40+( sijui kama imebadilika siku hizi).Hivi C huwa ni supp mkuu?au wewe hujasomea Tanzania?
Disco iyo!! Tafuta boda boda ya mkataba elimu ishakushinda.
Ufafanuzi pleaseHizo zinaitwa direct supp Mkuu
Mkuu usipotoshe SUA mwanafunzi kuwa na supp/probabtion ni akipata chini ya 50% na kwa utaratibu wa SUA 50% ni C sio B!Unasoma hapo?
Duuuh chuo gani hicho aseee 🤔 nusu ya supMzee usipanic kwanza,ongea na uongozi wa chuo ,ila kwenye system ukidisco si inaonesha?Kwa chuo nilichosoma, nusu ya sup Kwa semister Moja tuu ,umedisco.
Ooza mamdenyi 😊😉Mmmh mmh
Umenikumbusha tamasha la UPENDO,IMANI, MIUJIZANina sapp nne 4 semester 1 na 5 second semester.
Je, kunauwezekano wa kuchomoa?
Itakuwa umesoma hapo enzi za 1990sMkuu usipotoshe SUA mwanafunzi kuwa na supp/probabtion ni akipata chini ya 50% na kwa utaratibu wa SUA 50% ni C sio B!