Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

acha ulevi na uzinzi ndio suluhisho, hayo mambo ya kutafuta sijui inatengeneza usugu wa nini na nini ni kujisumbua, mwisho wa siku mwanakulifind mwana kuliget
Ushauri mzuri, mimi sio kwamba nataka kufahamu hilo ili niendelee na mtindo hatarishi, nauliza tu ili kupata peace of mind basi...
 
bahati mbaya kwenye uzinzi ikiwa mara nyingi Huwa inabadilika inakuwa makusudi!

Nafikiri tatizo ni pombe na uzinzi ,ukiacha hivi PEP utaisoma jf,acha pombe, ukiacha pombe ,uzinifu utabaki kwenye gari la pombe na wewe utakuwa umeshuka kusubili gari lingine
Kweli kaka... ushauri mzuri sana, nataka tu kujua kwa kipindi nilichotumia kama sijapata changamoto yoyote kama usugu n.k
 
Kwakweli tunatofautiana sana. Yaani kuna vitu kama PEP kuna wengine hata hatuviwazi wala kujadili ila kuna wengine vinapelekea hata kuwapa depression. Pole mkuu.
 
Hivi kumbe ukimwi upo na kunawatu mnawaza ukimwi khaaa ama kweli uzito wa jambo upo kwenye ufahamu wako kwa mimi sijawah kuamin kama kunaukimwi sijawai kutumia kondom na nimetembea na wanawake wenye ukimwi kuribu 22 na kupima mpaka mkewangu awe na ujauzito na sitaki kupima mwaka wa 25 huu toka nianze ngono na sina dalil yoyote nb:usimbake mwandae utakuja nishukuru
 
Back
Top Bottom