Nimetumia dawa za PEP mara nne kwa vipindi tofauti tofauti, nina wasiwasi nimetumia mara nyingi sana

Jan 22, 2020
27
35
Kutokana na mtindo wa maisha niliokua nao (ulevi) nilijikuta kwenye hatari ya kupata maambukizi ya VVU mara nne baada ya kufanya ngono zembe au kupata ajali ya kinga kupasuka etc. Kila baada ya kupata ajali nilikua nakimbilia dawa za PEP, sasa mara ya mwisho kuna mhudumu aliniambia dawa za PEP sio nzuri kutumia mara kwa mara kwa sababu zinaweza kukujengea usugu au kuzoea mwili, hii ikanijengea hofu kwamba kwa sababu nimeshazitumia huko nyuma what if nikipata risk nyingine siku za mbeleni je dawa za PEP zitanisaidia?

Je, dawa za PEP zina limit ya matumizi? Naomba ushauri wa kitaalamu maana nimejikuta nawaza sana mpaka napata depression. Natanguliza shukrani...🙏
 
Kutokana na mtindo wa maisha niliokua nao (ulevi) nilijikuta kwenye hatari ya kupata maambukizi ya VVU mara nne baada ya kufanya ngono zembe au kupata ajali ya kinga kupasuka etc. Kila baada ya kupata ajali nilikua nakimbilia dawa za PEP, sasa mara ya mwisho kuna mhudumu aliniambia dawa za PEP sio nzuri kutumia mara kwa mara kwa sababu zinaweza kukujengea usugu au kuzoea mwili, hii ikanijengea hofu kwamba kwa sababu nimeshazitumia huko nyuma what if nikipata risk nyingine siku za mbeleni je dawa za PEP zitanisaidia?

Je, dawa za PEP zina limit ya matumizi? Naomba ushauri wa kitaalamu maana nimejikuta nawaza sana mpaka napata depression. Natanguliza shukrani...🙏

Quote
 
Nitafanya hivyo what if nikiwa exposed kwenye risk kwa bahati mbaya, dawa za PEP zitanisaidia bila kujali nimeshatumia mara nyingi kabla?
bahati mbaya kwenye uzinzi ikiwa mara nyingi Huwa inabadilika inakuwa makusudi!

Nafikiri tatizo ni pombe na uzinzi ,ukiacha hivi PEP utaisoma jf,acha pombe, ukiacha pombe ,uzinifu utabaki kwenye gari la pombe na wewe utakuwa umeshuka kusubili gari lingine
 
bahati mbaya kwenye uzinzi ikiwa mara nyingi Huwa inabadilika inakuwa makusudi!

Nafikiri tatizo ni pombe na uzinzi ,ukiacha hivi PEP utaisoma jf,acha pombe, ukiacha pombe ,uzinifu utabaki kwenye gari la pombe na wewe utakuwa umeshuka kusubili gari lingine
Ushauri mzuri sana, nimeamua kuacha pombe lakini kuna risk ambazo ni bahati mbaya kama kujichoma sindano n.k je nikipata risk kama hizi PEP itaweza kunisaidia bila kujali historia yangu ya nyuma?
 
Kutokana na mtindo wa maisha niliokua nao (ulevi) nilijikuta kwenye hatari ya kupata maambukizi ya VVU mara nne baada ya kufanya ngono zembe au kupata ajali ya kinga kupasuka etc. Kila baada ya kupata ajali nilikua nakimbilia dawa za PEP, sasa mara ya mwisho kuna mhudumu aliniambia dawa za PEP sio nzuri kutumia mara kwa mara kwa sababu zinaweza kukujengea usugu au kuzoea mwili, hii ikanijengea hofu kwamba kwa sababu nimeshazitumia huko nyuma what if nikipata risk nyingine siku za mbeleni je dawa za PEP zitanisaidia?

Je, dawa za PEP zina limit ya matumizi? Naomba ushauri wa kitaalamu maana nimejikuta nawaza sana mpaka napata depression. Natanguliza shukrani...🙏

Quote
Kinga ilipasuka ukiwa unafanywa mapenzi kinyume na maumbile yako? Acha ulevi
 
Back
Top Bottom