Nimetoka kumzika mshauri wangu wa afya alieniambia nitakufa muda mfupi kwa kumix energy drink na K Vant

Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
INaonyesha una uwezo mdogo sana wa Akili.
Unapolekea utakuwa Upinde alafu useme usiingiliwe maisha yako ndio yanayokupa furaha.
Kuwa na akili K vant na Energy sio nzuri kwa afya yako acha ubishi.
 
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.

Soma Mara ulichoandika usipojiona nipumbavu, then ujue waitaji msaada wa afya ya akili
 
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
Aliyefariki alifanya dhambi kubwa kukueleza madhara ya vinywaji vyako, hivyo unaona ni haki yake kufariki kama adhabu kwa alichokueleza? Andiko hili ni dhihaka na chuki kuu.
 
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
Bahati nzuri ni kuwa unaweza usife haraka baada ya madhara ya huo mchanganyiko, lakini ukateseka muda mrwfu. Magonjwa ya figo, ini, moyo na viungo sensitive kwenye nwili wa binadamu hayaui kwa kuugua siku moja ama mwezi. Unaweza kuteseka na maumivu yake hata miaka miwili au zaidi.

Ushauri wangu: endelea kumwagilia moyo kwakuwa baada ya kifo cha mshauri wako wa afya, afya yako itazidi kuimarika kwasababu hauna stress mkuu. Kazana kwani hata ukifa na maini mazima haisadiii lolote
 
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
Nitarudia kuisoma makala hii nikiwa nimepiga Kvant labda nitapata picha
 
Juzi dodoma kuna mtu nilikutana naye akanikumbusha kuwa tatizo si kufa, tatizo ni kuishi ukiwa na magonjwa yanayosababishwa na mipombe tunayobwia au mavyakula tunayokula.
 
20100 mkuu unategemea ufike mwaka huo? Yani katika kutamka ni mwaka elfu ishirini na mia moja. Na sasa tuko 2025!
 
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
Mkuu kwani mada yako inahusu nini hasa???

Hata mimi siwezi kukushauri uache bangi... Sababu unaipenda. Ila ntakushauri tu upunguze bangi unapotaka kupost hapa JF
 
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
fuata ushauri wa marehemu kumbuka huo ni wosia
 
Back
Top Bottom