Nimetoka kumzika mshauri wangu wa afya alieniambia nitakufa muda mfupi kwa kumix energy drink na K Vant

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,495
4,155
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
 

Attachments

  • 1730475617292.jpg
    1730475617292.jpg
    472.3 KB · Views: 1
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda. Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.
Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,
Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
Unaonekana mbishi sana
 
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
Walevi tabia zao zinafanana😃 umeongea Kama jamaa yangu fulani hiv na yeye ni mlevi Kama wewe.
 
Habari Wakuu. Binafsi sijaleta mada hapa kama njia ya kutetea watu kuishi maisha yanayohatarisha afya zao. Ila nakumbusha tu kwamba hapa JF kufikia 20100, wote hatutakuwepo pasipo kujali wanaolinda Afya na wasiolinda.

Binafsi mimi napenda kuishi katika maisha yanayonipa furaha ila licha ya yote naogopa sana kuwa kikwazo katika maisha ya mtu, kutumika kumkwamisha mtu kwa namna yoyote kwangu mimi naamini ndio Dhambi kubwa ambayo naomba mwenyezimungu anitenge nayo. Ila linalohusu maisha yangu binafsi huwa sipendi kushauriwa.

Ni wazi kuna watu wanajishaurisha kama hamna kifo mbele yao na kujikuta wakijiweka mbele kutabiria wenzao maisha.

Kimsingi ni kwamba unywe pombe kali, unywe soda, Unywe maji, usitumie chochote cha kiwandani bado sio njia ya kukwepa kifo,

Kifo ni asili na maradhi pia kwa namna yoyote ile haviepukiki lazima utaenda tu. Hii ni sawa na miaka hiyo tukiwa Shule mwalimu akianza kutoa adhabu ya vivobo tulikuwa tunakimbia nani wa kuanziwa na hata tukajisahau kwamba wote tupo kwenye foleni ya kuchapwa kwa zam na hakuna aliepo salama kuliko mwenzie.

Kuna watu wanatumika kuharibu Biashara za watu. Wakidhan kuwa wao wako salama kwa kuepuka matumizi ya bidhaa fulani ila linapokuja swala la kifo kama asili n ukamilifu huwa hawakwepi kwa lolote.

Ushauri wangu kila mtu aishi maisha yake yanayompa furaha wala msitishwe tishwe.
Pombe na energy inasingiziwa tu kwakweli wewe kunywa mpka wadai chenji ya maini mkuu
 
izo pombe kali na energy inategemea ntu na ntu me siwezi bora ninywe pombe kali pekee au nichanganye na kinywaji kingine isipokuwa energy.
 
Kuna mzee mmoja yupo kijijini kwetu kule , miaka na miaka, tokea nilipoanza shule ya msingi mpaka sasa ni miaka zaidi ya 30 , kipindi hiko huo mzee walikua wakisema hamalizi mwaka huu , hamalizi mwezi huu!
Hadi leo hii 2025, yupo na anadunda tu na gongo ,wengi walio kua wanamsema kwa unjwaji wa gongo wamesha tangulia ila yeye yupo mpaka kesho.

Maisha yanatafakarisha sana.
 
Kifo kipo kwa yoyote yule,lkn wanadamu tumeumbwa na akili timamu,na katika imani zetu au tamaduni zetu nk,tumeambiwa hili fanya na hili usifanye kwakuwa linamadhara,eidha kimwili,kisaikolojia nk,,hivi hayo hatuyajui??,, mengine tufanyayo ni ya ajabu kabisa,hata wanyama wanatuzidi,,hivi ushamuona mnyama gani ni shoga au basha!!,,haya na mengine mengi yanarahisisha kifo kutokea.
 
Back
Top Bottom