gaintoo broisser
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 318
- 423
Bora Nibet kuliko Mbunye ya Siku Moja😂 ila unahonga laki
Bora Nibet kuliko Mbunye ya Siku Moja😂 ila unahonga laki
Duh.... Noma sanawanabadilisha codes za kwenye tovuti / app.
Hata humu jamii forums unaweza, nimebadilisha cheo chako uwe Jf Expert Member, Nimebadili tarehe yako ya kujiunga iwe mwaka 2010
View attachment 2993333
Mkuu wewe ni mnufaika wa hizo ''fixed'' nini? Hakuna mwenye uhakika na betting, na ingekuwa hivyo basi betting ingesha collapse siku nyingi. Hizi za wachezaji kupanga, zinatokea mara moja moja tu, na hakuna mtu mwenye akili timamu atakeyewashirikisha watu wengi.😂 ila unahonga laki
Mbona mnaliwa fedha kizembe hivi? Huu ni utapeli kama utapeli mwingine wowote. Yaana unaamini kuna mtu anaweza kupatia odds na hataki kupiga fedha bali anataka kusaidia wengine wapige? Ni yale yale ya mganga wa kienyeji anayeishi kwenye kibanda cha nyasi kuuza dawa ya kuwafanya watu kuwa matajiri.Nilitembelea website flani wanaposti mikeka imetiki yani sure odds fixed matches, nikalipa dola 30 takribani shilingi elf 80 kuungwa kwenye group, humo ndani ni upuuzi mtupu game wanazoweka ni chache zenye odds za 1.01 yani ukiweka laki ushinde buku lakini ukija kwenye website zao wanadanganya wanaweka mikeka ya mechi zilizokuwa na odds kubwa kwamba imetiki.
Nikaja hapa bongo kuna mdau alikuwa anapost hizi sure bets na mikeka, na kuna watu wanasifia kabisa wameshinda kumbe ni yeye mwenye anajichatisha, nililipa elf 15 ili niungwe group, muhuni sana huyu anapost odds baada ya mechi kuisha ukienda page yake anaweka mikeka imetiki itakuwa ana edit
SIJAKUTUKANA ICHO NI CHEO CHAKO HALALI YAKO ...TEMBEA KIFUAMBELESo umefurahi baada ya kutukana?
Sijawahi kupata sure fixed kwa kununua ila kuna ambazo zinakuwa leaked nazipata na huwa zinatoa.Mkuu wewe ni mnufaika wa hizo ''fixed'' nini? Hakuna mwenye uhakika na betting, na ingekuwa hivyo basi betting ingesha collapse siku nyingi. Hizi za wachezaji kupanga, zinatokea mara moja moja tu, na hakuna mtu mwenye akili timamu atakeyewashirikisha watu wengi.
Ukiwa period unakisirani sanaSIJAKUTUKANA ICHO NI CHEO CHAKO HALALI YAKO ...TEMBEA KIFUAMBELE
Watu wabishi ni wa kuachana nao, kuna page ipo Facebook hua inatoa mara moja moja fixed za halftime ni freeSijawahi kupata sure fixed kwa kununua ila kuna ambazo zinakuwa leaked nazipata na huwa zinatoa.
Kununua sinunui maana wengi wanauza fake lakini fixed game zipo mkuu.
Usinunue odds harafu fixed inakuaga moja na sio kila sikuMkuu nimekula za uso sana kwenye hizo mambo sitaki tena 🤚
Tupe mifano zilivuja lini mitandaoni mfano humu jamiiforums kwenye jukwaa la michezo ?
Hapa bongo penyewe tunajua kuna wachezaji wanacheza hii michezo ya kujifungisha huwezi kuzikuta hizi siri zinazagaa mitandaoni, ikitokea hivyo Fifa wakijua wanaweza kufungia mpaka timu.
Real Niger huyuKatika ku bet kuna jamaa mmoja namuona X jinsi anavyomkong'ota muhindi. Jamaa hasemi ni fixed matches ila ana bahati ya kula mkeka kwa kiwango kikubwa sana japo stake zake ni za kibabe sana. Kuhusu fixed match niliona kama mara mbili akisanua watu kuwa hii ni fixed matches katoa katika vyanzo vya kuaminika na anatoa code hapo hapo X bure bila hata malipo. Na mwisho wa siku anafurahi na wana waliofuata.
Fixed huwa zinatoka mara chache chache sana.
Wewe boy Mimi ni bashaUkiwa period unakisirani sana
Ndio huyo huyo. Jamaa kwenye betting ana ufalme wake yeye odds zake ni mbili tu ila stake zake ni heavy na sio mchoyo kushea na washikaji. Sio wengine wanasubiri mechi iishe ndio wakuoneshe wameshinda mkeka.Real Niger huyu
Jamaa hana baya
Endelea kubashiwaWewe boy Mimi nna basha
Kweli mkuu zipo, kuna grup telegram walikuwa wanatoa likaja kufungiwa.Watu wabishi ni wa kuachana nao, kuna page ipo Facebook hua inatoa mara moja moja fixed za halftime ni free
kama ni uhakika kwanini hautumii hela yako yote kuweka mzigo ili upige helaNdio huyo huyo. Jamaa kwenye betting ana ufalme wake yeye odds zake ni mbili tu ila stake zake ni heavy na sio mchoyo kushea na washikaji. Sio wengine wanasubiri mechi iishe ndio wakuoneshe wameshinda mkeka.