Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 41,287
- 223,065
Mtihani bado wasiojulikana ....Hapo kwenye wake 3 shuguli ndiyo ikatapo anzia
ova
Mtihani bado wasiojulikana ....Hapo kwenye wake 3 shuguli ndiyo ikatapo anzia
ova
Usijali utapata qauli thabeet ukiwa pamoja na kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.Mpaka Leo sijapata cha kugombaniwa pale nitakapo kufa.....nawaza labda ile suti yangu ya laki moja
Dadeki,ujue kuchimba madini Kuna mambo kibao,huyo alianza.pamoja na dogo langu mmoja Yuko huko Chunya mawe kama yote ni mambo mengi,kila mtu ashinde mechi zake. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe.Simple tu
Alizaliwa.....1
Akafanya biashara na kuwa tajir......2
Akaoa na kuzalisha......3
Akafa kwa ajari....4
Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Kama pesa ipo na management ipo vyema, unakula na kushiba vizuri shida nini sasa😀😀Watoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Mnapigwa siyo mnapiga.Ndio tunapiga....
Ujinga maradhi haswa afya ya akili na umasikini wa fikra uliotopea ndio hasa mtu anaweza kutoa maoni kama hayo.Watoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Watu wanaangalia nnje ya box ila ndani ya box kuna siri kubwa sana utajili haukai kwa watu wenye roho zaifuDadeki,ujue kuchimba madini Kuna mambo kibao,huyo alianza.pamoja na dogo langu mmoja Yuko huko Chunya mawe kama yote ni mambo mengi,kila mtu ashinde mechi zake. Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe.
Mwisho ndo inakuwa Bora ugali dagaa kwenye amani kuliko wali nyama vitani. Mitala inateseka pindi la kutokea likitokeaMwanaume akiwa na pesa mwanamke hata ukiolewa mke wa 7 haina shida.!!
Hapo sasa kitimtim km hajaandika mirathi kazi ipo!!
Wataondoka watu wengi kumfata marehemu alikoenda.!
Mitala inatesa sana asikwambie mtu, mimi nilisusa mali za mzee niliona tunakoelekea nitaaga dunia kabla ya wakati.!!Mwisho ndo inakuwa Bora ugali dagaa kwenye amani kuliko wali nyama vitani. Mitala inateseka pindi la kutokea likitokea
Ardhi bado kubwa! 😄Watoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Wenye akili wachache ndo wanatesa Tena wanazichuma mapema wakati marehemu yu haiMitala inatesa sana asikwambie mtu, mimi nilisusa mali za mzee niliona tunakoelekea nitaaga dunia kabla ya wakati.!!
Alizaliwa akasoma hadi La saba B,akapata pesa za maruhani,a kala mbususu akazalisha akarudisha mamba akiwa tajiriHuo ni wasifu ama CV?
Ukishakuwa na mali na umezaa na wake tofauti kuna shuguli si ndogoMtihani bado wasiojulikana ....
Wasifu wa wahayaSimple tu
Alizaliwa.....1
Akafanya biashara na kuwa tajir......2
Akaoa na kuzalisha......3
Akafa kwa ajari....4
Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......
Na ndio mpango wa Mungu!!"zaeni mkaongezeke muijaze Dunia,"huwezi ijaza Kwa mke mmoja!!Watoto 16 na amezaliwa mwaka 1978
Waafrika tunapenda kuzaana sana
Haya chukua nyingine tuchomeSimple tu
Alizaliwa.....1
Akafanya biashara na kuwa tajir......2
Akaoa na kuzalisha......3
Akafa kwa ajari....4
Sio wengine hawa wasomi uchwaraaa misiba yao inamambo mengi mara alisoma veta, akatoka veta akarisit akaenda chuo,huko chuo akachanguliwa kuwa mwenyekit wa chama,akarudi akawa muasibu wa benk,akachaguriwa kuwa msaidizi wa kamanda, marehem amecha nyumba na gwanda pamoja na sare za chama......