Nimepata Visa ya Canada, mpango wangu ni kuzamia mazima (SIRUDI TENA)

Boss la DP World

JF-Expert Member
Dec 12, 2021
2,318
8,470
Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.

Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.

Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.

Karibuni wadau mnaoishi huko.

NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
 
Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.

Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.

Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.

Karibuni wadau mnaoishi huko.

NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Hujui
Wakuu naombeni kujua jimbo sahihi kuanzia maisha, ntashukia Toronto Pearson International Airport, simjui yeyote na hii ni visa ya matembezi tu kwenye documents niliwaambia ntakaa wiki 1 ila nimeapa abadani afe kipa afe beki sirudi bongo labda waniue.

Mkisha nijulisha jimbo, mnijulishe na jinsi ya kupata makazi maana sina Social Insurance Number (SIN) na nasikia bila hiyo huwezi fanya chochote cha maana ila potelea mbali nyie nijuzeni mbinu zote mnazodhani zitanisaidia.

Pia kama unafahamu recruitment agency ambayo inaweza nipatia kazi bila kuwa na documents, usisite kunijuza, siamini kama huko hakuna dhambi hivyo njia za panya zitakuwepo tu.

Karibuni wadau mnaoishi huko.

NB: HATA MKINITISHA KUWA MAISHA NI MAGUMU NAKUJA, MBONA NYIE HAMRUDI?
Wewe huijui Kanada. Watakurudisha vinginevyo useme wewe ni msenge au msagaji. System yao hsipenyeki
 
Hongera sana.

Cha msingi ni kufika pale mengine yote utazidishiwa.

Nani umewahi kusikia kaenda akarudi kwa ugumu wa maisha... Exactly. Hayupo. So inawezekana.

Canada sio pagumu sana kama USA ndo maana wengine wakifika USA wanajilipua kutafuta ukimbizi Canada ila hapajangamka sana kama nchi ya maziwa na asali 🇺🇲

Kazi za under the table zipo Kila sehemu kikubwa upate mwenyeji Mmatumbi mwenzako atakupa ramani zote.
 
Kipindi kile walikuwa wakikatiza toka marekani na bado wakarudishwa. Pia ujue ni wabaguzi wa kunuka japo hawaonyeshi wazi.

Hata bongo ubaguzi upo.

Hata bongo ukizamia ukishikwa unatiwa nguvuni na kurudishwa. Hii ni kanuni ya nchi zote.

Huyu anaingia legally at the point of entry mengine yote atafanya akiwa ndani kitu ambacho countless people have done na bado kinaendelea. Watu Kila siku wanachukua makaratasi ya CN.
 
Toronto maisha gharama sana; jaribu miji midogo hapo hapo Ontario Kama Oshawa; London; Windsor or Niagara

Ingia Instagram angalia page ya canadaexpressentrygirl ina taarifa muhim kuzijua Kabla hujaenda

Tafuta Mtu wa kukusaidia accommodation cz ukifika utateseka

Ila Kama Unataka kujilipua Kama Shoga Utaliwa kweli

Best wishes
 
Toronto maisha gharama sana; jaribu miji midogo hapo hapo Ontario Kama Oshawa; London; Windsor or Niagara

Ingia Instagram angalia page ya canadaexpressentrygirl ina taarifa muhim kuzijua Kabla hujaenda

Tafuta Mtu wa kukusaidia accommodation cz ukifika utateseka

Ila Kama Unataka kujilipua Kama Shoga Utaliwa kweli

Best wishes
Akaliwe Tena 🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom