Nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 naacha kufanya tendo la ndoa napumzisha mwili wangu ili kuongeza siku zangu za kuishi

Acha ujinga. Mzee wa miaka 110 alimuua mkewe wa miaka 100 kwa kosa la kumnyima unyumba. Mzee akahisi mkewe atakua anachepuka why amnyime?

Kula mbususu hadi utakapokufa.
 
Leo nimeamka chupa imejaa chai ! Baada ya kutafakari kwa kina wanaume kwanini tunatangulia kufa kabla ya wanawake nikagundua tunafanya ngono sana na kupunguza miaka yetu ya kuishi ,hebu fikiria patashika ya mwili pale unapokuwa juu ya mwanamke,jasho ,udende,makelele sijui mwili unakakamaa kama unakata roho tendo Hilo ukilifanya kwa miaka 30 huwezi kuwa hai ! Wanawake wao wanapokea lakini sisi ndio tunaosulubika ! Kukojoa tu pekee ni kutoa damu x miaka 30 utakuwa hai ? Ndio maana sasa Mimi nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 na sasa Nina 45 sifanyi tendo la ndoa Tena iwe ndani au nje ya ndoa napumzisha viungo vya mwili wangu ! Akawanyonye damu wengine
Kwani mkeo ana miaka mingapi? Na yeye kasema atastaafu akifikisha miàka mingapi?
 
Leo nimeamka chupa imejaa chai ! Baada ya kutafakari kwa kina wanaume kwanini tunatangulia kufa kabla ya wanawake nikagundua tunafanya ngono sana na kupunguza miaka yetu ya kuishi ,hebu fikiria patashika ya mwili pale unapokuwa juu ya mwanamke,jasho ,udende,makelele sijui mwili unakakamaa kama unakata roho tendo Hilo ukilifanya kwa miaka 30 huwezi kuwa hai ! Wanawake wao wanapokea lakini sisi ndio tunaosulubika ! Kukojoa tu pekee ni kutoa damu x miaka 30 utakuwa hai ? Ndio maana sasa Mimi nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 na sasa Nina 45 sifanyi tendo la ndoa Tena iwe ndani au nje ya ndoa napumzisha viungo vya mwili wangu ! Akawanyonye damu wengine
Huo ndo muda wa kufanya zaidi. Sex ni mazoezi. Kutofanya mazoezi utakufa mapema. Fanya mapenzi uishi miaka mingi
 
Leo nimeamka chupa imejaa chai ! Baada ya kutafakari kwa kina wanaume kwanini tunatangulia kufa kabla ya wanawake nikagundua tunafanya ngono sana na kupunguza miaka yetu ya kuishi ,hebu fikiria patashika ya mwili pale unapokuwa juu ya mwanamke,jasho ,udende,makelele sijui mwili unakakamaa kama unakata roho tendo Hilo ukilifanya kwa miaka 30 huwezi kuwa hai ! Wanawake wao wanapokea lakini sisi ndio tunaosulubika ! Kukojoa tu pekee ni kutoa damu x miaka 30 utakuwa hai ? Ndio maana sasa Mimi nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 na sasa Nina 45 sifanyi tendo la ndoa Tena iwe ndani au nje ya ndoa napumzisha viungo vya mwili wangu ! Akawanyonye damu wengine
Swala la wanaume kufa mapema sio sababu za kiafya wala nyinginezo kikubwa ni umri na kazi ngumu tunazofanya kwa mfano angalia age difference ya manara na zai lisa ni kama 20+ years sasa hapo kihesabu mwanaume lazima aondoke mapema au angalia mamy baby na yule mume wake nimekutajia watu maarufu ili uelewe.
Ukisikia ajali imetokea ujue wanaume wengi ndio wameondoka just a simple logic mzee ruksa na wake zake wanne ila amaondoka juzi tu .
 
Leo nimeamka chupa imejaa chai ! Baada ya kutafakari kwa kina wanaume kwanini tunatangulia kufa kabla ya wanawake nikagundua tunafanya ngono sana na kupunguza miaka yetu ya kuishi ,hebu fikiria patashika ya mwili pale unapokuwa juu ya mwanamke,jasho ,udende,makelele sijui mwili unakakamaa kama unakata roho tendo Hilo ukilifanya kwa miaka 30 huwezi kuwa hai ! Wanawake wao wanapokea lakini sisi ndio tunaosulubika ! Kukojoa tu pekee ni kutoa damu x miaka 30 utakuwa hai ? Ndio maana sasa Mimi nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 na sasa Nina 45 sifanyi tendo la ndoa Tena iwe ndani au nje ya ndoa napumzisha viungo vya mwili wangu ! Akawanyonye damu wengine
Hii ni tabia ya mashoga, pole yake huyo anayemwita mke wako. Umetumika kwa miaka ngapi badi Leo hii Hadi unaomba body rebuild?
 
Shem shem wewe tena!

But we ni kataa ndoa, at 80 inabidi uwe na kibunda cha kutosha kuimport na kuexport ile kitu….!
KATAA NDOA ni sera tu inayo kataa ndoa zenye kubinya maslahi ya mwenza.
Haina maana hatuto oa shemela.

Beside import what?, sipendi kuwa na mtu nisiye na mipango naye.

yaani just for fun!, HELL NO binti kiziwi
 
Back
Top Bottom