Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

== Jinesesia: Mwanzo wa DHAMMA==

ALRIGHT

HAKIKA, vitu vyote vimefanyika kwa ishara na alama…


View: https://www.youtube.com/watch?v=Slt45rz-OUY

AKILI ni chombo cha ‘kufahamiana’ kiishara na alama – ishara na alama kwa ajili ya ufahamu katika ‘miili ya uweza’ na kujichagulia kwake kiwakati kupitia ‘Roho ya Utambuzi’; hili ndilo hukadirisha ukweli wa kusema ‘Asiye na Akili’ hana ‘Dini’.

Usentienti, Konsayansi na Ufahamu ni ‘Chaji ya Uweza-nguvu-utukufu’ katika ‘muktadha akilifu’ wa ‘Kujiwazia Utu’.

[(1) Hisia na Kujisikia--‘Usentienti’, (2) Akili ya Udhamirifu wa Mambo--‘Konsayansi’, na (3) Mwanga wa Nuru ya Utambuzi/Kujitambua--‘Nuru ya Ufahamu’]

Muktadha ni dhana ya Kiuno na Ufikirifu mifumo ambavyo ‘Vina vya tafsiri’ na ‘Udhamirifu wa Mambo’ hupelekea ‘Utashi’ kwa ajili ya kujichagulia ‘Sura na Utukufu’ wa (1) Kuwa ama (2) Kuja-Kuwa—Maisha daima ni mchakato… Mchakato wa ‘Mageuzi’ ilivyo ni safari ya UTU-MAISHA-UISHO.

‘Roho ya Utambuzi’ ni mambo ya ‘Jaala’ na ‘Kumbukumbu Uzoefu’; kuwa kwamba, UTU-MAISHA-UISHO ni ‘mafumbo ya Imani’ ambavyo ‘Kujiwazia UTU’ hupata jamvi la hatma za kimageuzi ili kuakisi muktadha akilifu wa ‘Kuwa ama/na kuja-kuwa’… Kwa rizayati ya Elimu 3.0, haya ndiyo yenye kuja na mashauri ya Mtume Paulo kuhusiana na ‘Kuwa Mtoto—Kufikiri kama mtoto’ na halafu Kuja kujijua kama vile ‘Mungu’ anavyomjua ‘mtu/’kujulikanavyo na Mungu’.

Kujiwazia Utu, ndiyo chanzo cha ‘Ontolojia ya Taasisi’ na basi akili ni chombo cha nasibu ya fizikia na metafizikia ya uzima wa miili ya uweza. Mwili wa mwanadamu, mwili wa nyama, ni mwili wa uweza—mwili wa uweza katika fiziki na hali kupitia akili una metafizikia yake. Na basi fiziki, ulimwengu wa maumbile na metafizikia ni ulimwengu wa maumbile yaliyositirika na huku yakishiriki uweza, nguvu na utukufu na mwili-fiziki.

Katika lugha za kimazungumzo—mazungumzo ya Jamii ya Waswahili, maarifa yasiyo rasmi, lau kujaribu kuotea otea habari za mawezekano ya ‘uweza, nguvu na utukufu’—mambo ya metafizikia ya mtu/utu ndiyo hutajwa kama ‘Nyota’--’Mambo ya Nyota’ tena yale yenye kufungamana ama/na kuingiliana na ‘Bahati’ ama ‘Mikosi’ ya mtu katika muktadha akilifu wa UTU-MAISHA-UISHO.

‘Kujiwazia Utu’ na tena muktadha akilifu wa UTU-MAISHA-UISHO ndiyo asili ya Dhahiri-Macho na Dhahiri—Kiini Macho ya yote yaikadirishayo jamii na mambo yake—mambo ya nyakati zake kwa kuwa ili jamii isimame huwa na ukadirifu wa ‘Ontolojia ya Taasisi’ yenye kujenga mambo ya ‘Ushawishi’ na ‘Hisia’ kwa Mapana ya Hisia ya ‘Utu’ wake.

Mapana ya Hisia ya Utu ndiyo khasa asili ya ‘Mifumo’ kwa kuwa matendo ya jamii na hatma zake hukadirisha ‘Sura na Mienendo’ ya fahari ya utamaduni wake. Matendo ya jamii huja kwa mila, desturi na jadi ambavyo hutokana na miongozo ya jamii husika. Basi ndiyo kuwa ‘Matendo’ na ‘Miongozo’ huakisi ‘Udhamirifu wa Utu’. Zao la ‘Taasisi’ na ‘Wakati’ ni ‘Mifumo’…

Kwa Jamii ya Watanzania, tuseme, jamii ya watanzania kama Jamhuri ya Watu; Katiba ya Nchi ndiyo Muungozo mkuu wa Sura ya Nchi na Tawala. Kwa mintarafu ya hili, Katiba kimsingi hubeba ‘Tamko la Kujiwazia Utu-Jamii’--kubayanisha asili ya Miundo ya Utendaji, Kujitengenea na Vinasaba vya Mwiili wa Uweza wa Nchi-dola—mambo ya Dola, Vyombo vya Dola na nguvu zake, na Mkataba kati ya ‘Watawala’ na ‘Wataliwa’ kwa ‘Siasa za Uwakilishi’.

Hayo ndiyo kwa wenye kuzungumza kwa lugha ya Kiingereza huyataja kama ‘Governing Structures’, ‘Nation-State Organization’ na ‘Specific Institutional Guidelines’; Pia ndiyo ‘State Institutionalization’, ‘State Instruments and Mandates’ na ‘Civil Contract’ na basi ‘Representative Liberal Democracy-- democratic Institutions/institutionalization’.

 
== Kumbukumbu la Torati: Miongozo kwa ‘Miundo Hai’==

Miongozo ni msingi wa dira/maono, dhima na basi ‘matendo’ ya wanajamii—mambo yenye kuyakinisha muktadha akilifu wa ‘kujichagulia’; mapana ya ujamii na mambo yake.

Kwa Nchi-Dola na jamii ya ‘Watanzania’, kwa mfano, msingi ya Dira, Maono na Matendo—katika kipindi cha Uasisi wa sura ya Nchi na Tawala ni Maendeleo na Kujichagulia katika misingi ya Demokrasi na Ujamaa: Ujamaa na Kujitegemea; Haya basi kuwepo kwa misingi ya Kikatiba na Utashi wa ‘Wananchi’ kupitia ‘Wawakilishi wa Wananchi’ katika kuitaasisisha ‘Katiba ya Ujamhuri’. Ndivyo basi, nchi-dola kiufundi ni ‘kiumbe cha Kufikirika’--chenye kusadifu matamanio ya UTU-MAISHA-UISHO wa wanajamii wenyewe wenyekuhusikana na ‘Kiumbe cha Kufikirika’.

‘Kiumbe cha Kufikirika’ ni chombo cha kimafikara kwa ajili ya misingi ya kujichagulia na tena chenye ushiriki wa ‘Hisia’ na ‘Kujisikia’ katika akili na utambuzi wa Mwanajamii: Utambuzi kumbaizi katika Jamii/Wanajamii—mambo ya ‘Uzalendo’ na ‘Kujitoa/Kuipenda Nchi’ – nchi ya mtu na watu wake. Kiufundi, hili ndilo asili khasa ya zingatio la maombi katika ‘Hali ya Neema’--Wakati wa kuimba wimbo wa Taifa, kuwa na adabu, nidhamu na Msimamo thabiti; wenye kuakisi kusudi la ‘Dua’, ‘Neema’ na ‘Uwepo’ wa kile kilicho khasa ni ‘asili ya Uzima/Kujaza Pumzi ya Uzima katika Miili ya Uweza’ na ‘Kheri ya vyote’—vyenye kuonekana na visivyoonekana; ‘MUNGU’.

UTU-MAISHA-UISHO, kiuono na ufikirifu mifumo ni jambo mtambuka kwa viumbe vyote vyenye nasibu ya Usentienti, Konsayansi na Ufahamu; kwa mintarafu ya hili, Ubinadamu ni namna moja ya usura-kiumbe wenye Usentienti, Konsayansi na Ufahamu. Utu unawezekana kwa viumbe vyenye usura-kiumbe asio wa kibinadamu pia; kwa hivyo ni ‘Ushamba’ kudhani dhana ya kile kilicho ni khasa asili ya Uzima/Kujaza Pumzi ya Uzima katika Miili ya Uweza’ na ‘Kheri ya Vyote’ kina ‘mapendeleo’ na ‘Utu’ wa kibinadamu.

Viumbe vyote venye usentienti, konsayansi na ufahamu, kiuono na ufikirifu mifumo, vina nasibu ya ‘Ontolojia ya Taasisi’, ‘Uono/Kujiwazia UTU’ na ‘Sura na Mienendo ya Utamaduni wake’. Kwa hivyo ni ‘Ushamba’ kama si kasumba kudhania ‘MUNGU’ ni ‘CHANZO CHA UZIMA/UJUMLA WA MAWEZEKANO YA MAMBO YOTE/ULEZI’ ambacho, katika hicho, kiumbe fulani ni Bora kuliko kingine… Ama kudhani, kimoja kinatangulia kingine kwa Ubora eti kwa kuwa Ulimwengu wa Madhahiri huwa na kana ‘wakati wa hiki kuwepo’ na tena vivyo hivyo ‘wakati wa kile kuwepo’…

‘MUNGU’ kuwa ni ‘CHANZO CHA UZIMA/UJUMLA WA MAWEZEKANO YA MAMBO YOTE/ULEZI’ , kiuono na ufikirifu mifumo, ni ishara ya ‘Jua la Maarifa na Maarifu’ katika akili na utashi, tena kadiri ya ‘Roho ya Utambuzi’ kuhuisha mazingira ya miili ya uweza na utendaji wake kama kiumbe—kiumbe chochote kile chenye ‘sura dhahiri’ ama ‘sura iliyositirika’ mbele ya kimojawapo chenye upeo wa namna yake kiufahamu na utambuzi. Kwa mintarafu ya hivi, ‘Sonafi’ ni mbegu ya ‘UTU-Kiumbe’ yenye kuhaisha na kuhuisha ‘miili na uweza wa kibinadamu’ kwa kadiri ya (1) Hisia na Kujisikia--’Usentienti’, (2) Akili ya Udhamirifu wa Mambo--’Konsayansi’, na (3) Mwanga wa Nuru ya Utambuzi/Kujitambua--’Nuru ya Ufahamu’. Basi ndiyo yawa, ‘upandaji mbegu’ ni muktadha akilifu wa nafsi ya duniani, nafsi-roho na Roho ya Uzima wote. Tena basi, sonafi ndiyo nguzo ya pumzi na uzima kwa utu—ufunguo kwa mambo ya fizikia na metafizia ya ‘kujiwazia UTU’ kupitia ‘miili ya uweza’.

Sonafi liwe ni neno rasmi katika lugha ya Kiswahili kumaanisha ufafanuzi wa ile ‘asili ya ndani’, asili iliyositirika, ya utu wa kiumbe chochote; asili inayohuisha miili ya uweza ili utendaji wa ‘kiumbe hai’ katika mazingira yake uwe na nafasi ya kujikadirishia mapana ya ustawi wake—mambo ya ‘Uzima wa Miili—Utwaaji Mwili, Mauti, Ufufuko’. Kwenye lugha ya Kiingereza, Sonafi ni kile kile kinachotajwa kana ‘Soul’ ama pia ‘Divine Spark’--Cheche ya ‘Nuru Manani ya Ufahamu’… Kuwa kwamba etimolojia ya neno ‘Soul/Sonafi’ ni asili ya yote mawili: (1) Jua (Sol) na (2) Nafsi (Kiswahili/Kiarabu kwa neno ‘Self’) — Ku-Jua na Kujitambua kiutu. Basi ndiyo yawa, kwa Rizayati ya Elimu 3.0, Sonafi ndicho kiini mujarabu cha ILIMU—Jua la Maarifa na Maarifu ya ‘Uungu’; ambavyo pia ‘Elimu ni Bahari na tena metafizikia yake ni ILIMU’.

Elimu na metafizikia ya Elimu ni mambo ya maingiliano ya dhahiri—dhahiri macho na dhahiri kiini macho; mambo ya vinavyoonekana na visivyoonekana. Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho injili hueleza la Yesu fundisha jinsi ya kuyajua ya ‘Waja Wema’ kwa ishara ama/na matendo, ni ukweli wa muktadha akilifu wa kuyabaini yaliyodhahiri na yale yaliyositirika. Kwa mintarafu ya haya, sonafi ni ‘kitovu cha uweza wa kawaida na tena uweza mwingine wenye kupitiliza kawaida. Kwenye Injili, mambo ya uwezekano wa kupitiliza kawaida ya uweza, matendo na dhahiri husemwa ni ‘Matunda ya Imani’; kwamba (1) Udhamirifu, (2) Dhumuni, na (3) ‘Nia Uweza’ vinaweza hata ‘kuhamisha Milima’; mambo ya kusafiri/kusafirisha/kujisafirisha tokeo upahala hapa hata pengine—Telepotia ama pia Kupeperuka.

Uweza wa kawaida wa kimiili ni muktadha akilifu wa mapana yote ya kudra na uweza vyenye kuleta silika na matendo ya kiumbe katika mazingira yake ya asili; mambo kama vile utu wa kibinadamu kumudu mwili wenye miguu, mikono, kiwiliwili na kichwa ambavyo kiwiliwili na kichwa hufanya uenyeji wa ‘moyo’ na ‘akili’ kwa ajili ya ‘Hisia, Mafikara na Ufahamu’ kupitia mishipa ya fahamu(fuvu, uti wa mgongo na Ubongo), pumzi (Mapafu) na riziki za kimiili(Moyo, Matumbo na ‘Mifumo yote ya Nyama na Uzima wake’). Kwa mintarafu ya haya, sonafi ni chachu wa ‘uzima wa miili’ inayohusikana na pumzi, fahamu na mashikizano ya yaliyodhahiri na yasiyodhahiri.
 
Halafu meneja na mchumba wake wamefikia wapi? Ningekuwa kipindi hicho ningemshauri anapoteza muda. Mbona Unguja hapo waswahili wengi wazuri tu wapo? Mbona na jamii ya kiarabu pia ipo? Alishindwa kukamata Swahili moja inayokuja disco Jmosi akaoa?
 
== Hesabu ilivyo ni Mafungu ya Uhai na Uzima wa Miili ==

Pumzi, fahamu na mashikizano ya yaliyodhahiri na yasiyodhahiri, kiuono na ufikirifu mifumo, ni jambo lenye asili ya matatu katika moja--(1) Jaala, (2) Mifumo, na (3) Nia ya Kiumbe. Kwa mintarafu ya haya kupitia Usentienti, Konsayansi na Ufahamu, Kiumbe hukadirika kuwa na ‘Roho ya Utambuzi’ kwa ajili ya (1) Ushawishi, (2) Kumbukumbu-Uzoefu, na (3) Wakati. Basi ndiyo yawa, Sonafi asili ya ufunguo wa Uungu wa kiumbe chochote ambavyo kuna yanayowezekana kimiili ya nyama na yanayowezekana kwa miili ya uweza wa ‘Kiroho’--japo kiufundi uweza wa kiroho unawezekana pia kupitia namna ingine ya ‘Miili iliyositirika’; miili ambayo inapitiliza fahamu, pumzi na ile ‘riziki ya kawaida ya miili ya nyama’.

Mashikizano ya yaliyodhahiri na yasiyodhahiri, katika kawaida ya miili ya nyama, ndiyo mambo ya bayolojia, fizikia na kemia ya miili; Kiuono na ufikirifu mifumo, miili hufuatisha ‘Ontolojia ya Taasisi’ ambavyo ‘Sonafi’ ndiyo hasa ‘Jua la Maarifa na Maarifu’ kwa ajili ya UTU-MAISHA-UISHO—iwe ni kwa mmea, mdudu, mnyama vetebrati ama mnyama pasi-vetebrati (wenye uti wa mgongo na wasio na uti wa mgongo’, sayari n.k.

Kiuono na ufikrifu mifumo, sonafi ndiyo ‘chaji’ yenye kuhuisha miili ya uweza ili iendane na ‘Mapana yaliyositirika’ ya ‘Kujiwazia’ UTU. Kwa mintarafu ya hili, muktadha akilifu wa sonafi na uhuishaji wa miili ndiyo asili hasa ya Unasaba na Kudra za Mifumo jumuifu ya Kibayolojia. Basi ndiyo yawa, muktadha akilifu wa ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ ya ‘Uzima wa Miili’ ni jambo la nasibu ya ‘Bayo-Fizikia ya Kikwantumu’. Tena basi kuwa kwamba ‘Sonafi’ na ‘DNA’ ni ‘Jicho’ na ‘Moduleta kwa Pumzi ya Uzima’ ili kuikadirisha ‘Nyota ya Rehema na Fadhili’ – Rehema na Fadhili ya kile kilicho ni khasa asili ya Miundo, Mifumo na Matendo yote.

Miundo, Mifumo na Matendo yote, kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo kile ambacho kwenye mapokeo ya Ukristo hutajwa kuhusiana na ‘UTATU MTAKATIFU’. Kwa mintarafu ya hili, UTATU MTAKATIFU siyo ‘dogma’ wala ‘Umungu Wengi’ bali tu tuseme ni lugha ya Kiufundi ya ILIMU. Basi ndiyo yawa, kwenye ILIMU ijayo na mambo ya uhalisia na ukweli wa sonafi, mambo mengi huanza kupata ‘vina vya tafsiri’ inayosigana na ‘mazoea’ ya kawaida ya kubayanisha asili ya mambo kwa (1) mapana ya sura—FIKARA-UWEZA kwenye USUPASHA, (2) Uhakika Wake wakati mmoja hata mwingine—UTUKUFU/UFALME kwenye USUPASHA, na (3) Asili ya ‘Wakati’ wenyewe—Kumbukumbu la UZOEFU mambo ya ‘MILELE hata MILELE’…

Basi ndiyo yawa, kwenye ILIMU ijayo na mambo ya uhalisia na ukweli wa sonafi, etimolojia ya neno ‘ubinadamu’ laja kutokana na neno ‘Bin-Adamu’--atokanaye na ADAMU, ‘Mtu wa Udongo’. Kwa mintarafu ya Uono na Ufikirifu Mifumo, ‘Binadamu na Ubinadamu’ ni dhahiri ya (OX) 'Kujitambua' Utu wa Udongo/Mwili wa Nyama/Mwili wa Mavumbi, (OY) 'Vinasaba' vya Mwili wa Nyama ‘DNA’, na (OZ) 'Metafanusi' ya ‘Ubinadamu’ katika ‘Kumbukumbu Uzoefu la mambo ya Milele hata Milele’; Kuwa kwamba, Ubinadamu ni muktadha akilifu wa ‘Kujiwazia UTU’ kufanyika katika ‘Unafsi Unaoishi Zaidi’ kupitiliza kuzaliwa na mauti ya kiumbe-mtu katika mazingira ya Dunia.

Basi ndiyo yawa, kwenye ILIMU ijayo na mambo ya uhalisia na ukweli wa sonafi, vipo viumbe-watu ambavyo si ‘Bin-Adamu’--si vyenye kutokana na ‘unasaba wa mtu wa udongo’. Kwa mintarafu ya Uono na Ufikirifu Mifumo, ‘Kuumba mtu kwa Mfano wetu’ ni muktadha akilifu wa dhamira, kujiwazia utu na kutenda kwa namna inayoakisi Metafanusi na Dhahiri ya Ubinadamu Duniani; ama hata Usi-anadamu wa sura, kudra na 'nishani tofauti na uanadamu’ Duniani na Kungineko—hata kama nao ni wa udongo, vumbi ama moto. Kuwa kwamba, ni suala ya ‘kufunuliwa’ ama ‘kufunguka fahamu’ ili kubaini kuna ‘makao mengi’ ya viumbe-watu na hata pia muingiliano wa ‘makao mengi’ katika pahala popote pa Usupasha.​
 
== KUTOKA ilivyo ni kujichagulia Njia iliyo Sahihi na Kheri kwa ‘Uzima wa Mwili’ ==

Miundo, Mifumo na Matendo yote, kwenye fremukazi ya uono na ufikirifu mifumo, ndiyo hasa mambo yajayo na ualama wa (1) Mraba (Dhamma ijayo na Sovereini Jumuifu), (2) Pembe Tatu ‘ya Mbingu’ na ‘ya Nchi’ kutenganishwa na ukatikati wa Ulali wa mapana ya Dhamma, na (3) Torati (Miongozo kwa ajili ya NISHANI ya UTU BORA).

‘Kuumba mtu kwa Mfano wetu’ , ni nasibu ya ‘matendo katika metafanusi’. Kwa mintarafu ya hivi, kile kiumbe-mtu kwa sura-umbo na unasibu wake ni matokeo ya ‘Mbegu-Utu’ kwa ajili ya Dhamma, Kudra, Silika, Rehema na Fadhili ya UTU-MAISHA-UISHO. Basi ndiyo yawa, Hisia na Kujisikia hufafanua na kuyakinisha muktadha wa akilifu wa ‘Maisha na Kujichagulia’ kulingana na ‘Miundo ya Utendaji wa Kijamii’ na ‘Ushawishi’ wa Kitaasisi ndani ya Wanajamii wenyewe.

Kudra na Silika ndiyo yale kwenye wale wazungumzao lugha ya Kiingereza wangeliyataja kama ‘Virtue’ na ‘Character’; Basi ndiyo yawa ‘Dhamma’ ni muktadha akilifu wa yale yote yajayo na mafundisho ya Buddha kuhusu ‘Gorudumu la Dhamma’ na ‘Njia ya Wongofu’. Tena basi, yawa kwamba matendo yote hubayanisha ‘mifumo’ ambayo Udhamirifu ama/na Matendo vinaasili ya pembetatu—muktadha akilifu wa ‘Trishikisha’.

‘Kuumba mtu kwa Mfano wetu’ , ni nasibu ya ‘matendo katika metafanusi’ ambavyo ‘Kujiwazia Utu’ hukopa maudhui kutoka kwenye Uzabibu 13—Ufahamu Kristu. Kwa mintarafu ya hili, mifumo hai yote kupata mbegu za kudra na silika kutoka kwa ‘Kristu’. Basi ndiyo yawa, Kristu ni ‘Metafanusi’ ya ‘Miili yote ya Uzima na Uweza’. Kuwa kwamba, Kristulojia ndiyo ile habari ya ‘Hapo Mwanzo Kulikuwa na NENO, Naye Neno alikuwa ‘Nuru’...; Tena basi, Habari za Yesu kupata kusema alikuwepo Kabla ya yote—Kabla ya hata kuumbwa kwa Ulimwengu Dhahiri ni dhihiri la ‘Ufahamu Kristu’-- Ufahamu Kristu ni Usentieti, Konsayansi na ‘Roho ya Utambuzi’ katika muktadha akilifu wa NENO LA UZIMA.

‘Kuumba mtu kwa Mfano wetu’ , ni nasibu ya ‘matendo katika metafanusi’ ambavyo vile vilivyodhahirika huwa na lugha ya kimaelekezo ya utendaji na kumbukumbu za kimpangilio, programu, kwa ajili kukua na kuongezeka. Kwa mintarafu ya haya, muktadha akilifu uliyo ni programu kwa ajili ya (i) kujiunda, (ii) kujisuka kiwakati na (iii)kujidumisha vizazi vyake; ndiyo ‘sehemu’ ya ‘Neno la Uzima’. Basi ndiyo yawa, mambo ya ‘programu mahsusi’ ya kiumbe hai chenye usentienti, konsayansi na ufahamu ni ‘Habari Njema’ iliyositirika katika ‘Sonafi’ ya Kiumbe Hai chenyewe ili kumuwezesha na kumnasibisha na (1) mambo dhahiri , na (2) mambo yaliyositirika; kupitia matendo yaki- ‘Bayo-fizikia ya Kikwantumu’.

‘Kuumba mtu kwa Mfano wetu’, ni nasibu ya ‘matendo katika metafanusi’ ambavyo vile vilivyodhahirika huwa ‘Uzao wa Matunda Uliowaziwa kwa Kutangulia’. Kwa mintarafu ya hili, Matunda ni muktadha akilifu wa ‘Mti wa Uzima’; Kiufundi ‘Mti wa Uzima’ ni ujumla wa nasibu ya Ustawi na Utamaduni wa ujumuiko wa jamii kwa uzazi (kujamiana) na ‘Udhamirifu wa Furaha’ kupitia ‘kazi/utendaji’ ama/na ‘Kuunganika/Kukomunika’ na ‘Roho ya Uzima Wote’. Basi ndiyo yawa, kutokeo kwenye mapokeo ya ‘Injili’ na ‘Matendo ya Mitume’ huzungumzwa kana ‘Kristu’ ni ‘Tumaini la Vizazi Vyote’. Tena basi, hiyo ni kwa kuwa Kristu ni ‘Fanusi ya Mti wa Uzima’ na mambo yake…

Miundo, Mifumo na Matendo ndiyo ile asili khasa ya ‘Mafumbo yote ya Imani’. Kiuono na Ufikirifu Mifumo, Ustawi na Utamaduni ni ‘Utukufu’ wa ‘Metafanusi’ iliyositirika na huku kumbe ndiyo ile asili khasa ya Dhamma, Kudra, Silika, Rehema na Fadhili kwa UTU-MAISHA-UISHO. Kwa mintarafu ya hivi, Dhamma ni MRABA wenye asili ya (1) MOTO, (2) UPEPO, (3) MAJI, na (4) ARDHI/NCHI. Basi ndiyo yawa, MRABA mwingine wa MISINGI wa MTU KUJICHAGULIA KIWAKATI ndiyo huruzuku nasibu ya ‘Unyoofu’ na ‘Mapenzi Mema’ ya Mja; ambavyo ada ya Mja Mwema ni ‘Muda kuja Kunena’ – Muda kuja kunena ile fahari ya Utu – Utu wa yule mwenye Kutenda kwa ‘Maungwana’ ama ‘Kiburi’; Hauwezi kupanda Pilipili ukaja kuvuna Parachichi...

Mfano mahsusi ya ‘Udhamirifu wa Furaha’ na ‘Ujumuiko wa Kizazi/Vizazi’, ni shauri la UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI. Kiuono na Ufikirifu mifumo, manne haya ni kwa ajili ya ruzuku ya Rehema na Fadhili ya UTU-MAISHA-UISHO. Kwa mintarafu ya hivi, Dhamma ya Utaifa la Tanzania ni kusudi kwa matamanio ya kheri kwa ajili ya ‘UTUKUFU wa KIJAMII’ wenye miongezeo/Torati ya mapana ya LIBERTI-UuMOJA-UJAZI-UTANGAMANO. Basi ndiyo yawa, ‘Unyoofu’ na ‘Mapenzi Mema’ hukadirisha ‘Mstari’ na ‘Uduara’; vifanyavyo pande nne za MRABA wa DHAMMA.

Mfano mahsusi ya ‘Udhamirifu wa Furaha’ na ‘Ujumuiko wa Kizazi/Vizazi’, ni shauri la UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI. Kiuono na Ufikirifu mifumo, manne haya ni kwa ajili ya ruzuku ya Rehema na Fadhili ya UTU-MAISHA-UISHO. Kwa mintarafu ya hivi, Muktadha akilifu wa Utendaji – Utendaji (1) Kiroho, (2) Maadili na (3) Miiko una zindiko ambalo ndiyo msingi wa kulijenga, kulidumisha na kulilinda Taifa la Watanzania. Basi ndiyo yawa, hakika ya UTU-MAISHA-UISHO wa Watanzania ni fanusi ya ‘Uhuru na Umoja’ kwa matamanio ya Ujamaa wa Kweli; Ambavyo Rehema na Fadhili hukadirika kwa Imani ya Watanzania Wenyewe katika Udhamirifu wa kuwa ‘Waja Wema’; Uja wema katika ‘Maugwana’ na si ‘Kiburi’…

Mfano mahsusi ya ‘Udhamirifu wa Furaha’ na ‘Ujumuiko wa Kizazi/Vizazi’, ni shauri la UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI. Kiuono na Ufikirifu mifumo, manne haya ni kwa ajili ya ruzuku ya Rehema na Fadhili ya UTU-MAISHA-UISHO. Kwa mintarafu ya hivi, ‘Wakati ni Ukuta’ kwa kuwa Riziki ya Mtu/Mwanajamii huja kwa nasibu ya mawili (1) Kazi, na (2) Neema. Basi ndiyo yawa, UTU-MAISHA-UISHO ni fanusi ya ‘Kazi na Sala’; Uugwana ni Kujiamini na Unyenyekevu katika njia za kile kilicho ni Khasa asili ya Uzima wetu wa Miili—Miili-Akili-Roho. Kiburi si Maungwana, kwa kuwa ni ‘kutangatanga mbali’ na ‘Karamu ya BWANA’-- Karamu ilivyo Daima kuandaliwa kwa wale wenye ‘Mioyo Safi’…

Mioyo safi, Kiuono na Ufikirifu Mifumo ndiyo asili khasa ya Utu wa Dhahabu kwa Nchi ya Tanzania, ambavyo ‘moto’ ni alama ya ‘kusafisha/kutakasa utu’. Kwa mintarafu ya hili, Upendo ni ufunguo kwa ajili ya utu wema; huu haukai katika moyo mtu mpaka yeye aifanye nafasi katika moyo wake ili matamanio na uhitaji wake visukumwe na makusudi yenye kheri kwake na jamii yote. Basi ndiyo yawa, moyo safi ndiyo udhamirifu ‘kumpenda jirani kama unavyojipenda mwenyewe’ ama pia ‘Kutomtendea mwingine vile usivyopenda wewe kutendewa’. Tena basi ndivyo, Rangi ya Utu Wema ni ‘Njano ya Dhahabu’—Njano ya Dhahabu ijayo Mwenge unaowaka Juu ya Mlima Kilimanjaro; kuwa huo ndiyo alama ya uwepo wa tumaini, upendo dhidi ya chuki na heshima badala ya madharau...

Ujamaa wa Kweli, Kiuono na ufikirifu mifumo ndiyo muktadha akilifu wa ‘Sovereini Jumuifu’. Kwa mintarafu ya hili, Ujamaa ni Imani na tena udhamirifu wa UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI miongoni mwa wanajamii. Basi ndiyo yawa, Demokrasia ni Masikilizano, Uhuru wa Kujidhihiri Utu na pia Uhuru wa Kujichagulia yale yajayo na kudra, siha njema na UTU BORA. Tena basi, Utu bora ni nidhamu, matendo na Hekima kwa ajili usivilai na utamaduni wenye kheri ya pamoja na tena wakati wote. Kwa nchi ya Watanzania, usivilai na utamaduni huu ndiyo dhana ya Uzalendo wenye ‘Utu wa Dhahabu’ kutokea ‘MASHARIKI’…

Rangi za Ujamaa, jamii moja yenye UTU Bora ndiyo ni ‘Zambarau’ ya mchanganyiko wa UBLUU wa Anga na NYEKUNDU ya NCHI/ARDHI; na tena, ‘Njano ya Dhahabu’ kwa chochote chenye kuwakilisha UTU na KUJICHAGULIA: Gurudumu la Dhamma kwa ‘kusudio Dhamma’…

 
Pole sana.

Ushauri wa kwanza ni ibada na nyote kuacha maasi.
Simba
== Hesabu ilivyo ni Mafungu ya Uhai na Uzima wa Miili ==

Pumzi, fahamu na mashikizano ya yaliyodhahiri na yasiyodhahiri, kiuono na ufikirifu mifumo, ni jambo lenye asili ya matatu katika moja--(1) Jaala, (2) Mifumo, na (3) Nia ya Kiumbe. Kwa mintarafu ya haya kupitia Usentienti, Konsayansi na Ufahamu, Kiumbe hukadirika kuwa na ‘Roho ya Utambuzi’ kwa ajili ya (1) Ushawishi, (2) Kumbukumbu-Uzoefu, na (3) Wakati. Basi ndiyo yawa, Sonafi asili ya ufunguo wa Uungu wa kiumbe chochote ambavyo kuna yanayowezekana kimiili ya nyama na yanayowezekana kwa miili ya uweza wa ‘Kiroho’--japo kiufundi uweza wa kiroho unawezekana pia kupitia namna ingine ya ‘Miili iliyositirika’; miili ambayo inapitiliza fahamu, pumzi na ile ‘riziki ya kawaida ya miili ya nyama’.

Mashikizano ya yaliyodhahiri na yasiyodhahiri, katika kawaida ya miili ya nyama, ndiyo mambo ya bayolojia, fizikia na kemia ya miili; Kiuono na ufikirifu mifumo, miili hufuatisha ‘Ontolojia ya Taasisi’ ambavyo ‘Sonafi’ ndiyo hasa ‘Jua la Maarifa na Maarifu’ kwa ajili ya UTU-MAISHA-UISHO—iwe ni kwa mmea, mdudu, mnyama vetebrati ama mnyama pasi-vetebrati (wenye uti wa mgongo na wasio na uti wa mgongo’, sayari n.k.

Kiuono na ufikrifu mifumo, sonafi ndiyo ‘chaji’ yenye kuhuisha miili ya uweza ili iendane na ‘Mapana yaliyositirika’ ya ‘Kujiwazia’ UTU. Kwa mintarafu ya hili, muktadha akilifu wa sonafi na uhuishaji wa miili ndiyo asili hasa ya Unasaba na Kudra za Mifumo jumuifu ya Kibayolojia. Basi ndiyo yawa, muktadha akilifu wa ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ ya ‘Uzima wa Miili’ ni jambo la nasibu ya ‘Bayo-Fizikia ya Kikwantumu’. Tena basi kuwa kwamba ‘Sonafi’ na ‘DNA’ ni ‘Jicho’ na ‘Moduleta kwa Pumzi ya Uzima’ ili kuikadirisha ‘Nyota ya Rehema na Fadhili’ – Rehema na Fadhili ya kile kilicho ni khasa asili ya Miundo, Mifumo na Matendo yote.

Miundo, Mifumo na Matendo yote, kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo kile ambacho kwenye mapokeo ya Ukristo hutajwa kuhusiana na ‘UTATU MTAKATIFU’. Kwa mintarafu ya hili, UTATU MTAKATIFU siyo ‘dogma’ wala ‘Umungu Wengi’ bali tu tuseme ni lugha ya Kiufundi ya ILIMU. Basi ndiyo yawa, kwenye ILIMU ijayo na mambo ya uhalisia na ukweli wa sonafi, mambo mengi huanza kupata ‘vina vya tafsiri’ inayosigana na ‘mazoea’ ya kawaida ya kubayanisha asili ya mambo kwa (1) mapana ya sura—FIKARA-UWEZA kwenye USUPASHA, (2) Uhakika Wake wakati mmoja hata mwingine—UTUKUFU/UFALME kwenye USUPASHA, na (3) Asili ya ‘Wakati’ wenyewe—Kumbukumbu la UZOEFU mambo ya ‘MILELE hata MILELE’…

Basi ndiyo yawa, kwenye ILIMU ijayo na mambo ya uhalisia na ukweli wa sonafi, etimolojia ya neno ‘ubinadamu’ laja kutokana na neno ‘Bin-Adamu’--atokanaye na ADAMU, ‘Mtu wa Udongo’. Kwa mintarafu ya Uono na Ufikirifu Mifumo, ‘Binadamu na Ubinadamu’ ni dhahiri ya (OX) 'Kujitambua' Utu wa Udongo/Mwili wa Nyama/Mwili wa Mavumbi, (OY) 'Vinasaba' vya Mwili wa Nyama ‘DNA’, na (OZ) 'Metafanusi' ya ‘Ubinadamu’ katika ‘Kumbukumbu Uzoefu la mambo ya Milele hata Milele’; Kuwa kwamba, Ubinadamu ni muktadha akilifu wa ‘Kujiwazia UTU’ kufanyika katika ‘Unafsi Unaoishi Zaidi’ kupitiliza kuzaliwa na mauti ya kiumbe-mtu katika mazingira ya Dunia.

Basi ndiyo yawa, kwenye ILIMU ijayo na mambo ya uhalisia na ukweli wa sonafi, vipo viumbe-watu ambavyo si ‘Bin-Adamu’--si vyenye kutokana na ‘unasaba wa mtu wa udongo’. Kwa mintarafu ya Uono na Ufikirifu Mifumo, ‘Kuumba mtu kwa Mfano wetu’ ni muktadha akilifu wa dhamira, kujiwazia utu na kutenda kwa namna inayoakisi Metafanusi na Dhahiri ya Ubinadamu Duniani; ama hata Usi-anadamu wa sura, kudra na 'nishani tofauti na uanadamu’ Duniani na Kungineko—hata kama nao ni wa udongo, vumbi ama moto. Kuwa kwamba, ni suala ya ‘kufunuliwa’ ama ‘kufunguka fahamu’ ili kubaini kuna ‘makao mengi’ ya viumbe-watu na hata pia muingiliano wa ‘makao mengi’ katika pahala popote pa Usupasha.​
we nae unatujazia ujinga unacopy na kupest mada zenye kiswahili kibovu hata haileweki kimeandikwa nini licha kujitahidi kusoma nimeishia kuumwa kichwa tu sijaelewa hata.!
 
Nakukumbusha Arsis niliuliza haya maswali
Umesema jini bakora tumuulize kuhusu mitishamba, Mimi nitaanza na maswali mawili kwake muulize kuna mti unaitwa ''MSAKA UCHAWI'' unga wake unauzwa sana kwenye maduka haya ya kiislamu maarufu kama maduka ya kisuni Je mti huo ndio unaitwa pia ''MTUNGURU NYIKA?''
Swali la pili Muulize ni kweli mti wa mbaazi una nguvu za kupambana na wachawi kuanzia mizizi yake, majani yake na maua yake na mbali na kupamabana na uchawi una matumizi gani mengine?
Ngoja tusubir majibu
 
H
== Kumbukumbu la Torati: Miongozo kwa ‘Miundo Hai’==

Miongozo ni msingi wa dira/maono, dhima na basi ‘matendo’ ya wanajamii—mambo yenye kuyakinisha muktadha akilifu wa ‘kujichagulia’; mapana ya ujamii na mambo yake.

Kwa Nchi-Dola na jamii ya ‘Watanzania’, kwa mfano, msingi ya Dira, Maono na Matendo—katika kipindi cha Uasisi wa sura ya Nchi na Tawala ni Maendeleo na Kujichagulia katika misingi ya Demokrasi na Ujamaa: Ujamaa na Kujitegemea; Haya basi kuwepo kwa misingi ya Kikatiba na Utashi wa ‘Wananchi’ kupitia ‘Wawakilishi wa Wananchi’ katika kuitaasisisha ‘Katiba ya Ujamhuri’. Ndivyo basi, nchi-dola kiufundi ni ‘kiumbe cha Kufikirika’--chenye kusadifu matamanio ya UTU-MAISHA-UISHO wa wanajamii wenyewe wenyekuhusikana na ‘Kiumbe cha Kufikirika’.

‘Kiumbe cha Kufikirika’ ni chombo cha kimafikara kwa ajili ya misingi ya kujichagulia na tena chenye ushiriki wa ‘Hisia’ na ‘Kujisikia’ katika akili na utambuzi wa Mwanajamii: Utambuzi kumbaizi katika Jamii/Wanajamii—mambo ya ‘Uzalendo’ na ‘Kujitoa/Kuipenda Nchi’ – nchi ya mtu na watu wake. Kiufundi, hili ndilo asili khasa ya zingatio la maombi katika ‘Hali ya Neema’--Wakati wa kuimba wimbo wa Taifa, kuwa na adabu, nidhamu na Msimamo thabiti; wenye kuakisi kusudi la ‘Dua’, ‘Neema’ na ‘Uwepo’ wa kile kilicho khasa ni ‘asili ya Uzima/Kujaza Pumzi ya Uzima katika Miili ya Uweza’ na ‘Kheri ya vyote’—vyenye kuonekana na visivyoonekana; ‘MUNGU’.

UTU-MAISHA-UISHO, kiuono na ufikirifu mifumo ni jambo mtambuka kwa viumbe vyote vyenye nasibu ya Usentienti, Konsayansi na Ufahamu; kwa mintarafu ya hili, Ubinadamu ni namna moja ya usura-kiumbe wenye Usentienti, Konsayansi na Ufahamu. Utu unawezekana kwa viumbe vyenye usura-kiumbe asio wa kibinadamu pia; kwa hivyo ni ‘Ushamba’ kudhani dhana ya kile kilicho ni khasa asili ya Uzima/Kujaza Pumzi ya Uzima katika Miili ya Uweza’ na ‘Kheri ya Vyote’ kina ‘mapendeleo’ na ‘Utu’ wa kibinadamu.

Viumbe vyote venye usentienti, konsayansi na ufahamu, kiuono na ufikirifu mifumo, vina nasibu ya ‘Ontolojia ya Taasisi’, ‘Uono/Kujiwazia UTU’ na ‘Sura na Mienendo ya Utamaduni wake’. Kwa hivyo ni ‘Ushamba’ kama si kasumba kudhania ‘MUNGU’ ni ‘CHANZO CHA UZIMA/UJUMLA WA MAWEZEKANO YA MAMBO YOTE/ULEZI’ ambacho, katika hicho, kiumbe fulani ni Bora kuliko kingine… Ama kudhani, kimoja kinatangulia kingine kwa Ubora eti kwa kuwa Ulimwengu wa Madhahiri huwa na kana ‘wakati wa hiki kuwepo’ na tena vivyo hivyo ‘wakati wa kile kuwepo’…

‘MUNGU’ kuwa ni ‘CHANZO CHA UZIMA/UJUMLA WA MAWEZEKANO YA MAMBO YOTE/ULEZI’ , kiuono na ufikirifu mifumo, ni ishara ya ‘Jua la Maarifa na Maarifu’ katika akili na utashi, tena kadiri ya ‘Roho ya Utambuzi’ kuhuisha mazingira ya miili ya uweza na utendaji wake kama kiumbe—kiumbe chochote kile chenye ‘sura dhahiri’ ama ‘sura iliyositirika’ mbele ya kimojawapo chenye upeo wa namna yake kiufahamu na utambuzi. Kwa mintarafu ya hivi, ‘Sonafi’ ni mbegu ya ‘UTU-Kiumbe’ yenye kuhaisha na kuhuisha ‘miili na uweza wa kibinadamu’ kwa kadiri ya (1) Hisia na Kujisikia--’Usentienti’, (2) Akili ya Udhamirifu wa Mambo--’Konsayansi’, na (3) Mwanga wa Nuru ya Utambuzi/Kujitambua--’Nuru ya Ufahamu’. Basi ndiyo yawa, ‘upandaji mbegu’ ni muktadha akilifu wa nafsi ya duniani, nafsi-roho na Roho ya Uzima wote. Tena basi, sonafi ndiyo nguzo ya pumzi na uzima kwa utu—ufunguo kwa mambo ya fizikia na metafizia ya ‘kujiwazia UTU’ kupitia ‘miili ya uweza’.

Sonafi liwe ni neno rasmi katika lugha ya Kiswahili kumaanisha ufafanuzi wa ile ‘asili ya ndani’, asili iliyositirika, ya utu wa kiumbe chochote; asili inayohuisha miili ya uweza ili utendaji wa ‘kiumbe hai’ katika mazingira yake uwe na nafasi ya kujikadirishia mapana ya ustawi wake—mambo ya ‘Uzima wa Miili—Utwaaji Mwili, Mauti, Ufufuko’. Kwenye lugha ya Kiingereza, Sonafi ni kile kile kinachotajwa kana ‘Soul’ ama pia ‘Divine Spark’--Cheche ya ‘Nuru Manani ya Ufahamu’… Kuwa kwamba etimolojia ya neno ‘Soul/Sonafi’ ni asili ya yote mawili: (1) Jua (Sol) na (2) Nafsi (Kiswahili/Kiarabu kwa neno ‘Self’) — Ku-Jua na Kujitambua kiutu. Basi ndiyo yawa, kwa Rizayati ya Elimu 3.0, Sonafi ndicho kiini mujarabu cha ILIMU—Jua la Maarifa na Maarifu ya ‘Uungu’; ambavyo pia ‘Elimu ni Bahari na tena metafizikia yake ni ILIMU’.

Elimu na metafizikia ya Elimu ni mambo ya maingiliano ya dhahiri—dhahiri macho na dhahiri kiini macho; mambo ya vinavyoonekana na visivyoonekana. Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho injili hueleza la Yesu fundisha jinsi ya kuyajua ya ‘Waja Wema’ kwa ishara ama/na matendo, ni ukweli wa muktadha akilifu wa kuyabaini yaliyodhahiri na yale yaliyositirika. Kwa mintarafu ya haya, sonafi ni ‘kitovu cha uweza wa kawaida na tena uweza mwingine wenye kupitiliza kawaida. Kwenye Injili, mambo ya uwezekano wa kupitiliza kawaida ya uweza, matendo na dhahiri husemwa ni ‘Matunda ya Imani’; kwamba (1) Udhamirifu, (2) Dhumuni, na (3) ‘Nia Uweza’ vinaweza hata ‘kuhamisha Milima’; mambo ya kusafiri/kusafirisha/kujisafirisha tokeo upahala hapa hata pengine—Telepotia ama pia Kupeperuka.

Uweza wa kawaida wa kimiili ni muktadha akilifu wa mapana yote ya kudra na uweza vyenye kuleta silika na matendo ya kiumbe katika mazingira yake ya asili; mambo kama vile utu wa kibinadamu kumudu mwili wenye miguu, mikono, kiwiliwili na kichwa ambavyo kiwiliwili na kichwa hufanya uenyeji wa ‘moyo’ na ‘akili’ kwa ajili ya ‘Hisia, Mafikara na Ufahamu’ kupitia mishipa ya fahamu(fuvu, uti wa mgongo na Ubongo), pumzi (Mapafu) na riziki za kimiili(Moyo, Matumbo na ‘Mifumo yote ya Nyama na Uzima wake’). Kwa mintarafu ya haya, sonafi ni chachu wa ‘uzima wa miili’ inayohusikana na pumzi, fahamu na mashikizano ya yaliyodhahiri na yasiyodhahiri.
ii itabidi niipitie kwa utulivu, ipo deep.
 
kwahiyo unamaanisha wachamungu hawarogwi au kukumbwa na uchawi..ila mkuu ww una majibu mepesi yasiyokidhi haja katika maswali serious ni kama vile hutaki ww umekariri jibu moja tu kwa kila anayeleta shida yake serious wala hujali utajibu "fanya ibada sali sana acha maasi" ukiwa unajibu shida ya mtu mmoja basi jua wapo wengine wengi shida zao zinafanana huoni kama utasaidia wengi.!
 
== Kumbukumbu la Torati: Miongozo kwa ‘Miundo Hai’==

Miongozo ni msingi wa dira/maono, dhima na basi ‘matendo’ ya wanajamii—mambo yenye kuyakinisha muktadha akilifu wa ‘kujichagulia’; mapana ya ujamii na mambo yake.

Kwa Nchi-Dola na jamii ya ‘Watanzania’, kwa mfano, msingi ya Dira, Maono na Matendo—katika kipindi cha Uasisi wa sura ya Nchi na Tawala ni Maendeleo na Kujichagulia katika misingi ya Demokrasi na Ujamaa: Ujamaa na Kujitegemea; Haya basi kuwepo kwa misingi ya Kikatiba na Utashi wa ‘Wananchi’ kupitia ‘Wawakilishi wa Wananchi’ katika kuitaasisisha ‘Katiba ya Ujamhuri’. Ndivyo basi, nchi-dola kiufundi ni ‘kiumbe cha Kufikirika’--chenye kusadifu matamanio ya UTU-MAISHA-UISHO wa wanajamii wenyewe wenyekuhusikana na ‘Kiumbe cha Kufikirika’.

‘Kiumbe cha Kufikirika’ ni chombo cha kimafikara kwa ajili ya misingi ya kujichagulia na tena chenye ushiriki wa ‘Hisia’ na ‘Kujisikia’ katika akili na utambuzi wa Mwanajamii: Utambuzi kumbaizi katika Jamii/Wanajamii—mambo ya ‘Uzalendo’ na ‘Kujitoa/Kuipenda Nchi’ – nchi ya mtu na watu wake. Kiufundi, hili ndilo asili khasa ya zingatio la maombi katika ‘Hali ya Neema’--Wakati wa kuimba wimbo wa Taifa, kuwa na adabu, nidhamu na Msimamo thabiti; wenye kuakisi kusudi la ‘Dua’, ‘Neema’ na ‘Uwepo’ wa kile kilicho khasa ni ‘asili ya Uzima/Kujaza Pumzi ya Uzima katika Miili ya Uweza’ na ‘Kheri ya vyote’—vyenye kuonekana na visivyoonekana; ‘MUNGU’.

UTU-MAISHA-UISHO, kiuono na ufikirifu mifumo ni jambo mtambuka kwa viumbe vyote vyenye nasibu ya Usentienti, Konsayansi na Ufahamu; kwa mintarafu ya hili, Ubinadamu ni namna moja ya usura-kiumbe wenye Usentienti, Konsayansi na Ufahamu. Utu unawezekana kwa viumbe vyenye usura-kiumbe asio wa kibinadamu pia; kwa hivyo ni ‘Ushamba’ kudhani dhana ya kile kilicho ni khasa asili ya Uzima/Kujaza Pumzi ya Uzima katika Miili ya Uweza’ na ‘Kheri ya Vyote’ kina ‘mapendeleo’ na ‘Utu’ wa kibinadamu.

Viumbe vyote venye usentienti, konsayansi na ufahamu, kiuono na ufikirifu mifumo, vina nasibu ya ‘Ontolojia ya Taasisi’, ‘Uono/Kujiwazia UTU’ na ‘Sura na Mienendo ya Utamaduni wake’. Kwa hivyo ni ‘Ushamba’ kama si kasumba kudhania ‘MUNGU’ ni ‘CHANZO CHA UZIMA/UJUMLA WA MAWEZEKANO YA MAMBO YOTE/ULEZI’ ambacho, katika hicho, kiumbe fulani ni Bora kuliko kingine… Ama kudhani, kimoja kinatangulia kingine kwa Ubora eti kwa kuwa Ulimwengu wa Madhahiri huwa na kana ‘wakati wa hiki kuwepo’ na tena vivyo hivyo ‘wakati wa kile kuwepo’…

‘MUNGU’ kuwa ni ‘CHANZO CHA UZIMA/UJUMLA WA MAWEZEKANO YA MAMBO YOTE/ULEZI’ , kiuono na ufikirifu mifumo, ni ishara ya ‘Jua la Maarifa na Maarifu’ katika akili na utashi, tena kadiri ya ‘Roho ya Utambuzi’ kuhuisha mazingira ya miili ya uweza na utendaji wake kama kiumbe—kiumbe chochote kile chenye ‘sura dhahiri’ ama ‘sura iliyositirika’ mbele ya kimojawapo chenye upeo wa namna yake kiufahamu na utambuzi. Kwa mintarafu ya hivi, ‘Sonafi’ ni mbegu ya ‘UTU-Kiumbe’ yenye kuhaisha na kuhuisha ‘miili na uweza wa kibinadamu’ kwa kadiri ya (1) Hisia na Kujisikia--’Usentienti’, (2) Akili ya Udhamirifu wa Mambo--’Konsayansi’, na (3) Mwanga wa Nuru ya Utambuzi/Kujitambua--’Nuru ya Ufahamu’. Basi ndiyo yawa, ‘upandaji mbegu’ ni muktadha akilifu wa nafsi ya duniani, nafsi-roho na Roho ya Uzima wote. Tena basi, sonafi ndiyo nguzo ya pumzi na uzima kwa utu—ufunguo kwa mambo ya fizikia na metafizia ya ‘kujiwazia UTU’ kupitia ‘miili ya uweza’.

Sonafi liwe ni neno rasmi katika lugha ya Kiswahili kumaanisha ufafanuzi wa ile ‘asili ya ndani’, asili iliyositirika, ya utu wa kiumbe chochote; asili inayohuisha miili ya uweza ili utendaji wa ‘kiumbe hai’ katika mazingira yake uwe na nafasi ya kujikadirishia mapana ya ustawi wake—mambo ya ‘Uzima wa Miili—Utwaaji Mwili, Mauti, Ufufuko’. Kwenye lugha ya Kiingereza, Sonafi ni kile kile kinachotajwa kana ‘Soul’ ama pia ‘Divine Spark’--Cheche ya ‘Nuru Manani ya Ufahamu’… Kuwa kwamba etimolojia ya neno ‘Soul/Sonafi’ ni asili ya yote mawili: (1) Jua (Sol) na (2) Nafsi (Kiswahili/Kiarabu kwa neno ‘Self’) — Ku-Jua na Kujitambua kiutu. Basi ndiyo yawa, kwa Rizayati ya Elimu 3.0, Sonafi ndicho kiini mujarabu cha ILIMU—Jua la Maarifa na Maarifu ya ‘Uungu’; ambavyo pia ‘Elimu ni Bahari na tena metafizikia yake ni ILIMU’.

Elimu na metafizikia ya Elimu ni mambo ya maingiliano ya dhahiri—dhahiri macho na dhahiri kiini macho; mambo ya vinavyoonekana na visivyoonekana. Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho injili hueleza la Yesu fundisha jinsi ya kuyajua ya ‘Waja Wema’ kwa ishara ama/na matendo, ni ukweli wa muktadha akilifu wa kuyabaini yaliyodhahiri na yale yaliyositirika. Kwa mintarafu ya haya, sonafi ni ‘kitovu cha uweza wa kawaida na tena uweza mwingine wenye kupitiliza kawaida. Kwenye Injili, mambo ya uwezekano wa kupitiliza kawaida ya uweza, matendo na dhahiri husemwa ni ‘Matunda ya Imani’; kwamba (1) Udhamirifu, (2) Dhumuni, na (3) ‘Nia Uweza’ vinaweza hata ‘kuhamisha Milima’; mambo ya kusafiri/kusafirisha/kujisafirisha tokeo upahala hapa hata pengine—Telepotia ama pia Kupeperuka.

Uweza wa kawaida wa kimiili ni muktadha akilifu wa mapana yote ya kudra na uweza vyenye kuleta silika na matendo ya kiumbe katika mazingira yake ya asili; mambo kama vile utu wa kibinadamu kumudu mwili wenye miguu, mikono, kiwiliwili na kichwa ambavyo kiwiliwili na kichwa hufanya uenyeji wa ‘moyo’ na ‘akili’ kwa ajili ya ‘Hisia, Mafikara na Ufahamu’ kupitia mishipa ya fahamu(fuvu, uti wa mgongo na Ubongo), pumzi (Mapafu) na riziki za kimiili(Moyo, Matumbo na ‘Mifumo yote ya Nyama na Uzima wake’). Kwa mintarafu ya haya, sonafi ni chachu wa ‘uzima wa miili’ inayohusikana na pumzi, fahamu na mashikizano ya yaliyodhahiri na yasiyodhahiri.
Mtindo wa uandishi si kwa ajili ya watu wote, mkuu litazame hilo kwa faida ya wengi.
 
Shukraan.


Sasa nilishawahi kuambiwa kwamba kivuli changu hakipo, kwamba Sasa sionenaki sijui Nini na Nini! Anyway sijawahi kurudi Tena huko...
Tueleweshe je binadamu ana kivuli? Na je kinaweza chukuliwa? Na kulingana na simulizi Yako kama mtu ana vijini viwili vitatu it means anakuwa anaonekana na vivuli viwili vitatu. So kama Hana vijini Ina maana Hana kivuli kabisa? Au inakuwaje hapoo
H Hii habari ya majini ni pana kiasi. Jini kilugha ni kitu /kiumbe kinachojificha kilichofichwa kisionekane. Vipo viumbe vya aina kadhaa, vyote ni majini, au wengine husema wapo majini wa kabila kadhaa. Sasa katika hivi viumbe ndio vingine vinakua na mvuto au ujuzi wa kitu fulani, ambacho kupitia wao wewe unaonekana una uwezo wa ziada.

Huu uzi wote umebeba habari na vitimbi vya majini, na bado vipo vingi sana siwezi kuvileta kwa pamoja.
Simba.
 
Mtindo wa uandishi si kwa ajili ya watu wote, mkuu litazame hilo kwa faida ya wengi.
SAHIHI

SASA, hii ina maana kuna maongezi mepesi mepesi, kimazoeza, na kuna mazungumzo ya kiufundi.

Hilo ulionalo ni gumzo la kiufundi...

Shida ya jamii yetu ni kutotea kwenye mazungumzo mepesi mepesi mno hata kufikia kiasi cha 'uwepesi wa mashauri' kwa mambo yasiyo 'mepesi'...

Nakusihi, jitahidi... jitahidi kuwa unafuatilia mambo yaliyoandikwa kwa koherensia ya ufikirifu...

Hatuwezi kuwa na jamii inayoendelea ikiwa watu wake 'hawakazi nia kujua ilivyo bora'...

Hmmm
 
kwahiyo unamaanisha wachamungu hawarogwi au kukumbwa na uchawi..ila mkuu ww una majibu mepesi yasiyokidhi haja katika maswali serious ni kama vile hutaki ww umekariri jibu moja tu kwa kila anayeleta shida yake serious wala hujali utajibu "fanya ibada sali sana acha maasi" ukiwa unajibu shida ya mtu mmoja basi jua wapo wengine wengi shida zao zinafanana huoni kama utasaidia wengi.!
Hapana, hatumaanishi hivyo ila tunamaanisha ucha Mungu ni kinga kubwa sana. Unajua mchawi akiroga anatazamia majibu na alichokiroga akiona hakijakupata anaongeza ufundi.

Uchawi ni nguvu za kishetani na ucha Mungu ni nguvu ya Muumba wetu.
Simba.
 
== Mambo ya Wateule wa Upatanishi na Ushirika:
Miili yenye Afya’ hujengwa kwa Moyo na Uakilifu Sahihi ==

Uhuru ni Kazi; na Kazi ni Moyo: Utu wa Dhahabu kwa Nchi ya Tanzania, Kiuono na Ufikirifu Mifumo ndiyo asili khasa ya ‘Shoka’ na ‘Nyengo’ na ‘Mkuki’ – zana za jadi za Dhahabu zilizo ni ualama wa Ujenzi, Ulinzi na Mavuno kwa Utamaduni wa Mtanzania. Kwa mintarafu ya hili, Kusini mwa MRABA wa DHAMMA ndiko mapana ya ‘Riziki’ na ‘Kujichagulia’.

Basi ndiyo yawa, Kusini ni pahala pa ‘Ahadi’ kwa ‘UJAZI’ ikiwa Wanajamii wa Kitanzania wanaiishi misingi ya UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI. Tena basi, Kusini yawakilisha ‘Neema za NCHI/ARDHI’… Rangi za Neema ya NCHI/ARDHI ndiyo ‘NYEKUNDU’ na ‘Njano ya Dhahabu’ kwa chochote chenye kuwakilisha UTU na KUJICHAGULIA…

Imani huhifadhi; Mapenzi Mema ni Ulezi kwa Utu; Utu wa Dhahabu kwa Nchi ya Tanzania, kiuono na Ufikirifu Mifumo ndiyo asili khasa ya Chama cha Mapinduzi kuwa na Misingi ya (1) ‘Usawa’, (2) ‘Kuondoa Unyonyaji na mifumo ya Kiunyonyaji’, na (3) ‘Ujamaa’. Kwa mintarafu ya haya, Ujamaa ni Imani; na ‘Uongozi’ katika jamii ni ‘Shughuli ya Kuichunga Mifumo’ ili isipotoke na ‘Ukafiri’.

Basi ndiyo yawa, harakati za Chama ni fanusi ya ‘Mwenge wa Uhuru’ – kutumia nguzo za kazi na kujichagulia kama mwongozo wa Mapinduzi ya Kiutu kutoka kwenye mifumo ya Unyonyaji. Tena basi, Chama cha Mapinduzi ni ‘Chachu’ ya ‘Utu Bora’, ni Chumvi ya Dunia na Nuru ya Ulimwengu; lakini kama inavyosemwa kwenye Injili, Kumrejea Yesu: lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwa nini hata ikolee? Haifai tena kabisa, ila kutupwa nje na kukanyagwa na watu ( ! ).

Rangi ya Udugu katika Utu wema ndiyo ‘KIJANI na ‘NJANO YA DHAHABU’ kwa chochote chenye kuwakilisha Hamasa ya UTU-KAZI-UJENZI WA KAYA; kwa ‘Kusudio Dhamma’, hamasa ni ‘UZABIBU 13’.​
 
== Mwanzo Palipo na NENO ==

Hamasa ya UTU-KAZI-UJENZI WA KAYA; kwa Dhammapada, ni UZABIBU 13. Kiuono na Ufikirifu Mifumo, ni muktadha akilifu wa ‘Sala na Kazi’. Kwa mintarafu ya haya ‘HARAMBEE’ ni kauli mbiu inayokamilishana na ‘Uhuru na Umoja’ kwa kuwa Jamii/Nchi-Dola/Taifa daima hujengwa na wenyemoyo—huliwa na wenye meno pale ambapo ‘Ulinzi Shirikishi’ kwa mifumo ni dhaifu ama ‘Upendo wa wengi kuwa Umepoa’. Basi ndiyo yawa, kupoa kwa upendo ndiyo asili ya ‘kwenda tezi na omo’ kwa taifa, nchi-dola ama jumuiya ya watu ambavyo ‘Dhamma hufichama’ na basi uwezekano wa ‘Sovereini Jumuifu---Ujamaa wa Kweli, hudhaniwa ni ‘Utopia’-- njozi za wale wenye kuiwazia ‘Nchi ya Kusadikika’. Tena basi kumbe, ‘Njozi iliyopotea’ ni ishara ya ‘Ukafiri’--’Wasafiri walio wengi’ kuupoteza mhimili wa Imani…

Mapenzi Mema ni Ulezi kwa Utu kwa ‘Mhimili wa Imani’; Kiuono na Ufikirifu Mifumo, ‘wito situisha—Situational Call’ ni uono na upeo wa vina vya tafsiri ya jambo/mambo katika jamii kulingana na usahihi ama upotofu wa dhamiri katika kuliishi/kuyaishi makusudi makuu ya jamii/jamii/nchi-dola. Kwa mintarafu ya hivi, utatusho wa kiuchangabuzi kwa mapana ya elimu, siasa na mipango ni uweza wa kulingania ukatikati wa tafsiri ya jambo na makusudi ya kusahihisha utendaji wa kijamii/uongozi kupitia mifumo na tena kwa ajili ya manufaa ya wote: ‘wananchi’ na ;wale wenye dhamana ya uongozi’. Basi ndiyo yawa, ‘Uongozi kwa dhamana ya Uwakilishi wa Umma’ ni fanusi ya utumishi na unyenyekevu kwa kile kilicho ni khasa asili ya Uzima wetu wa Miili na kheri za kijamii. Tena basi, Ontolojia ya Taasisi, kwa mapokeo ya Uislam, ndiyo ‘fumbo la Imani’ katika Suurat al-Faatih'a.
Hisia na Kujisikia ndiyo asili ya cheche ya ‘Utu’, ambavyo tena ni asili ya nukta na duara la utukufu wa ‘Roho ya Uzima wote’. Kiuno na ufikirifu mifumo, hili linashahibiana na ‘nukta’ ya ‘andiko’ la (1)Kauli/NENO la kuanza yote kwa Jina la Rehema na Fadhili. (2) Kushukuru na Kutukuza ni ‘ombi’ la kijiweka sawasawa na ‘Mapenzi na Kheri’ ya kile kilicho ni asili ya Uzima wote na Amali zote za ‘Mbingu’ na ‘Nchi’. Kwa mintarafu ya ‘Mamlaka’ na ushahibiano wa Utaasi wa UTU na Utamaduni, asili ya yote hutajwa ni ‘Bwana wa Ulimwengu’.

Kiuono na ufikirifu mifumo, ‘Ufunguo wa Imani’ ni ‘Vesika Paisisi’ ya ‘Uzabibu 13’ ambavyo (3) Mbegu ya Miongozo ya Utu bora inakiriwa na kundanishwa(Rehema na Fadhili), (4) Utambuzi wa Utaasisi wa ‘Mtu/jamii katika Imani’ na hatma ya ‘Nyakati’ unakiriwa na kundanishwa (Eskatolojia—Siku ya ‘Hesabu’), (5) Kujisalimisha katika ‘Nishani ya Utu Bora’ – udhamirifu wa jitihada za kustahiki ‘kheri ya utukufu’ katika ‘Safari ya Kujitafuta’ (Sifa za kutosha Kuabudiwa kile kilicho ni Khasa asili ya ‘Mbegu ya Utu’ wetu kama ‘watu’, (6) Udhamirifu wa ‘Jitihada Sahihi’ kwa ajili ya kupata uongozeaji wa njia – njia za kujichagulia yaliyo na kheri ya ‘utimilifu wa kusudi la UTU’, (7) Udhamirifu wa ‘Kutumainia Mema’ na kuwa ndani ya ‘Mapenzi Mema’ ya fahari ya UTU.​


Udugu katika Imani ni ufunguo wa jamii kustahili Rehema na Fadhili ya kile kilicho ni khasa asili ya Uzima wa Miili yetu ya asili ama/na ‘miili ya kujiwazia utu’—iwe ni kwa jamii, taifa ama hata nchi-dola. Kwa mintarafu ya hili, Aya ya kwanza kabisa ya Kuruani ni Shauri la Kuanza Yote na/kwa Kile kilicho ni khasa asili ya Uweza, Nguvu na Utukufu wenye Kurehemu na kuruzuku vyote: Vinavyoonekana na Visivyoonekana; Muktadha akilifu wa ‘Mola Mlezi wa Viumbe Vyote’. Basi ndiyo yawa, katika mapokeo ya Ukristo hili ni Muktadha akilifu wa kana kutaja ‘Bwana wa Ulimwengu’… Tena, kushukuru na kutukuza ni ‘Rizayati ya Ufunguo wa Ufahamu na Utambuzi Maridhawa’ ili kujitakasa: kwa ajili ya makusudi mema ya Utu ulio Bora—Unyenyekevu na Uungwana katika njia ya Wongofu; kuweka mbali nasibu ya Ukafiri—Kiburi na Ujinga wa Kinafsi.

Udugu katika Imani ni ufunguo wa jamii kustahili Rehema na Fadhili ya kile kilicho ni khasa asili ya Uzima wa Miili yetu ya asili ama/na ‘miili ya kujiwazia utu’—iwe ni kwa jamii, taifa ama hata nchi-dola. Kwa mintarafu ya hili, aya ya nne ya Suurat al-Faatih'a ni ukirifu wa ‘Hesabu’ juu ya hatma za ‘kujiwazia Utu’--mambo ya mapelekeo ya kujichagulia ‘fungu la kupata’ ama ‘fungu la Kukosa’ kulingana na Rehema na Fadhili ya kile kilicho ni Khasa asili ya Uzima wa Miili yetu ya asili ama/na ‘Miili ya Kujiwazia Utu/Utamaduni’. Basi ndiyo yawa, kiburi na ujinga wa Kinafsi huweza kumfanya mwanajamii kudhani hakuna hatma yeyote mbaya juu ya ‘kudhamiria dhuluma’ ama ‘kuachia chuki na machukizo’ viandame vizazi vya watu duniani/ulimwenguni. Tena basi kumbe, kudhani ‘Malipo ni Hapa Hapa Duniani’ kwa hukumu za kibinadamu--hukumu ambazo zinaweza kuja na ujuu juu wa sheria, haki na adhabu ama labda mapatilizio/thawabu ya Karma; hivi vyote huenda si ishara ya ukamilifu/utimilifu wa mambo. Udugu katika Imani, ni daima ‘Kuabudu’ na ‘Kuomba’ msaada kwa ajili ya ‘kheri ya wote’ katika njia ya Wongofu.

‘Kuabudu’ na ‘Kuomba’ msaada kwa ajili ya ‘kheri ya wote’ katika njia ya Wongofu, kiuono na ufikirifu, ndiyo muktadha akilifu wa ‘usikronifu wa dhamira—kwa ajili ya sinejia ya matendo/kuhuluku’ miongoni mwa wanajamii. Kwa mintarafu ya hili, kheri ya jamii huja kulingana na ‘uelewa na utambuzi’ wenye kushiriki kusudi/makusudi ya mambo mema—kushikiri kusudi kwa Utu wema. Basi ndiyo yawa, Suurat al-Faatih'a ni ‘lango la Imani’ na ‘Kioo cha Udhamirifu wa Kusudi/Tumaini Jema’ la ‘Jamii ya Wenyekuamini’. Tena basi, hili ndilo lile lile linalojitokeza katika ‘Sala ya Bwana’ kwa mapokeo ya Ukristo: ‘Kundanisha Ufalme’ na ‘Kuutaka Uje Duniani/Ulimwenguni—Mapenzi kutimizwa Duniani kama Mbinguni.’; kwa kuwa ‘Ufalme’ wa kile kilicho ni khasa asili ya Uzima wa Miili, ndicho asili ya Uweza na Nguvu na Utukufu wote—Milele hata Milele. Kuabudu na Kuomba, ni njia ya kujisahihisha kiutu ili kufaa ‘Uzima wa Miili’--uzima wa ‘Jamii ya Wenyekuamini/kuwa na Imani’--Sala huja ni Udhamirifu wa Kiupamoja na si kusudi la upekee wa Mwenyekuamini, kusema dhahiri hapa na pale: ‘Tunaomba/Twaomba/Tuombe’…

Udugu katika Imani ni ufunguo wa jamii kustahili Rehema na Fadhili ya kile kilicho ni khasa asili ya Uzima wa Miili yetu ya asili ama/na ‘miili ya kujiwazia utu’—iwe ni kwa jamii, taifa ama hata nchi-dola. Kwa mintarafu ya hili, aya ya saba ya Suurat al-Faatih'a ni ufunguo wa HAKI—Haki ya Mbingu na nchi. Basi ndiyo yawa, sura na mienendo ya jamii ni fanusi ya kujichagulia ambavyo ‘Haki’ huiinua jamii/Taifa/Nchi-Dola na ‘Dhuluma’ huzorotesha na kuudidimiza UTU wa watu. Tena basi, Haki ni Uponyaji wa Mataifa na tiba ya maradhi ya ‘Homa ya Dunia’. Kujichagulia huja na mawili, fanusi ‘Shetani’ ama fanusi ‘Malaika’; Shetani na Ushetani ni fungu la kujichagulia ‘Kuanguka Ardhini/Nchini’ na hali ‘Umalaika’ ni kujichagulia ‘Kuinuliwa na Kupaa Mbinguni—Kuota Mbawa’.

Katika Yantra Dhamma, kusini ya MRABA DHAMMA ndiyo huja na topografu ya ualama wa nyoka wawili wenye kusokotana kwa vitovu vitano (5); wakakazia macho manne(4) kwenye kitovu cha sita(6) cha Usafiri utanukiao juu ‘Mbinguni’. Kwa mintarafu ya hivi, Dunia na Mambo yake ni fanusi ya mawili, (1) Usentienti, Konsayansi na Ufahamu kujinasibu na Mhimili wa Imani ya UTU, na (2) Mhimili wa Imani ya Utu ni Ugani wa Ushawishi katika kujichagulia—Kujichagulia ‘Ufalme wa Mbingu’. Basi ndiyo yawa, ‘Mbingu na Nchi’ ni fumbo la imani juu ya ‘Ufahamu’; kuwa kwamba ‘Ufalme’ uko ‘Mahala Pote’ ijapokuwa ‘Uzima wa Miili’ ni fanusi ya ‘Mageuzi ya Kisura’ kufaa ‘Utukufu Wote’. Tena basi, kama inakuja na mapokeo ya Ukristo, ‘Haki ya Mbingu’ ni ‘Fanusi ya Mwili wa Ufufuko’--kuanguka Ardhini/Nchini ni MAUTI’ na hali kuinuliwa na Kupaa Mbinguni ni UFUFUKO’.

Aya ya saba ya Suurat al-Faatih'a, kiuono na ufikirifu mifumo ni muktadha akilifu wa ‘kuwa na nia ya Kristu’. Kwa mintarafu ya hivi, Vesika-Paisisi ni ualama wa ‘Kristu’ ambavyo ‘Uzabibu 13’ ni ‘Njia na Kweli na Uzima’. Basi ndiyo yawa, ‘Njia ya uliowaneemesha’ ni muktadha wa ‘fungu la kupata’ ilivyo ni ‘Kristu ni Faida’; tena ‘wale waliokasirikiwa, wale waliopotea’ kuwa muktadha akilifi wa ‘fungu la kukosa’--kuikosa neema ya wokovu mkuu namna ya ‘Gongo kwa Msafiri’.

Ndivyo tena basi, maisha ni yote mawili—yote mawili kimatendo/uisho, ni nasibu ya (1) ‘unyoofu wa mapito’ ama (2) ‘kuvurunda uisho’ kutokana na matamanio ya kimiili, ufahamu na utashi. Kiufundi, hakuna ‘Utashi’ pasipo (1) majaribu na (2) vishawishi; kwa hivyo Shetani/Ibilisi na Kristu ni metafo za maudhui ya UTU katika muktadha akilifu wa Usentienti, Konsayansi na Ufahamu.

Shetani/Ibilisi na Kristu ni metafo za maudhui ya UTU katika muktadha akilifu wa Usentienti, Konsayansi na Ufahamu. Kwa mintarafu ya hivi, Kristu ni Metafizikia ya UTU na Udugu katika Imani ambavyo ‘Kumbukumbu la Uzima wa Miili’ daima hutumikia yote mawili (1) Upotofu wa Dhamiri ya Utu Bora na pia (2) Hitaji la Kuinuliwa Juu katika Utukufu wa ‘Uzima Zaidi wa Miili ya Uweza’. Basi ndiyo yawa, UTU-MAISHA-UISHO ni safari ya kujichagulia kulingana na ‘tamaa za kimiili’ ama kiu/hamu ya kula ‘Mkate’ na ‘damu ya Kristu’. Tena basi, ‘Mkate na Damu’ ni mambo ya ‘Riziki ya Kudumu’ ya ‘Mja Mwema’, Yesu kupata kufundisha hivi; ambavyo, kiufundi, na tena kupitiliza utaasisi wa ‘Ekaristi Takatifu’, kula na kunywa damu ya Kristu ni ‘fumbo la Imani’ ilivyo ni ‘Rizayati ya Elimu 3.0’...

Shetani/Ibilisi na Kristu ni metafo za maudhui ya UTU katika muktadha akilifu wa Usentienti, Konsayansi na Ufahamu. Kwa mintarafu ya hivi, Kristu ni Mkate na Damu ya Uzima kwa ajili ya ‘Ushirika wa Kiroho’ ambavyo ni ‘Waja Wema’ hudumu katika Udugu wa Imani—Mambo ya ‘Kukomunika’ na ‘Kipaimara’ katika kushiriki kusudi ya kile kilicho ni khasa asili ya Uzima wa Miili yetu na ‘Kujiwazia Utu’. Basi ndiyo yawa, fumbo la imani la ‘Uja-Wema’ ni Rehema na Fadhili ya ufanusi ya vitatu katika moja(1:1:1); ambavyo kukomunika ni mambo ya ‘kuijenga jamii ya walioamini’—katika mapokeo ya Uislam hili ndilo khasa shauri la ‘Ukaribu na ALLAH’ na tena jumuiya ya watu walioneemeka kwa jina tukufu la AL JAAM—Mola Mkusanya Waja Wema. Udugu katika Imani, kwenye mapokeo ya Uislamu ndiyo shauri la ‘Uimamu’ na ‘Wilayat’; kwenye Ubuddha ni shauri la ‘Sangha’, na vivyo hivyo huwa kwa namna zote za ‘Utawa/Uteule’ ama ‘Uimamu/Awliya’ ulioiva kwenye ‘Unyoofu’ na ‘Mapenzi Mema’.

Shetani/Ibilisi na Kristu ni metafo za maudhui ya UTU katika muktadha akilifu wa Usentienti, Konsayansi na Ufahamu. Kwa mintarafu ya hivi, Kristu ni Metafizikia ya UTU na Udugu katika Imani ambavyo ‘Kumbukumbu la Uzima wa Miili’ daima hutumikia yote mawili (1) Upotofu wa Dhamiri ya Utu Bora na pia (2) Hitaji la Kuinuliwa Juu katika Utukufu wa ‘Uzima Zaidi wa Miili ya Uweza’. Basi ndiyo yawa, UTATU MTAKATIFU ni muktadha akilifu wa BABA, MAMA na MWANA kufaa vina vyetu vya tafsiri kiakili ili kubayanisha jiometria ya utendekavyo maamuzi jamii ama pia metafanusi ya hili. Tena basi, kiufundi, kile chochote tunachoweza kumaizi kama BABA ni muktadha akilifu wa ‘UONO NA UFIKIRIFU MIFUMO; MAMA ni muktadha akilifu wa PUMZI YA UZIMA/KUHULUKU WA MIILI YOTE KATIKA DHAHIRI AMA SITIRI; MWANA ni muktadha akilifu wa NASIBU YA KUJIWAZIA UTU kwa rehema na fadhili ya UTATU WENYEWE ULIO NI ‘MOJA’.

UTATU ni nyenzo ya MAARIFA na MAARIFU katika Rizayati ya Elimu 3.0. Kwa mintarafu ya hivi, mtu asiye na nasibu ya Rizayati ya Elimu 3.0 habari na mambo ya ‘UTATU’ ni ‘FUMBO LA IMANI’. Basi ndiyo yawa, hata kwa mtu wa Rizayati ya Elimu 3.0 kuna ufunuo wa ‘Mbegu ya U-JUA-JI’ ya kadiri ya (1) Kujenga, (2) Kuponya ama (3) Kukamilisha nia/dhamira ya kujiwazia UTU. Mja mwema wa Kujenga ama Kuponya hawezi chochote pasipo misingi la NENO lililo ni UTATU MTAKATIFU. Mja Mwema wa nia/dhamira ya Kujiwazia UTU ndiye kwake UTATU huwa ni MOJA kiuweza—kwa hiyo MOJA, ‘vyote huja, vyote huenda’.

MOJA, ya ‘vyote kuja ama/na kwenda’ ni fanusi ya PUMZI YA UZIMA. Kiuono na Ufikirifu Mifumo, kuja na kwenda ni ishara ya wakati na mambo ya nyakati, Kwa mintarafu ya hivi, ‘vitu vyote vilivyofanyika, kufanyika sura/uzima wa miili’, huhusikana na ‘wakati’ na kile kilicho ni khasa ni asili ya Uzima wa Miili ni uasili wa ‘Milele’. Basi ndiyo yawa, ‘Milele si Wakati’ bali UWEPO; kiufundi, vile kusema ‘Mungu yuko Mahala pote’ ama/na ‘Mungu ni yule yule jana, leo na Kesho’ ni KWELI ya uasili ya yote mawili—yenye kuonekana na yasiyoonekana. Tena basi, UTATU ni ukadirifu wa Uono na Ufikirifu Mifumo pale akili inapotumika kubaini Dhahiri; kile kinachopitiliza Dhahiri ni ‘MOJA’--haijazaliwa, haijazaa na wala Ukamilifu wake hahuhitaji kilichodhahiri ili kutimilika.

MOJA, ya ‘vyote kuja ama/na kwenda’ ni fanusi ya PUMZI YA UZIMA. Kiuono na Ufikirifu Mifumo, kuja na kwenda ni ishara ya wakati na mambo ya nyakati, Kwa mintarafu ya hivi, ‘Milele ni Kumbukumbu ya yote’ – yaliyopata kutukia/tokea, yanayotukia/tokea, yatakayotukia/tokea. Basi ndiyo yawa, UWEPO ni siri ya Kusitirika kwa Mambo--mambo kama ya UTU/Kujiwazia UTU; na hali mawezekano yote ya nasibu ya kujichagulia na matendo ni mafichamo katika ‘moyo’ wa MOJA. Tena basi, muktadha akilifu wa ‘Moyo’ wa MOJA ndiyo habari ya ‘Roho wa Uzima Wote’; kwenye mapokeo ya Ukristo ndiyo hutajwa ‘Roho Mtakatifu’; Kwa mapokeo ya Imani ya Mashariki ya mbali, Roho ya Uzima Wote ndiyo muktadha akilifu wa mambo ya ‘AKASHA/PRANA/CHI’--metafizikia ya uweza wa kimiili.

MOJA, ya ‘vyote kuja ama/na kwenda’ ni fanusi ya PUMZI YA UZIMA. Kiuono na Ufikirifu Mifumo, kuja na kwenda ni ishara ya wakati na mambo ya nyakati, Kwa mintarafu ya hivi, ‘Roho ya Uzima wote’ ni ‘Uakilifu wa Yote—yaliyodhahiri na tena yale yaliyositirika’. Basi ndiyo yawa, kwenye fremukazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, pembetatu OX-OY-OZ ni ualama akilifu wa ‘Roho ya Uzima Wote’; ambavyo pembe tatu ya UONO ni uasili wa Maarifa na Maarifu; Pembetatu ya ONTOLOJIA YA TAASISI ni uasili wa ‘Nafsi na Kujichagulia’; Pembetatu SURA MIENENDO YA JAMII/SOVEREINI JUMUIFU ni fanusi ya Ushirika wa Kiroho katika ‘Kheri ama tabu’ kulingana na Mseto wa dhamiri za Wanajamii katika ‘Ku-JUA Duni/hafifu’ ama ‘Ku-JUA Ilivyo Bora’.

‘Ku-JUA Duni/hafifu’ ama ‘Ku-JUA Ilivyo Bora’, kiufundi ndiyo matokeo ya ‘fanusi Ibilisi’ ama ‘fanusi Kristu’. Kwa mintarafu ya hivi, Ku-JUA duni/hafifu ndiyo ule muktadha akilifu wa ‘kutenda dhambi’ na ‘Kupungukiwa na Utukufu wa Mungu’-- mambo ya kusema: ‘mtenda dhambi ni mtumwa wa dhambi’; vivyo hivyo ‘kupotea.uana mpotevu’ ama ‘kurudi nyumbani’ bado ni mambo yaliyositirika katika ‘PUMZI YA UZIMA’. Basi ndiyo yawa, katika mapokeo ya Ukristo, Roho Mtakatifu ni Uweza unahudumia pande zote za mambo, wema na uovu – Upendo AGAPE, na hali dhamira ya kujiwazia utu usio katika ‘MILELE’ ndiyo fanusi ya Ibilisi/Shetani; dhamira ya kujiwazia utu ulio katika ‘Uzima wa Milele’ ndiyo ‘fanusi Kristu’. Tena basi, Roho ni mtakatifu ni ‘Advoketi --Mwanasheria upande wa Ibilisi’ na hapo hapo ni ‘Parakliti – Wakili wa Utetezi kwa mwenyekuwa na Mashtaka’ – katika ‘Kujiwazia UTU’ kupitia Usentienti, Konsayansi na Ufahamu.

‘Ku-JUA Duni/hafifu’ ama ‘Ku-JUA Ilivyo Bora’, kiufundi ndiyo matokeo ya ‘fanusi Ibilisi’ ama ‘fanusi Kristu’. Kwa mintarafu ya hivi, nyoka wawili wa kadisyusi na mbawa katika topografu ya Kusini ya Kujichagulia ndiyo hasa fumbo la imani kwa UFAHAMU KRISTU. Basi ndiyo asili ya kile khasa katika injili hushudia Yesu kupata kusema : ‘Kuwa Werevu kama Nyoka, Wapole kama Hua’. Kila nyoka wanapojisokotea nje, huko ni kutangatanga mbali na ‘karamu ya BWANA’; wanapojisokotea ndani ni ‘Marejeo Ngamani’. Tena basi, alama ya ‘X’ ni ualama wa ‘Shika Neno, Tenda Neno’ ilivyo ni ‘Usahihi wa Kimifumo’. Ufahanu Kristu ni Usahihi wa Kimfumo katika ‘Mwili wa Ufufuko’--mambo ya kuishinda mauti, ‘kufufuka’ na ‘Kupaa Juu Mbinguni’.

‘Ku-JUA Duni/hafifu’ ama ‘Ku-JUA Ilivyo Bora’, kiufundi ndiyo matokeo ya ‘fanusi Ibilisi’ ama ‘fanusi Kristu’. Kwa mintarafu ya hivi, kuijenga nyumba/kaya ama/na uponyaji wa mtu/kaya ni matendo ya karama za ‘Roho wa Uzima wote’ ambavyo Uzabibu13—Ufahamu Kristu ni ‘Mbegu ya U-JUA-Ji’ ilivyo ni NENO lenye kuunda, kurudishia ama kufufua ‘uzima wa miili’. Basi ndiyo yawa, HAKI ya Mbingu --U-JUA-Ji uliobora/barikiwa, ni Uponyaji wa Mtu/UTU/MATAIFA. Yeyote mwenye ku-JUA ilivyobora hutenda ilivyobora—kujichagulia katika ‘fanusi Kristu’ ni kuchagua ‘fungu la kupata’; ni kuchagua ‘UZIMA/UZIMA WA MILELE’…​
 
Back
Top Bottom