Ni siku nyingine tena ya maumivu

Ni kawaida kula pisi mzee, na kila pisi unayokula sio yako peke yako
Nyingine kesho ndo ndoa, nyingine ziko na wapenzi serious kabisa ila unachakata unakausha..

Ujue hii kitu unayofanya huwa wanafanya sana wanaume wanaokataliwa sana na wanawake au wanaume wanaohisi wana upungufu wa nguvu za kiume so wanajiexpose kua wako njema, ili wajipe matumaini.
Ila kwa mwanaume kamili kula mbususu ni jambo la kawaida kabisa, sio big deal.
Mbona kama unatetea udhaifu wako....? Wala pisi tunajuana
 
Mbona kama unatetea udhaifu wako....? Wala pisi tunajuana
Ndo ukweli huo jombii, kuchakata papuchi ni kitu normal kama kula msosi tu.
Ndio maana hukuti mtu anasema leo nimekula huki ama kile ila siku akila vizuri maana sio kawaida yake basi lazima apost huo msosi. Hujui hilo??
 
Kama kawaida ndugu yenu hapa ninaewapenda na kuwajari. Ni hivi leo ni siku nyingine ya maumivu kwa wanaume wagai gai kwenye sector ya mapenzi.

Ni hivi leo tena naenda kulamba kibuyu cha mchumba wa mtu kama ambavyo jana nimelamba kibu cha mchepuko wa bro mwenye v8 japo sio mtamu kivile ila sijui ni nini kimekuvutia hadi kumfanyia uwekezaji huu.

We kajamaa ninaeenda kukulambia leo ukipiga Simu moja ukiona haija pokelewa tulia. Hiyo tabia ya kupiga masimu utafikiri mtu kakubebea dozi ni ujinga sana.

Unapigaje missed calls 23 na meseji 40 huoni kama unamkatisha utamu mpenzi wako embu kuwa muelewa acha ubinafsi muache ale raha kwa amani kesho nayo ni siku atakutafuta.

Kuwa muelewa kama bro wa v8

NB: Mwanaume tumia akili na sio hisia, ningewapa screenshots ila hamjitambui.
Dah we jamaa…poa haina noma hatupigi simu
 
Back
Top Bottom