Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,049
- 48,785
Wataka mtunukuUko wapi....
Wataka mtunukuUko wapi....
Mkuu,Huu ni ushamba au ni nini? wanawake wapo kibao tunapita nao kila kukicha! unakuja hapa unabrag? Mataahira yapo mengi ww ni mmoja wao
Hapana nataka apokee simu nampigiaWataka mtunuku
AnachakatwaHapana nataka apokee simu nampigia
Hakika lo. Mwanaume pia hachungwi shortly mtu mzima hachungwi
Watu wa magharibi na tamaduni zenu vichwa vimejaa marangi rangi hata tukiongelea ugali lazima mlete mambo yenu"Funny fkng h0es till you realize you is a h0e" - J Cole, ngoma nimeisahau jina
"You could be a btch even if you got btches" - Kendrick Lamar
Wakubwa tumeuelewa uzi wako,sibahatishi.Hapa tunaongelea kuchakata vibuyu wewe unatuletea habari zako za upinde ..mzee usitupeleke kwenye mambo yenu
Mimi mbeba box,usijiongopee,nilipo mimi wewe hutakuja kupakanyaga,utafia huko huko kijijini kwenu tu.Leo atawahi kurudi promise
Na wanahisi sisi ambao hatuna v8 hatuna maisha mengine
Binadamu wanaochunguza au kuwachunga wanawake nawaoneaga huruma sana...Hakika lo. Mwanaume pia hachungwi shortly mtu mzima hachungwi