UNAJUA KAKA HAPA NI SEHEMU YA KUELIMISHANA , HIVYO NI BUSARA KUPUNGUZA MASIHARA ILI WANAOHITAJI ELIMU WAIPATE ,HATA HIVYO TUNASHUKURU KWA MCHANGO WAKO KUWA NYOKA MKUBWA NI WA KIJANI
Huyu nyoka ni wa ajabu sana nakumbuka mwaka mmoja nlitaka kufua nguo(mtoni) nikaahirisha nikaziacha nguo hapo hapo nkaenda homeKifutu eti ndo nyoka mvivu kuliko wote duniani!! Hana haraka... Anaweza ingia uvunguni akaishi huko ata wiki zikakatika... Ila ukiingia 18 zake umekwisha! View attachment 499518
Kifutu na hatari yake yote hana haraka kudonoa mtu!!! Mpaka pale atakapohisi kuna hatari kwake... Kama unataka kumkanyaga au kumshikaHuyu nyoka ni wa ajabu sana nakumbuka mwaka mmoja nlitaka kufua nguo(mtoni) nikaahirisha nikaziacha nguo hapo hapo nkaenda home
Kesho nikarudi nkazikusanya nguo mpaka home na kuziweka chumban jion sasa tuwashe kibatar ile harufu ya mafuta bwana ilimtoa ndani ya zile nguo....palichimbika aisee
Hahahahaha nyoka huyu hatari sana anateka watu duh muulize RomaNyoka makengeza aliwahi kutajwa hadi bungeni.
Pole sana,mie sipend NYOKAHuyu nyoka ni wa ajabu sana nakumbuka mwaka mmoja nlitaka kufua nguo(mtoni) nikaahirisha nikaziacha nguo hapo hapo nkaenda home
Kesho nikarudi nkazikusanya nguo mpaka home na kuziweka chumban jion sasa tuwashe kibatar ile harufu ya mafuta bwana ilimtoa ndani ya zile nguo....palichimbika aisee
Mkuu asante na kama hupend basi usije huku kwetu maana ni weng sanaPole sana,mie sipend NYOKA
Aisee,nimeishi vijijini ila sijaish maeneo yenye majoka majoka.Mkuu asante na kama hupend basi usije huku kwetu maana ni weng sana
We ulyatafut mwnyew,, nn sabb ya kuziach nguo,, afu ukaziach mpk kesho nd unazifata ,,,we ulkua na mattzo co bure…!!!!Huyu nyoka ni wa ajabu sana nakumbuka mwaka mmoja nlitaka kufua nguo(mtoni) nikaahirisha nikaziacha nguo hapo hapo nkaenda home
Kesho nikarudi nkazikusanya nguo mpaka home na kuziweka chumban jion sasa tuwashe kibatar ile harufu ya mafuta bwana ilimtoa ndani ya zile nguo....palichimbika aisee
Mkuu nlivyoanza tu kufua nikaitwa niende shamba kulinda ndege wasile mpunga(pawaga) maana alie kuwa analinda alipata ugonjwa hivyo tunalinda ndege mpaka saa 1 usiku na kutoka shamba mpaka ni mwendo wa dakika 40 hivi ikawa usiku ndo nkaamua nizifuate asbh kabla ya kwenda shamba tena.We ulyatafut mwnyew,, nn sabb ya kuziach nguo,, afu ukaziach mpk kesho nd unazifata ,,,we ulkua na mattzo co bure…!!!!
Chunya huko ni hatareee mkuu kuna mijoka iko pande flan hivi wanaita maili tano km ushawah kusikia nyoka anaewika BA's chunya wapoAisee,nimeishi vijijini ila sijaish maeneo yenye majoka majoka.
Ukuaji wangu naona vinyoka vya kawaida au kama mkubwa hazdi mkono kwa unene.Sasa ukiniambia huko kwenu wapo wengi sijui ingekuaje.Jamaa yangu alikua Chunya ananambia kuna Nyoka wengi sana,aina nyingi za nyoka.Nilikua napata hofu sana.
Mkuu ni vyema ukarudi na anti-venom za hawa nyoka. Itatusaidia sana sisi watu wa pori. Nasikia sikonge ni balaa kwa koboko!Anaconda akifutiwa na chatu wa Asia ya Kusini(ukubwa) (hawana sumu, wanaua kwa constriction)
Nyoka mkubwa mwenye sumu ni King Cobra
Nyoka hatari sana kama taipan(ana sumu yenye uwezo wa kuua mpaka watu 400)na Tiger snake wote toka Australia... Australia pekee ina top 10 ya nyoka wenye sumu kali zaidi duniani
Nyoka mwenye sumu kali Afrika ni Black Mamba(koboko) sumu yake inaitwa neurotoxin pamoja na cardiotoxin(inaathiri mfumo wa neva pamoja na moyo
ndo nyoka mwenye kasi zaidi pengine dunia anakwenda km 19 kwa saa(12mph)... Lakini kwa Afrika Boomslang na vine au twig wanaweza kuwa na sumu kali zaidi japo watu wengi wanachukuliwa poa kwa sababu sio wakorofi sana kama Mamba (silent killers (hawa wana sumu inayoitwa haemotoxin ambayo huathiri damu... ina chemical component ambayo huzuia damu kuganda (clotting) na chemical component nyingine husababisha kupasuka kwa mishipa ya damu hii husababisha damu kuvuja ndani na nje kupitia matundu ya mwili )
Puff adder (kifutu) ndo nyoka mwenye kuuwa watu wengi Afrika kuliko nyoka mwingine(sumu yake inaitwa cytotoxin hii huathiri tishu... Inasababisha kuungua au kuoza sehemu ilioumwa
Mozambican spitting Cobra ndo nyoka anaedhuru watu wengi Kusini mwa Afrika
NB:Angali nyoka wote kwa umakini japo asilimia 70 ya nyoka tz hawana sumu ya kudhuru binadamu... Nyoka mdogo ni hatari zaidi (concentration ya sumu kwa nyoka wadogo ni kubwa... Wanatumia kujilinda kutokana na udogo wao)
Nyoka wakubwa umbo lao laweza kuwasaidia kuogofya
Huyo anayewika alinambia,sasa watu wanaishije bro?Chunya huko ni hatareee mkuu kuna mijoka iko pnde flan hivi wanaita maili tano km uxhawah kuxkia nyoka anaewika BA's chunya wapo
Ooow,, polee nilijua ni uvivu aisee,, nisamehe bure…!!Mkuu nlivyoanza tu kufua nikaitwa niende shamba kulinda ndege wasile mpunga(pawaga) maana alie kuwa analinda alipata ugonjwa hivyo tunalinda ndege mpaka saa 1 usiku na kutoka shamba mpaka ni mwendo wa dakika 40 hivi ikawa usiku ndo nkaamua nizifuate asbh kabla ya kwenda shamba tena.
Kwa muda mrefu nasikia majina tofauti tofauti ya nyoka na sifa zake,hatari zake...lakini je ni yupi ndio kiboko ya yote...yaani funga kazi.anapatikana wapi
Wanasifika sana ni kama vile
Koboko,chatu,cobra,anakonda,futu, n.k
Tujuzane kidogo wakuu
Aiseee uko vizuri nadhani una PHD ya mambo ya nyokaAnaconda akifutiwa na chatu wa Asia ya Kusini(ukubwa) (hawana sumu, wanaua kwa constriction)
Nyoka mkubwa mwenye sumu ni King Cobra
Nyoka hatari sana kama taipan(ana sumu yenye uwezo wa kuua mpaka watu 400)na Tiger snake wote toka Australia... Australia pekee ina top 10 ya nyoka wenye sumu kali zaidi duniani
Nyoka mwenye sumu kali Afrika ni Black Mamba(koboko) sumu yake inaitwa neurotoxin pamoja na cardiotoxin(inaathiri mfumo wa neva pamoja na moyo
ndo nyoka mwenye kasi zaidi pengine dunia anakwenda km 19 kwa saa(12mph)... Lakini kwa Afrika Boomslang na vine au twig wanaweza kuwa na sumu kali zaidi japo watu wengi wanachukuliwa poa kwa sababu sio wakorofi sana kama Mamba (silent killers (hawa wana sumu inayoitwa haemotoxin ambayo huathiri damu... ina chemical component ambayo huzuia damu kuganda (clotting) na chemical component nyingine husababisha kupasuka kwa mishipa ya damu hii husababisha damu kuvuja ndani na nje kupitia matundu ya mwili )
Puff adder (kifutu) ndo nyoka mwenye kuuwa watu wengi Afrika kuliko nyoka mwingine(sumu yake inaitwa cytotoxin hii huathiri tishu... Inasababisha kuungua au kuoza sehemu ilioumwa
Mozambican spitting Cobra ndo nyoka anaedhuru watu wengi Kusini mwa Afrika
NB:Angali nyoka wote kwa umakini japo asilimia 70 ya nyoka tz hawana sumu ya kudhuru binadamu... Nyoka mdogo ni hatari zaidi (concentration ya sumu kwa nyoka wadogo ni kubwa... Wanatumia kujilinda kutokana na udogo wao)
Nyoka wakubwa umbo lao laweza kuwasaidia kuogofya