Ni haki yetu kutangaziwa kama tozo zimerudi kwenye malipo ya VING'AMUZI.. (Ada, Vat na Kodi)

nyumbamungu

JF-Expert Member
Mar 3, 2017
1,009
840
Kwani mnatuchukulia sisi poa, kwani itawagharimu pesa ngapi kututangazia kuwa tozo zimerudi kwenye malipo ya ving'amuzi?

Leo nimefanya malipo kulipia king'amuzi risiti iliyorudi imeonesha nimekatwa Ada na Vat... au kuna tatizo kwenye uandishi wa hiyo risiti..

Kama kuna yoyote aliefanya malipo ya king'amuzi leo 05/05/2024 naomba utupe mrejesho..

Niliwapigia watoa huduma wakasema ni kweli ukifanyika muamala wowote kuna tozo, nilimrudia kumuuliza anauhakika na anachonijibu akasema ndio


Nikamwambia aangalie muamala nilifanya mwezi uliopita alivyoangalia akasema kweli mwezi uliopita hakuna tozo..
 

Attachments

  • 20240505_104104.jpg
    20240505_104104.jpg
    39.8 KB · Views: 2
Tunamshukuru sana mheshimiwa raisi kwa kuwezesha tozo hiyo kwenye ving'amuzi
 
Muamala uliofanikiwa mwezi uliopita.
 

Attachments

  • 20240505_105306.jpg
    20240505_105306.jpg
    66.9 KB · Views: 1
Kwani mnatuchukulia sisi poa, kwani itawagharimu pesa ngapi kututangazia kuwa tozo zimerudi kwenye malipo ya ving'amuzi?

Leo nimefanya malipo kulipia king'amuzi risiti iliyorudi imeonesha nimekatwa Ada na Vat... au kuna tatizo kwenye uandishi wa hiyo risiti..

Kama kuna yoyote aliefanya malipo ya king'amuzi leo 05/05/2024 naomba utupe mrejesho..

Niliwapigia watoa huduma wakasema ni kweli ukifanyika muamala wowote kuna tozo, nilimrudia kumuuliza anauhakika na anachonijibu akasema ndio


Nikamwambia aangalie muamala nilifanya mwezi uliopita alivyoangalia akasema kweli mwezi uliopita hakuna tozo..
hapo mwanzo mwanzo ulikua unalipa hii hii 97,000 au chini yake
 
Back
Top Bottom