Ni rahisi kuyashinda maisha kwa sababu hana anachopoteza kila hatua atakayo kuwa anaifanya, haogopi au haoni aibu kufanya shughuli yoyote iliyo mbele yake. Hafikirii kutafuta ajira yenye security tofauti na aliye soma. Yeye ni rahisi kujilipua ili mradi apate anacho kitaka kuliko msomiAlafu hii cjui huwaga inakuwaje, unakuta wale vilaza darasan ndo wanatusuaga maisha kinyama! Ukikutana nae adi aibu maana ulikuwa unamtesa kwa class yaan huwa ni kinyume huwez amin
Hahaa,Idara ya Afya vp mkuu..nayo ya kichovu?Mleta mada anazungumzia urafikinwa tangu mnasoma wote mlikuwa kiwango sawa na baadae mnakutana wengine wapo vizur kwa maana wana ajira nzuri alafu wewe hujapata ajira au upo kwenye idara za kichovu kama ualimu.
Hiyo siyo ya kichovu labda kama ni nesiHahaa,Idara ya Afya vp mkuu..nayo ya kichovu?
Tena akiwa ni Attendant ama ChetiHiyo siyo ya kichovu labda kama ni nesi
Katika makuzi yangu nlikuwa na marafiki wa damu, hawa kiukweli hatujatupana japo wapo walotoboa na wasiotoboa, nikikutana nao huwa full story,,Maisha ni safari ndefu na katika maisha huwa kuna changamoto nyingi na tofauti zinazotukuta.
Siku ya leo ningependa kufahamu hivi changamoto gani unazokutana nazo pale unapokutana na marafiki zako wa karibu ambao wamefanikiwa katika maisha kuliko wewe.
Hapa nina maana wale marafiki ambao mlisoma wote, mlicheza wote utotoni, mlikuwa pamoja nk.
Leo hii ukikutana nao wana maisha mazuri na wamefanikiwa kuliko hivi unadhani changamoto gani ukikutana nao kuna wengine wana tabia za;
1.Kuwakimbia wakionana nao.
2.Wengine tunawapiga vibomu.
3.Wengine tunawaelezea shida zetu mfano shida ya ajira.
4.Wengine huwa tunajificha tukiwaona maana tunaona kama tunadhalilika.
5.Wengine huwa wanajikausha wanajifanya kama hatuwaoni.
6.Eengine tunawapita barabarani kama hatuwajui coz unakuta class ulikuwa wewe ndo ulikuwa kichwa lakini yule uliyekuwa unamuona kilaza ndio ana mafanikio kuliko wewe.
Mimi upande nikionana nao nasalimia nao hivo hivo kwa shingo upande japo sometimes huwa natamani kujificha.
Si ulikuwa unawacheka kisa wamepata foo au ziro, sasa kule kucheka ndo laana zako, yaan vice versaAlafu hii cjui huwaga inakuwaje, unakuta wale vilaza darasan ndo wanatusuaga maisha kinyama! Ukikutana nae adi aibu maana ulikuwa unamtesa kwa class yaan huwa ni kinyume huwez amin
Dah!!!.....I'm speechlessKuna mwingine huyo tulikuwa vry close, mpk wengine wakawa wanasema tunapendana kma mapacha. Kuna wkt nilipata matatizo ofisin yaliyopelekea mimi kupelekwa police. Kuna ndugu yake mmoja, ambaye mimi nilifahamiana nae kwa kupitia yeye, akamuuliza, "ebana ishu ya mshkaji inaendeleaje? Akajibu "mi sijui anajua mwenyewe". Yule ndugu yke akasema lakn yule si mshkaji wako utasemaje hujui?? Alichokifanya akanitafuta kimyakimya kuniuliza kma tumegombana nikamwambia hapana. And its true sikuwahi kugombana na jamaa kwa lolote.
Baada ya mwaka kma mmoja nikiwa nimesafiri, nikapigiwa simu kwmb nyumbani kwangu nyumba ilikuwa inawaka moto. Nikawaza haraka haraka nani aliyepo jirani na kwangu na nina namba yake ya simu ninayeweza kumuomba anisaidie kwa sababu mimi nipo mbali na pale kuna watoto. Ikabidi nimpigie huyo jamaa. Kweli akaenda kwa sababu kutoka kwao mpk kwangu ni mwendo wa dakika kma 4 tu kwa miguu. Alipofika akanipigia na kuniambia jinsi watu wanavyookoa vitu, na kwmb familia yote ipo salama, kisha akakata simu. Alipokata nikampigia tena nikamuuliza kuna mabati yangu kma 130 yalikuwa store ndani, je yameungua au yameokolewa? Akanijibu "NGOJA NIRUDI NIANGALIE. NILIONDOKA KWENDA DUKANI KUNUNUA MAYAI". Daaah, nikapigwa na butwaa. Nikamuuliza yan mimi nyumba yng inaungua moto na mimi sipo, wewe unasema unaenda dukan kununua mayai..?? Nikakata simu. And believe me, machozi yalinitoka cz sikuamini nilichosikia kutoka kwa "best friend".
Nilichokifanya nikampigia fundi gereji mmoja aliyekuwa anatengeneza gari yng mara kwa mara, akaniambia yupo ofisini. Nikamwambia kama hutajali naomba uache unachokifanya uende kwangu kuna matatizo. Muda huo ilikuwa ni saa 11 jioni, yule fundi alienda pale akasimamia show nzima na kuhakikisha vitu vilivyookolewa vipo salama. Akatafuta gari familia na vitu vilivyookolewa ikapelekwa kwa ndugu yng. Akaondoka eneo la tukio saa 3 usiku.
Huyo "best friend" sikuwasiliana nae tena mpk leo, na ni zaidi ya mwaka sasa. Ila huwa tunapishana tu na hata niliporudi hakuja kuniona na nilirud kesho yake tu. Niliona bora nikae kimya.
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Usijali mkuu. That's life. And those are our "best friends". It hurts, a lot.Dah!!!.....I'm speechless
Aisee! Hakuwa na moyo wa kusaidia huyo...angeweza kutafuta namna ya kukusaidia na wengine...huyo fundo siyo wa kumtupa tena ameiokoa familia yakoKuna mwingine huyo tulikuwa vry close, mpk wengine wakawa wanasema tunapendana kma mapacha. Kuna wkt nilipata matatizo ofisin yaliyopelekea mimi kupelekwa police. Kuna ndugu yake mmoja, ambaye mimi nilifahamiana nae kwa kupitia yeye, akamuuliza, "ebana ishu ya mshkaji inaendeleaje? Akajibu "mi sijui anajua mwenyewe". Yule ndugu yke akasema lakn yule si mshkaji wako utasemaje hujui?? Alichokifanya akanitafuta kimyakimya kuniuliza kma tumegombana nikamwambia hapana. And its true sikuwahi kugombana na jamaa kwa lolote.
Baada ya mwaka kma mmoja nikiwa nimesafiri, nikapigiwa simu kwmb nyumbani kwangu nyumba ilikuwa inawaka moto. Nikawaza haraka haraka nani aliyepo jirani na kwangu na nina namba yake ya simu ninayeweza kumuomba anisaidie kwa sababu mimi nipo mbali na pale kuna watoto. Ikabidi nimpigie huyo jamaa. Kweli akaenda kwa sababu kutoka kwao mpk kwangu ni mwendo wa dakika kma 4 tu kwa miguu. Alipofika akanipigia na kuniambia jinsi watu wanavyookoa vitu, na kwmb familia yote ipo salama, kisha akakata simu. Alipokata nikampigia tena nikamuuliza kuna mabati yangu kma 130 yalikuwa store ndani, je yameungua au yameokolewa? Akanijibu "NGOJA NIRUDI NIANGALIE. NILIONDOKA KWENDA DUKANI KUNUNUA MAYAI". Daaah, nikapigwa na butwaa. Nikamuuliza yan mimi nyumba yng inaungua moto na mimi sipo, wewe unasema unaenda dukan kununua mayai..?? Nikakata simu. And believe me, machozi yalinitoka cz sikuamini nilichosikia kutoka kwa "best friend".
Nilichokifanya nikampigia fundi gereji mmoja aliyekuwa anatengeneza gari yng mara kwa mara, akaniambia yupo ofisini. Nikamwambia kama hutajali naomba uache unachokifanya uende kwangu kuna matatizo. Muda huo ilikuwa ni saa 11 jioni, yule fundi alienda pale akasimamia show nzima na kuhakikisha vitu vilivyookolewa vipo salama. Akatafuta gari familia na vitu vilivyookolewa ikapelekwa kwa ndugu yng. Akaondoka eneo la tukio saa 3 usiku.
Huyo "best friend" sikuwasiliana nae tena mpk leo, na ni zaidi ya mwaka sasa. Ila huwa tunapishana tu na hata niliporudi hakuja kuniona na nilirud kesho yake tu. Niliona bora nikae kimya.
Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Daaah, huyo fundi ni mtu wng wa karibu sn aisee..!!! Ni mtu wng sana na tupo pamoja.Aisee! Hakuwa na moyo wa kusaidia huyo...angeweza kutafuta namna ya kukusaidia na wengine...huyo fundo siyo wa kumtupa tena ameiokoa familia yako
Mbona Wa Kolomije alikuwa kama wewe na katusua...kusoma sio kila kitu juhudi zako na mipango na MUNGU akitupia kajicho kwenye harakati zako weeee mbona watakuita freemason!MIMI MWENZENU HUWA ROHO INANIUMA KWA SABABU HUWA NAKUMBUKA KIPINDI TUPO SHULE
WAKATI WENZANGU WAPO BIZE NA KUSOMA MIMI NILIKUWA MTU WA CHIMBO TABIA ZA KIHUNI SHULENI NILIKUWA NAONAGA DILI KWELI KWELI AISEE
LEO HII NAKUMBUKA SHUKA KUMEKUCHA
Hili naliafiki kwa asilimia mia moja, kuwa na maarifa ya kutosha kwenye kujenga hoja ukichanganya na maarifa ya maisha na mambo mengine na busara alizokujalia Mungu aaah hapo unasimama pazuri sana...kama una elimu yako genuine, wao ndiyo watakuwa wanakukimbia - sababu hata ukikaa nao hawajui kujenga hoja badala yake wanatumia vicenti vyao kama ngao. Nitawafuata waliko kama wakiniita hata kama nitatumia badaboda ila wakati wa kuondoka kila mtu atajipendekeza kuni-drive nilipopanga wa 4 x 4 zao sababu nina akili.
Kuwa na akli ni mtaji tosha hata kama huna mia mfukoni - You will fear nothing... mwenye akili hujiamini na mbumbumbu hutumia hela zake kuji-defend.
Sasa hapa wa kulaumiwa si wewe mwenyewe au? Kufeli ilifeli halafa ukawadanganya! Umegundulika unadai wao ndo wabaya?Nilopo maliza pale MJ Moshi, sasa mimi nili-bashite aisehh wakati huo nilitaka nijinyonge maana wengine walikuwa wakiniambia nimesomeshwa shule bei mbaya nikafell. nikaamua kurudia tena nikaenda pale Bendel niresit.
kwa kuwa niliwadanganya wale niliowakuta mwisho wa siku wakanigundua. mimi niliwastukia maana walikuwa wananisengenya. mwisho wa siku nilienda old moshi kurudia tena nika-bashite tena.
mwisho nikaenda zangu chuo nikagraduate na diploma yangu. sasa nilipopata kazi pale bandarini wale wale waliokua nilikuwa nimefeli wakaanza kujiuliza huyu bashite vip hapa amepataje. wakaanza kufoadiana matokeo yangu. kweli niliwamind mpaka leo nikiwaona nakula kona na wakiniomba namba nasema simu yangu sina salio, wakinipa zao mi nafuta inakuwa mwisho wa safari.
sasa mwaka huu tena nimerudia tena mara ya tatu nipate angalau kredit niende chuo baada ya miaka mitatu ya kazi. bora nimpe msaada stranger kuliko hawa jamaa.
anyway msiwe mnasema mtu vibaya najua mpo humu. wengine wakimya sana, kuongea hatuwezi ila