andjul
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 18,773
- 119,820
Ni rahisi kuyashinda maisha kwa sababu hana anachopoteza kila hatua atakayo kuwa anaifanya, haogopi au haoni aibu kufanya shughuli yoyote iliyo mbele yake. Hafikirii kutafuta ajira yenye security tofauti na aliye soma. Yeye ni rahisi kujilipua ili mradi apate anacho kitaka kuliko msomiAlafu hii cjui huwaga inakuwaje, unakuta wale vilaza darasan ndo wanatusuaga maisha kinyama! Ukikutana nae adi aibu maana ulikuwa unamtesa kwa class yaan huwa ni kinyume huwez amin