Nile_house_designs
JF-Expert Member
- Nov 13, 2020
- 391
- 470
Kivipi mkuu.
Bro hapa duniani sio kila mtu atamiliki nyumba sawa. Mie najinua i live under 3 dollars a day. Where do i get the guts to entertain such thots of building a house.Pambana mkuu,kila kitu kinawezekana hata kama unafanya kazi ya aina gani,
Weka lengo moja fanyia kazi
Eti mtalaam nyumba ya vyumba vitano vinne self cointained, study kitche dinning sitting inaweza cheza million ngapi?Kivipi mkuu.
Mtafute UshimenView attachment 3190361
Nyumba ya 5 bedrooms
Master kubwa 1
Self 3
Single 1
Sitting room, dining & kitchen
Study room
Laundry
Public toilet
Store
Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk.
Inaweza gharimu kiasi gani?
kakata tamaa hivi ni makosa makubwa,Bro hapa duniani sio kila mtu atamiliki nyumba sawa. Mie najinua i live under 3 dollars a day. Where do i get the guts to entertain such thots of building a house.
Kama simple diet tuu ya ugali maharage mpaka kichwa kipasuke hiyo nyumba nitajenga na nini?
Hamnaha kitu kama hicho bro.Ku
kakata tamaa hivi ni makosa makubwa,
Kuna msemo unasema "changamoto yako ukimweleza mtu na yeye akakupa yake unaweza kujiona una nafuu kubwa sana"
Leo na kesho ni siku tofauti sana endelea kukomaa
Hayo mangazingazi hapo mbele inatakiwa kuwe na sehemu iwe na slope isiyo na ngazi ili nyumba iwe wheelchair accessible na ukitaka kuingiza kitu cha kusukuma uweze.View attachment 3190361
Nyumba ya 5 bedrooms
Master kubwa 1
Self 3
Single 1
Sitting room, dining & kitchen
Study room
Laundry
Public toilet
Store
Je kila kitu mpaka inayooneka hapa maybe na finishing ya vitu kama masinki nk.
Inaweza gharimu kiasi gani?
Ukubwa wastani ni sqm 140Eti mtalaam nyumba ya vyumba vitano vinne self cointained, study kitche dinning sitting inaweza cheza million ngapi?
Kwa hiyo mule mule 600k-700k per sqmUkubwa wastani ni sqm 140
Makadilio 65m to 90m
Ndiyo maana nikamwambie akutafuteKwanza unajengea maeneo yenye milima ama tambarare..??
Maeneo hayo yana maji mengi ama pakavu..??
Unajengea msingi wa mawe ama tofali..??
Unataka kujenga mkoa gani...??
Jibu kwanza hayo maswali kicha nikufanyie hesabu ya makadirio bure hapahapa, achana na mambo ya kuitwa inbox...😶
Mpak hapo milion 50 na point inafika, ila bati nimetumia versatile, nazan ukitumia bati za kawaid izi za migongo mipana inawez bei ikawa chini kidogUlitumia sh ngapi?