Natafuta mke awe na watoto tayari angalau wa 5 au zaidi

Malafyale

Platinum Member
Aug 11, 2008
13,856
11,219
Kichwa cha habari chajieleza.
Tafiti zangu za muda mrefu zimeonyesha kuwa uaminifu kwa sasa ni kitu adimu sana kwa wana ndoa.

Hivyo basi mm Malafyale muda wa kuoa umefika,natafuta mwananke aliye tayari kuolewa na mm awe na watoto angalau wa 5 au zaidi,na haijalishi hao watoto kazaa na wanaume wangapi.Awe tayari kunipa mm pia angalau watoto wawili ktk uzao wetu.

Nimeweka masharti ya watoto wengi nikiamini kuwa huyu mwanamke atakua kaisha maliza tamaa za ku cheat na atabaki na mm tu.

Kama upo interested au kama unamjua dada yyt mwenye sifa hizo, tafadhali niandikie hapa ktk inbox yangu

Malafyale Ogwa Ndima
Ipinda-Kyela vijijini
 
Kichwa cha habari chajieleza.
Tafiti zangu za muda mrefu zimeonyesha kuwa uaminifu kwa sasa ni kitu adimu sana kwa wana ndoa.

Hivyo basi mm Malafyale muda wa kuoa umefika,natafuta mwananke aliye tayari kuolewa na mm awe na watoto angalau wa 5 au zaidi,na haijalishi hao watoto kazaa na wanaume wangapi.Awe tayari kunipa mm pia angalau watoto wawili ktk uzao wetu.

Nimeweka masharti ya watoto wengi nikiamini kuwa huyu mwanamke atakua kaisha maliza tamaa za ku cheat na atabaki na mm tu.

Kama upo interested au kama unamjua dada yyt mwenye sifa hizo, tafadhali niandikie hapa ktk inbox yangu

Malafyale Ogwa Ndima
Ipinda-Kyela vijijini
Kuna mmoj yuko hapa ana watoto 5 kazaa wanaume tisa. Huyu anakufaa sana. Njoo inbox.
 
Kichwa cha habari chajieleza.
Tafiti zangu za muda mrefu zimeonyesha kuwa uaminifu kwa sasa ni kitu adimu sana kwa wana ndoa.

Hivyo basi mm Malafyale muda wa kuoa umefika,natafuta mwananke aliye tayari kuolewa na mm awe na watoto angalau wa 5 au zaidi,na haijalishi hao watoto kazaa na wanaume wangapi.Awe tayari kunipa mm pia angalau watoto wawili ktk uzao wetu.

Nimeweka masharti ya watoto wengi nikiamini kuwa huyu mwanamke atakua kaisha maliza tamaa za ku cheat na atabaki na mm tu.

Kama upo interested au kama unamjua dada yyt mwenye sifa hizo, tafadhali niandikie hapa ktk inbox yangu

Malafyale Ogwa Ndima
Ipinda-Kyela vijijini
Ya leo kali
 
Bora ukatafuta kituo cha kulelea yatima kama lugumi.
IMG_1152.jpeg
 
Kichwa cha habari chajieleza.
Tafiti zangu za muda mrefu zimeonyesha kuwa uaminifu kwa sasa ni kitu adimu sana kwa wana ndoa.

Hivyo basi mm Malafyale muda wa kuoa umefika,natafuta mwananke aliye tayari kuolewa na mm awe na watoto angalau wa 5 au zaidi,na haijalishi hao watoto kazaa na wanaume wangapi.Awe tayari kunipa mm pia angalau watoto wawili ktk uzao wetu.

Nimeweka masharti ya watoto wengi nikiamini kuwa huyu mwanamke atakua kaisha maliza tamaa za ku cheat na atabaki na mm tu.

Kama upo interested au kama unamjua dada yyt mwenye sifa hizo, tafadhali niandikie hapa ktk inbox yangu

Malafyale Ogwa Ndima
Ipinda-Kyela vijijini
yupo ninayemfahamu ni mstaarab sana ana watoto watano hakika utakuwa umepata moja katiya wanawake bora kabisa,kama kweli upo interested nifuate inbox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom