Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,553
- 52,226
Kwema Wakuu!
Leo sina mengi ya kusema.
Ninatafuta kijana awe wa kike au Wakiume aliyesomea mambo ya Management Kwa ngazi ya Shahada.
1. Awe na uzoefu walau Mwaka mmoja.
2. Elimu kuanzia Shahada moja.
3. Ajue kuongoza na kusimamia Watu.
4. Awe Dar es salaam
Mahali; Dar es salaam
Mshahara: Tutaanzia na Tsh 550,000/=
Mwisho wa Kutuma maombi ni Tarehe 25/07/2023
Usipige simu
Tuma Maombi yako, Vyeti, CV, vitambulisho, Kwa WhatsApp number 0693322300
Au
robertheriel05@gmail.com
Hii ni Kwa wanaohitaji tuu.
Leo sina mengi ya kusema.
Ninatafuta kijana awe wa kike au Wakiume aliyesomea mambo ya Management Kwa ngazi ya Shahada.
1. Awe na uzoefu walau Mwaka mmoja.
2. Elimu kuanzia Shahada moja.
3. Ajue kuongoza na kusimamia Watu.
4. Awe Dar es salaam
Mahali; Dar es salaam
Mshahara: Tutaanzia na Tsh 550,000/=
Mwisho wa Kutuma maombi ni Tarehe 25/07/2023
Usipige simu
Tuma Maombi yako, Vyeti, CV, vitambulisho, Kwa WhatsApp number 0693322300
Au
robertheriel05@gmail.com
Hii ni Kwa wanaohitaji tuu.