Pole sanaa ila jiongeze kwa kujiajiri fungua maabara mpe mhusika alio senea maabara wewe ukae pembeni kama mshauri wa matibabu au utibu kwa kuwauuzia dawa.Habarini wana JF, Mimi ni kijana Nina miaka 25, natafuta kazi nimesoma clinical medicine, nipo registered na leseni ninayo, naomba kazi dispensary au health centre, Kwa Sasa nipo mwanza, nawasilisha
Kwa maelezo Zaidi...0719926468
Mwanza unashughulika na nini? Hivi Mwanza hamnaga Private health facilities?Habarini wana JF, Mimi ni kijana Nina miaka 25, natafuta kazi nimesoma clinical medicine, nipo registered na leseni ninayo, naomba kazi dispensary au health centre, Kwa Sasa nipo mwanza, nawasilisha
Kwa maelezo Zaidi...0719926468
Mwanza ni kubwa sanaa mtu akiwa wa kujiongeza huwezi kushindwa kufungua ofisi yakoMwanza unashughulika na nini? Hivi Mwanza hamnaga Private health facilities?
YES exactly. au ukajiunga katika Ofisi ya mwenzako wakati ww unapanga mafaili yako. Hapo inambidi azingatie unyenyekevu.Mwanza ni kubwa sanaa mtu akiwa wa kujiongeza huwezi kushindwa kufungua ofisi yako
Absolutely right aende usagara Igoma Buhongwa Nyashishi uko kwote kuna fursa kibao.YES exactly. au ukajiunga katika Ofisi ya mwenzako wakati ww unapanga mafaili yako. Hapo inambidi azingatie unyenyekevu.
Mwaka janaUmemaliza chuo mwaka gani?
Mtaji ndo chanamotoPole sanaa ila jiongeze kwa kujiajiri fungua maabara mpe mhusika alio senea maabara wewe ukae pembeni kama mshauri wa matibabu au utibu kwa kuwauuzia dawa.
-R-AKI TISA UNUSUUngependa ulipwe kiasi gani?
Mshahara wa miezi 9 na nusu huo-R-AKI TISA UNUSU
Laki mbili kuendeleaUngependa ulipwe kiasi gani?
Hauko serious..Laki mbili kuendelea
Laki mbili 🥲🥲Laki mbili kuendelea
Kiaje mkuuHauko serious..
subiri TAMISEMIHabarini wana JF, Mimi ni kijana Nina miaka 25, natafuta kazi nimesoma clinical medicine, nipo registered na leseni ninayo, naomba kazi dispensary au health centre, Kwa Sasa nipo mwanza, nawasilisha
Kwa maelezo Zaidi...0719926468
Dah, kweli ngoja nisubirisubiri TAMISEMI
Hilo sio kwako TU ni kwa kila Mhitimu wa Kaya MasikiniMtaji ndo chanamoto