FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,344
- 41,232
Kwahiyo Raia wote wa USE wanaweza kwenda popote pale duniani na kufanya biashara na kuoa na kufanya maisha yao bila vikwazo vya Visa nk. Utahitaji Visa labda kama unaenda sayari nyingine tofauti na dunia.
Rais awe mmoja tu.., hapatakuwa na serikali mbili wala tatu..
Rais awe mmoja tu.., hapatakuwa na serikali mbili wala tatu..