Tupe uhusiano wa Nape na Moses Nnauye hapo ndo tutaelewa swali lako.
Harusi ya zamani, wote ni Nape bwana.![]()
![]()
Mr. and Mrs. Makamba
![]()
Kaka yake Nape; Abeid Nnauye akiwa na Mrembo wake...
Makamba alikuwa kwenye harusi ya Abeid Gallus, hata hiyo iliyoitwa ya Abeid Nnauye ni Nape kwenye harusi ya Abeid.Asalamaleko walaah!ama mkweli siasa ni unafiki mtupu,ingawa wengine watadai hakuna adui wa kudumu ktk siasa.Huyu mzee Makamba si aliwatangazia Watanganyika kuwa Nape kafungiwa yote duniani na mbinguni?![]()
alimuoa dada mmoja anaitwa tumaini hemedi, alikuwa anaishi changanyikeni UDSM! tumaini alikuwa na mtoto wa nje kabla hajaolewa na nape, nape na tumaini waliunganishwa na dada mmoja, mtoto wa late prof masuha anaitwa lilian, alikuwa anasoma chuo cha diplomasia na nape kurasini.
so one day tumaini alikwenda kumvisit lilian, ndio nape kumuona tumaini, akampenda na kuja kumuoa. kipindi hicho hana pesa, alikuwa anakaa changanyikeni kwa in-laws! i heard walipart ila sikujua kiundani! but tumaini was sooooo beautiful!, beautiful in-deed!
Hiyo picha yenyewe inaonyesha kama sio kanisa la Azania basi ni St. Joseph itakuwa kahama dhehebu teh
View attachment 144135
Huyu ni Sechela mtoto wa Nape aliezaa na Tumaini Hemed mke wa kwanza wa nape kabla ya Kuoa huyu Roby Mkami kwa siri kubwa na kwa kilazimishwa na ndugu wa upande wa mwanamke baada ya kimzalisha.
Hujasoma waraka wa Kakobe???
Kweli kabisa pale FPCT kwa mchungaji Abeli,Nape bwana
Huyu wa sasa nae atajuta,inavyoonekana hata mimba alijilengesha.Ana nini cha kumzidi Tumaini?Nape ni player karithi kwa baba yake.Tumaini alizalishwa mtoto mmja na ametelekezwa wakati Tumain ndiye aliyekuwa akimweka Nape mjini kipindi chote kile hakuwa na kitu aliishi nae Changanyikeni kwenye nyumba ya Wazazi wa Tumaini sasa huyu bi mdogo kwao ni wakshua Nape aliogopa baada ya kutishwa na ndugu zake Roby na wazazi wake aaamua kufunga ndoa ya siri tena ilitakiwa ifungiwe Israel kwa uficho zaidi,Mama wa bibi harusi huyu ni mkurugenzi wa Bank maarufu hapa tz na baba yake ni tajiri sana.
Huyu mke wa pili anaitwa bi Roby Mkami mfanyakazi wa ABC bank na amezaa nae mtoto mmja ana umri wa mienzi 3 hivi,mke wa kwanza katelekezwa na mtoto wa miaka 4 binti sechela
Uyo mdada hata hayuko ivyo unavyofikiria ni mdada wa Kikulya,Mpore,Msom,mchemsh na Mstaraab sn,Hana makuu kbs pamoja na Elim Yake na Utajir waliokua nao Kwao she is so Down to Earth.Next tym Siyo fair kum judge mtu km huumfaham. Manake hapo umesifia na umeponda.Hongera mwaya Robby Mkam kwa kuolewa.mkewe anaonyesha mbabe mbabe, mkorofi, msusaji , na mwenye kupenda kucheka cheka
ila still anaonyesha mvumilivu, mlezi mzuri na pia msikilizaji
huyo jamaa alishaoa, tena wakati akiwa hana kitu alihifadhiwa na baba mkwe wake Changanyikeni baada ya mambo kuanza kuwa mazuri akamtelekeza mke wake, nae akaamua kwenda nje ya nchi kujisahaulisha na kadhia za huyo jamaa.