Nape ajikanyaga DW kuhusu kufungia Mawio na kuzuia matangazo ya bunge live

ila ni vizuri kuimba mapambio ya kumsifia magufuli!

...na ni vizuri pia wao kuendelea kutumia hiyo hiyo "TV" kama platform ya kuendeshea shughuli zote za kiserikali zenye maudhui yenye kuwapatia sifa na ukuu, huku wakitegemea sisi audience wao 'tuwaone' kwa kupitia hiyo hiyo "TELEVISHENI"
 
Yani viongozi wakuu wa hili taifa ndio kama huyui!! Hakuna ubishi, uhai wa hili taifa ni "kwa neema tu"
 
Acha kuandika kishabiki kwa maelezo ya hapo chini wapi kajikanyaga?
Hata mimi nashangaa ameeleza kinaga ubaga. Watanzania tatizo kuopgopa ogopa wazungu wakati wenyewe hawafanyi mambo wanayotuambia tuyafanye. Uamuzi ni wa Tanzania na kwa mustakhabali wa Tanzania!
 
Hata mimi nashangaa ameeleza kinaga ubaga. Watanzania tatizo kuopgopa ogopa wazungu wakati wenyewe hawafanyi mambo wanayotuambia tuyafanye. Uamuzi ni wa Tanzania na kwa mustakhabali wa Tanzania!
Huu ni uamzi wa kujivunia? eti umefanywa na watanzania! akina nani? Hivi viongozi wa Ccm nao huwa ni watanzani????
 
Hata mimi nashangaa ameeleza kinaga ubaga. Watanzania tatizo kuopgopa ogopa wazungu wakati wenyewe hawafanyi mambo wanayotuambia tuyafanye. Uamuzi ni wa Tanzania na kwa mustakhabali wa Tanzania!
 
Huu ni uamzi wa kujivunia? eti umefanywa na watanzania! akina nani? Hivi viongozi wa Ccm nao huwa ni watanzani????
Viongozi wa Tanzania ni waarabu? au Wazungu? We unachotaka nini au Usanii unaoonyeshwa na Vyama Pinzani. Kama una hoja ya msingi hata ukiitolea gizani italeta manufaa kwenye jimbo lako? Tuimechoka na maigizo na inawpotezea muda watanzainia. Nape shikilia msimamo huohuo!
 
Hakunaga kitu nisichopenda maishani mwangu kama kuniambia mbona fulani anafanya..........naweza kumkata kibao mtoa hiyo kauli.......haya ss kama mfano wa kuigwa ni south Africa, basi tuige pia rais wao anavyohangaika na mashtaka mahakamani.


Ukiona mtu anasema "mbona ni wewe tu unasema wengine hawajasema" au "Mbona wengine wanafanya wala hawalalamiki", mbona "huyu hafanyi hivi na hapajakua na malalamiko ila wewe unalalamika", kama hivi ilivyosemwa na huyu jamaa, USIHANGAIKE FAHAMU 100% HILO JITU NI JUHA LA KUTUPWA NA HALIFAI KUWA KIONGOZI".
 
Viongozi wa Tanzania ni waarabu? au Wazungu? We unachotaka nini au Usanii unaoonyeshwa na Vyama Pinzani. Kama una hoja ya msingi hata ukiitolea gizani italeta manufaa kwenye jimbo lako? Tuimechoka na maigizo na inawpotezea muda watanzainia. Nape shikilia msimamo huohuo!
Nimesema viongozi wa Ccm siyo watanzania. Huwezi kuwa mtanzania usiwe na uchungu na Tanzania. Hawa ni wasomali labda!
 
na wewe umenifanisha vile vile maana sina ugonjwa labda mwenye ugonjwa ni mwingine au ndugu yako wa karibu

Khaa!! Sasa ndugu yangu ameingiaje kwenye hii hoja!!? eiiish!!

Sikiliza nikwambie, haya basi nimekuachia, umeshinda hii hoja, kama unavyosema "hakuna sehemu alipojikanyaga"
byeeeeee...
 
Nimesema viongozi wa Ccm siyo watanzania. Huwezi kuwa mtanzania usiwe na uchungu na Tanzania. Hawa ni wasomali labda!
Hao ndio wenye uchungu. Labda nitajie faida 4 za kutoangalia live na hasara moja ya kutoangalia live.
mimi nianze na :
Faida za kutoangalia live:
1. Wananchi watapata taarifa muda muafaka ( baada ya kuzalisha mali)- Muda muafaka uliopangwa ( tunaweza kudebate saa ngapi lakini muda uliopangwa naona muafajka)
2. Wananchi watapata taarifa za muhimu sio zile za kupoteza muda za wapinzani kuzira mara wametoka nje. Mara wameacha kusema ( ujue hapo ni muda huo unapotea badala ya kuzalisha mali ) tunaanza kuangalia usaniii, Hii ni faida kuuubwa saana. Nashauri sheria itungwe kuwashughulikia wanaokwamisha bunge kufanya kazi yake, maana sasa hivi ili wapate posho ( maamana Mh. magufuli hamuone haya mtu posho zilikuwa zinaondioka hivyo) wameamua kuhudhuria lakini wanakaa kimyya. Nawashangaa hata hao wananchi wao wanaoona ni sawa tu kukaa kimya!
3. Wabunge wataacha kuongea kwa ubishooo simply because inaonyeshwa live wabunge wengine huwa wanaongea kwa misifa kwa ajili ya showing off tu hence muda wa kulijenga taifa unapotea bure.
4. Wabunge watakuwa more serious na issues kwa ajili tu ya majimbo yao na taifa kwa ujumla.

Hasara ya Kutoangalia Live:
1. Siioni
 
Hao ndio wenye uchungu. Labda nitajie faida 4 za kutoangalia live na hasara moja ya kutoangalia live.
mimi nianze na :
Faida za kutoangalia live:
1. Wananchi watapata taarifa muda muafaka ( baada ya kuzalisha mali)- Muda muafaka uliopangwa ( tunaweza kudebate saa ngapi lakini muda uliopangwa naona muafajka)
2. Wananchi watapata taarifa za muhimu sio zile za kupoteza muda za wapinzani kuzira mara wametoka nje. Mara wameacha kusema ( ujue hapo ni muda huo unapotea badala ya kuzalisha mali ) tunaanza kuangalia usaniii, Hii ni faida kuuubwa saana. Nashauri sheria itungwe kuwashughulikia wanaokwamisha bunge kufanya kazi yake, maana sasa hivi ili wapate posho ( maamana Mh. magufuli hamuone haya mtu posho zilikuwa zinaondioka hivyo) wameamua kuhudhuria lakini wanakaa kimyya. Nawashangaa hata hao wananchi wao wanaoona ni sawa tu kukaa kimya!
3. Wabunge wataacha kuongea kwa ubishooo simply because inaonyeshwa live wabunge wengine huwa wanaongea kwa misifa kwa ajili ya showing off tu hence muda wa kulijenga taifa unapotea bure.
4. Wabunge watakuwa more serious na issues kwa ajili tu ya majimbo yao na taifa kwa ujumla.

Hasara ya Kutoangalia Live:
1. Siioni
Nosense
 
Back
Top Bottom