Nape bado ni Katibu mwenezi wa CCM, Cheo cha msemaji kapewa mwingine kwa muda mabadiliko kamili ni ktk vikao vinavyoendelea.Nape bado anadhani yeye ni Katibu Mwenezi CCM
Wakora waituuNchi hii kuna tatizo. Nape alituangaisha akiwa msemaji wa ccm....tukaona ubwege wake....tukaona upuuzi wa kila aina ikiwemo kutaka kuitumbukiza nchi ktk vita kwa 'goli la mkono'.....kwa upuuzi huo hakuna hata aliyewaza Nape kupata ubunge to jimbo la mtera. Bahati mbaya leo ni mbunge na waziri....kubalini haina yote ya ufidhuri atakaowafanyia...hata hakiwatuna na kuwabiga mpeni shavu apige....hamkujua tabia yake?...hamkujus ubabe wake na kiburi chake...hati mnamsikiliza Dw....hawspe majibu gani msiyojua kutoka kwa 'Nape
Hakunaga kitu nisichopenda maishani mwangu kama kuniambia mbona fulani anafanya..........naweza kumkata kibao mtoa hiyo kauli.......haya ss kama mfano wa kuigwa ni south Africa, basi tuige pia rais wao anavyohangaika na mashtaka mahakamani.
Wange halalisha na Ufuska maana ni halali katika nchi nyingi tu, kama Sweden na Ufaransa nakadhalika maana tumesha kuwa photocopy.Hivi kama nchi tunapaswa kuiga kila kitu toka nje? Hapa walikurupuka!
Acha porojo, ina maana Sendeka anafanya nini pale wakati jana ndo alikuwa anatoa habari za CC?Nape bado ni Katibu mwenezi wa CCM, Cheo cha msemaji kapewa mwingine kwa muda mabadiliko kamili ni ktk vikao vinavyoendelea.
Huwez kuona maana huna akili kama nape...walewaleAcha kuandika kishabiki kwa maelezo ya hapo chini wapi kajikanyaga?
ahahaha,eti?Jamaa kapwaya mno.hiyo nafasi aliyopewa ni kubwa kwa kimo na upana.
ila ni vizuri kuimba mapambio ya kumsifia magufuli!ni aibu sana kama taifa kuendelea kujadili hii issue ya kuangalia tv.
ni aibu sana kama taifa kuendelea kujadili hii issue ya kuangalia tv.
Nchi hii bwana! Sasa na wewe unajiona umetoa hojani aibu sana kama taifa kuendelea kujadili hii issue ya kuangalia tv.
Nchi hii kwisha viongonzi tuliobakiza ni wakina nape kweli Tanzania tumefika uko nchi makini nape hawezi kua kiongonziMagu kafanya makosa kumkabidhi huyu mtu hii wizara,ange mpa kazi ya mc wa ikulu
Hafai kabisa kabisa,nina wasiwasi na uelewa wa mambo ya kiutawala kama anayawezaNchi hii kwisha viongonzi tuliobakiza ni wakina nape kweli Tanzania tumefika uko nchi makini nape hawezi kua kiongonzi