Naombeni maoni yenu juu ya biashara ya water refilling station vyuoni.

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,945
45,922
1.bei ya Hizo water ATM
2.zinapatikana wapi nchini
3.changamoto zake na faida zake
4.mahitaji yake (leseni? Vibali? N. K)
 

Attachments

  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    38.8 KB · Views: 5
Tatizo la bongo unaweza kupata duka linauza hizo mashine au za aina nyingine lakini shida inakuja likiharibika hawana spea

Yaani mtu analeta bidhaa bila spea yeye anakuuzia likifa basi

Mfanyabiashara makini analeta bidhaa na spea zake zote huyo anakuwa ameshinda
 
Tatizo la bongo unaweza kupata duka linauza hizo mashine au za aina nyingine lakini shida inakuja likiharibika hawana spea

Yaani mtu analeta bidhaa bila spea yeye anakuuzia likifa basi

Mfanyabiashara makini analeta bidhaa na spea zake zote huyo anakuwa ameshinda
Hili lipo sana bongo, mtu anaweza kuwa na mashine ambayo hata wa kuifanyia service hapatikani nchi hii, mwisho wa siku linajifia zake.
 
Hili lipo sana bongo, mtu anaweza kuwa na mashine ambayo hata wa kuifanyia service hapatikani nchi hii, mwisho wa siku linajifia zake.
Yaani only in Africa
Ulaya na nchi za Asia au kwingine huwezi kuta ujinga huu
Kwanza kuwa na spea kwenye bidhaa zako ni muhimu maana biashara itadumu
Wengi hawajui biashara wamedandia tu
 
Yaani only in Africa
Ulaya na nchi za Asia au kwingine huwezi kuta ujinga huu
Kwanza kuwa na spea kwenye bidhaa zako ni muhimu maana biashara itadumu
Wengi hawajui biashara wamedandia tu
Huwa wanaangalia wapatacho muda huo sio kwa baadae ndo maana kuanzisha biashara na machine za kuagiza huwa ngumu Sana to survive nchini.
 
Huwa wanaangalia wapatacho muda huo sio kwa baadae ndo maana kuanzisha biashara na machine za kuagiza huwa ngumu Sana to survive nchini.
Wao wanaagiza kama ni pikipiki hata awe peke yake nchini anaagiza kama pikipiki tu
Ukiukiza spea hana habari na mzigo ukiisha anaagiza aina tofauti tena
Sijui serikali haioni hili tatizo?
Au sio kazi yao wananchi kupata hasara
 
1.bei ya Hizo water ATM
2.zinapatikana wapi nchini
3.changamoto zake na faida zake
4.mahitaji yake (leseni? Vibali? N. K)
Una mpango wa kuuza Kiasi gani hayo maji ? Na Competition ya kina Uhai n.k. wao wanauza Kiasi gani ? Usisahau kuweka Cost ya Services mfano Umeme na Refilling...

Wengi wanaofanya hivi wanakuwa kama ma-agent wa Kampuni fulani yenye hizo mashine na wanasambaza sehemu nyingi (unaondoa cost ya Muuzaji ambayo kwa nchi za wenzetu ni kubwa) Na zinaitwa Vending Machines na zinaweza kuuza chochote (Self Service) ila jiulize kama costs ya kumuweka mdada auze huku ni kubwa kuliko cost ya umeme, refilling, kukodisha ni service ya mashine.... Sababu ukimuweka mdada anaweza hata akatoa Huduma ya Mpesa na Tabasamu....
 
Yaani only in Africa
Ulaya na nchi za Asia au kwingine huwezi kuta ujinga huu
Kwanza kuwa na spea kwenye bidhaa zako ni muhimu maana biashara itadumu
Wengi hawajui biashara wamedandia tu
Ndio shida hiyo tunahitaji mabadiliko ili tuweze kwenda sambamba na maendeleo/mabadiliko ya teknolojia.
 
HIo vending machines tayari kuna baaadhi ya maeneo zipo .. za kuuza maji…

Nafiktir Ime designiwa kuwa self service..
ila kibongo bongo utaingia gharama ya kuajiri mtu wa kuuza hayo maji..

Itqbidi uqe na bomba la dawasco, Tank la maji .. maybe
Backup generator

Tafuta alibaba utazikuta
 
Back
Top Bottom