Naomba mbinu ya kukukwepa utapeli wa mtandao wa Yas!

Sex body

JF-Expert Member
Nov 30, 2023
393
869
Wakuu namtanguliza salamu nadhani mko salama kabsa,
katika shughuli zangu na kutokana na mazingira ninayo ishi huduma zangu za kimawasiliano na kimtandao hua matumia mtandao wa Tigo (yas) sasa nimekumbana kadhia ya kukatwa salio kila nikifanya miamala na kila nikinunua vifurushi kupitia mtandao huu wa yas, awamu ya kwanza nimenunua kifurushi kupitia huduma ya tigo pesa,pesa ikakatwa ila sikuonganishwa na kifurushi nimewatafuta sana majibu wanayo toa ni uswali mwezi sasa pesa hiyo hajarudishwa mpaka sasa nikapotezea juzi tena nenunua kifurushi pesa pia imekatwa tigo pesa ila kifurishi hawajanionganishia kila ukipiga cm majibu yao ni mtandao haujaa kaa sawa ili kudhihirisha wana huu wizi hua wanakataa cm ukiwabana sana maana hawana majibu .
Je kwa hali hii hua mnatumia mbinu gani kwa watumiaji wenzangu wa huu mtandao
GghRkUqW8AASCEz.jpeg
 
kifurishi hawajanionganishia kila ukipiga cm majibu yao ni mtandao haujaa kaa sawa ili kudhihirisha wana huu wizi hua wanakataa cm ukiwabana sana maana hawana majibu .
Je kwa hali hii hua mnatumia mbinu gani kwa watumiaji wenzangu wa huu mtandao
Miaka kama Saba pengine iliyopita walikua na huo upumbavu wao, tulipelekana hadi TCRA sema basi Tu unajua tena mnyonge huna Haki, ila ukweli niliwashinda eti TCRA wakaamuru nilipwe laki kadhaa na kila upande ugharamie gharama za kesi........
 
Pole mkuu naona hapa imeniitokea inaonekana hui mtandao sio kabsa
Miaka kama Saba pengine iliyopita walikua na huo upumbavu wao, tulipelekana hadi TCRA sema basi Tu unajua tena mnyonge huna Haki, ila ukweli niliwashinda eti TCRA wakaamuru nilipwe laki kadhaa na kila upande ugharamie gharama za kesi........
 
Hamna pa kuhamia yaani wote wamekuwa wezi. Juzi nimeweka vocha la mtandao flani. Ile kujiunga nikaambiwa huna Salio la kutosha. Kucheki kweli imepungua shilingi 8. Ikabidi niulize nikaambiwa Kuna mtu umemtumia meseji ndo maana imekatwa wakanitajia namba iliyotumiwa meseji. Kweli nilituma meseji but ni saa 2:45 hivi na wakati na jiunga ni saa 3:23 asubuhi.
Nikawaambia Hilo wakanambia wao wanaangalia Kwa mfumo. Na wanajua zaidi. But kiukweli roho liniuma kuona Kuna collaboration ya kuniibia kati ya mifumo ya huo mtandao
 
Back
Top Bottom