Naomba kufahamu hoteli nzuri Songea na usalama wa mji

kama ni mtu wa yale mambo yetu ya gizani, dah pagumu kiani ukitaka zile quality pieces ila mawaste yanapatikana tu all the time...safari njema mwanaume hakosi pakulala wala wakulala naye...
 
kama ni mtu wa yale mambo yetu ya gizani, dah pagumu kiani ukitaka zile quality pieces ila mawaste yanapatikana tu all the time...safari njema mwanaume hakosi pakulala wala wakulala naye...
Hahahhahahahha mkuu umeniacha hoi kwa hiyo quality hamna ila kuna uchakavu tu et?
 
Ok, Nenda Ugabe hotel ipo karibu na stand kuu pale Bei haizidi 40,000.
Au Kuna lodge inapakana na jengo la tanesco( karibu na NMB.
Hapo Ni katikati kabisa, misosi utasogea hapo mtini( dakika 3 tu toka hiyo lodge)
Totoz vp mkuu wa kitengo?.nami next week natimba huko.
 
Ulimaliza mwaka gani mkuu? Nami nilipiga pale hahaha! Umenikumbusha mbali. Ulikuwa unaenda kuchota maji ya kumwagilia kule mtoni? Njia ya kwenda Ruvuma?
Sawa kabisa tulikuwa tunachota maji mtoni na kuogelea pia.....vp ulishawahi kupafahamu kwa Gama jirani kabisa na shule ya Misufini....
 
Sawa kabisa tulikuwa tunachota maji mtoni na kuogelea pia.....vp ulishawahi kupafahamu kwa Gama jirani kabisa na shule ya Misufini....
Nilipiga hadi la saba pale, enzi hizo tunaita ly, nilikuwa ly 99, nikatoboa nikaenda vipaji Mzumbe, since then naenda kwa kubeep sana. Ila kila nikienda lazima nipite pale, kuna walimu walinifundisha bado wapo
 
Hivi shinyanga hotel bado ipo? Nasikia ilikuwa ya askari, halafu pale juu jamani zile kota za hao mpaka huruma.
 
Back
Top Bottom