secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,640
Safi sana mkuu....Nilipiga hadi la saba pale, enzi hizo tunaita ly, nilikuwa ly 99, nikatoboa nikaenda vipaji Mzumbe, since then naenda kwa kubeep sana. Ila kila nikienda lazima nipite pale, kuna walimu walinifundisha bado wapo
pamoja sana....