Namna mchezo wa ku-Bet unavyofanana na Matumizi ya Madawa ya Kulevya

mkuu,

kubeti ni kazi kama kazi zingine tena ipo kihalali zaid,

wale wenye makampuni kwa ajili ya ku-bet wamesajiliwa na wanalipa kodi kama kawaida

kubeti unatumia akili nyingi zaid tofauti na na unavyofikiria ,

Anyway sijawahi kubeti ila nafikiria kuanza
Karibu mkuu. Bnafsi nyumba yangu ilitokana na kubet imefikia lenta ina vyumba vinne. Mkuu betting inalipa. Karibu tuwekeze
 
umewekezaje hadi ukajenga?
4c742de810d9e61498417d5ab5200c9e.jpg
 
Aa
Mimi nnaye bet nimejiajiri, na yule alo anzisha naye kaajiri na serikali inakata kodi yake na ipo bodi inashughulikia michezo ya kubet hiyo
mimi nazungumzia watumiaji mkuu, hao wenye kampuni wameajiri ni kweli, ila hata nikiwa na cartel yangu ya kuuza contraband na madawa mbona nitaajiri tu, hata serikali nitaipa kickbacks za ku protect racket zangu
Ila point inabaki ina faida na madhara gani kwa watumiaji?? ndio ninachozungumzia hapa
 
Back
Top Bottom