Karibu mkuu. Bnafsi nyumba yangu ilitokana na kubet imefikia lenta ina vyumba vinne. Mkuu betting inalipa. Karibu tuwekezemkuu,
kubeti ni kazi kama kazi zingine tena ipo kihalali zaid,
wale wenye makampuni kwa ajili ya ku-bet wamesajiliwa na wanalipa kodi kama kawaida
kubeti unatumia akili nyingi zaid tofauti na na unavyofikiria ,
Anyway sijawahi kubeti ila nafikiria kuanza
Mama unadharau ofis za watu hapo sasa, bet ni moja ya njia za kujiajiriwameajiri watu just to get your money...wanalipa kodi from your money
zote zina madhara mabaya kwa mtumiaji, ndio mfanano wake ulipoMkuu bila kuathiri maana ya *kazi* betting huwezi kulinganisha na hayo madude yenu
elezea kidogohuu ni uongo ulio uchi.....
Mkuu kama nimewekeza 500k na nimeweza kujenga kuna athari gani????zote zina madhara mabaya kwa mtumiaji, ndio mfanano wake ulipo
kujiajiri labda kama unamaanisha kwa mwenye kampuni, sio kwa mtumiaji,Mama unadharau ofis za watu hapo sasa, bet ni moja ya njia za kujiajiri
bet for fun, ila sio kitega uchumi..kwa faida yako na faida ya taifa letuNitaweka mkeka wangu leo!
Aakujiajiri labda kama unamaanisha kwa mwenye kampuni, sio kwa mtumiaji,
umewekezaje hadi ukajenga?Mkuu kama nimewekeza 500k na nimeweza kujenga kuna athari gani????
Anayebwia MADAWA anapata madhara gani?????
Mkuu nakushauri uungane nasi hapa
Wazee wenzangu wa kuweka mzigo (kubet) - Karibuni tubashiri Mechi za Leo!
Angalia mkeka hapo juu uone jinsi unavoweza kujiajiri na kujenga kupitia bettingumewekezaje hadi ukajenga?
umewekezaje hadi ukajenga?
Mkuu hapo sijajenga??
asante sana mkuu,Karibu mkuu. Bnafsi nyumba yangu ilitokana na kubet imefikia lenta ina vyumba vinne. Mkuu betting inalipa. Karibu tuwekeze
mimi nazungumzia watumiaji mkuu, hao wenye kampuni wameajiri ni kweli, ila hata nikiwa na cartel yangu ya kuuza contraband na madawa mbona nitaajiri tu, hata serikali nitaipa kickbacks za ku protect racket zanguAa
Mimi nnaye bet nimejiajiri, na yule alo anzisha naye kaajiri na serikali inakata kodi yake na ipo bodi inashughulikia michezo ya kubet hiyo
but i wanted tosawa mkuu,
hata hivyo sikuomba ushauri wako
ok, labda kweli ila hapa sizungumzii single cases, nazungumia mchezo na effect kwa watumiaji wake generally, hiyo bahati yako ni 1 in millions
hii unamaanisha umeshinda tayari au unatarajia kushinda,?