usiniguse
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 1,725
- 1,189
ngoja tusubirisawa mkuu, ngoja niangalie kwenye archive yangu kisha nitakupa mrejesho. bless up
ngoja tusubirisawa mkuu, ngoja niangalie kwenye archive yangu kisha nitakupa mrejesho. bless up
i will be grateful if you can...sawa mkuu, ngoja niangalie kwenye archive yangu kisha nitakupa mrejesho. bless up
ngoja tusubiri
i will be grateful if you can...
mkuu unatutamanisha hebu kama uwezekano upo upload hasa hiko cha kaptula la marx
mkuu, mpaka ni-scan na ku-convert into pdf...nikipata muda nitafanya hivyo mkuumkuu unatutamanisha hebu kama uwezekano upo upload hasa hiko cha kaptula la marx
ndio mkuu. ipo kwenye pdf formatMkuu hii pepo ya mabwege ipo yote ktk hii PDF format?
Poapoa mkuu,ndio mkuu. ipo kwenye pdf format
itakuwa poa sanamkuu, mpaka ni-scan na ku-convert into pdf...nikipata muda nitafanya hivyo mkuu
Mkuuu nimekumbuka mbali saanaNaulizia pia miradi Bubu ya wazalendo.
ngoja tuvute subira mkuumkuu, mpaka ni-scan na ku-convert into pdf...nikipata muda nitafanya hivyo mkuu
Mwakyembe aliandika kitabu hicho wakati akili yake inafanya kazi kuntu kabisa. Huyu wa leo ni tofauti kabisa. Pia msisahau vitabu kama kile cha "machozi ya mwanamke, kivuli kinaishi, Rosa mistika " . Kwakweli zamani tulikuwa tunasoma sana Vitabu leo hii mafacebook yametuharibia