Mzee Azim Dewji acha mara moja kutoa hizi ahadi za mfungaji na mtoa assist

nkuwi

JF-Expert Member
Feb 11, 2013
4,827
5,384
Habari za jioni wakulungwa.

Naleta habari hii usiku huu, nikiwa nimefuatilia ahadi za huyu mzee wetu kipindi hiki timu inatafuta namna ya kufuzu nusu fainal na kuitafuta fainali,

kwa jicho la tatu ahadi zake hizi zinavuruga timu sana, mchezaji badala ya kufocus timu ishinde qnafocus afunge yeye binafsi ili apate fedha alizoahidi huyu mzee. pls mzee huu upuuzi acha mara moja kuelekea mechi ya mkondo wa pili huko bondeni,

can you imagine ahoua lile goli dakika ya mwisho hakuwa na sababu ya kutaka kufunga yeye angemsogezea ateba akamaliza shughuli hapa Dar.

sasa tunahitaji tukapambane hasa bondeni kwa sababu za uchoyo wa baadhi ya wachezaji wanaotaka mafanikio binafsi.

mzee tunakuheshimu acha kutuvurugia timu bhana, toa ahadi kwa timu nzima.

nimemaliza
asalaim aleikum wa tawfiq
 

Attachments

  • 20250420_091049.jpg
    20250420_091049.jpg
    183.3 KB · Views: 1
Nakubaliana na wewe, mbona ghafla huyu mzee amekuwa na usemaji mwingi na ahadiahadi za ovyo? Asituletee upumbavu wake, bado tuliokuwepo 1993/94 na ahadi za Kia tupo hai na njama zake. Pumbaf, muangalieni kwa makini huyo ponjoro maana kesha Anza kuingiza Simba na mambo ya siasa.
MO hata yeye ajichunge Simba ilipo sio kama Yanga ya kutetemekea watu. Jina limekuwa halafu analeta uccm wake ndani ya club wakati ni muda sasa Simba imekuwa Yatima?
 
Wewe hujui kabisa mpira mzee.
Hujui bori.
Wewe unajua ushabiki tu.

Enewei Ateba alikuwa Offside.
Hata angempa Ateba asingefunga.
Pesa Inahamasisha Sana Ushindi uwanjani..

Quality ya wachwzaji wa simba ni ndogo.
Quality.
Quality.
 
Nakubaliana na wewe, mbona ghafla huyu mzee amekuwa na usemaji mwingi na ahadiahadi za ovyo? Asituletee upumbavu wake, bado tuliokuwepo 1993/94 na ahadi za Kia tupo hai na njama zake. Pumbaf, muangalieni kwa makini huyo ponjoro maana kesha Anza kuingiza Simba na mambo ya siasa.
MO hata yeye ajichunge Simba ilipo sio kama Yanga ya kutetemekea watu. Jina limekuwa halafu analeta uccm wake ndani ya club wakati ni muda sasa Simba imekuwa Yatima?
mzee analeta mambo ya kindezi sana aisee, hivi wachezaji wote wametoa jasho jingi uwanjani alafu unaona watu wawili wanapewa mil 5 wewe unajisikiaje??

vipi kwa mussa pinpin camara ni lini atapata zawadi hizi za kisenge?? maana yeye kufunga au kuassist inaweza isitokee kabsa katika maisha yake yote akiwa simba!
 
nimeishia hapo ulipoandika "bori"
huna unachojua wewe.
Wewe hujui kabisa mpira mzee.
Hujui bori.
Wewe unajua ushabiki tu.

Enewei Ateba alikuwa Offside.
Hata angempa Ateba asingefunga.
Pesa Inahamasisha Sana Ushindi uwanjani..

Quality ya wachwzaji wa simba ni ndogo.
Quality.
Quality.
 
Uyo Mzee mnamlaumu Bure, viwango vya wachezaji wa Simba bila kuvibust kwa ahadi za hapa na pale vilio vitatawala,,wao ni Bora kuwaambia Kuna mafuta ya mwamposa ama mfungaji wa goli atapewa kiasi kadhaa na mtoa assist atapewa kiasi kadhaa ili kuwafanya wapambane uwanjani na kujitoa vinginevyo Simba aina quality ya kushindana kimataifa huo ndio ukweli
 
Habari za jioni wakulungwa.

Naleta habari hii usiku huu, nikiwa nimefuatilia ahadi za huyu mzee wetu kipindi hiki timu inatafuta namna ya kufuzu nusu fainal na kuitafuta fainali,

kwa jicho la tatu ahadi zake hizi zinavuruga timu sana, mchezaji badala ya kufocus timu ishinde qnafocus afunge yeye binafsi ili apate fedha alizoahidi huyu mzee. pls mzee huu upuuzi acha mara moja kuelekea mechi ya mkondo wa pili huko bondeni,

can you imagine ahoua lile goli dakika ya mwisho hakuwa na sababu ya kutaka kufunga yeye angemsogezea ateba akamaliza shughuli hapa Dar.

sasa tunahitaji tukapambane hasa bondeni kwa sababu za uchoyo wa baadhi ya wachezaji wanaotaka mafanikio binafsi.

mzee tunakuheshimu acha kutuvurugia timu bhana, toa ahadi kwa timu nzima.

nimemaliza
asalaim aleikum wa tawfiq
qunafocus = ana focus.
ateba = Ateba
 
Uyo Mzee mnamlaumu Bure, viwango vya wachezaji wa Simba bila kuvibust kwa ahadi za hapa na pale vilio vitatawala,,wao ni Bora kuwaambia Kuna mafuta ya mwamposa ama mfungaji wa goli atapewa kiasi kadhaa na mtoa assist atapewa kiasi kadhaa ili kuwafanya wapambane uwanjani na kujitoa vinginevyo Simba aina quality ya kushindana kimataifa huo ndio ukweli
sio kweli, wakati wanamtoa al ahly tripol walisaidiwa na nani??

wakati wanaongoza kundi walisaidiwa na utopolo??

kivipi leo useme timu haina quality player??
kibu wewe unamuona mchezaji wa kawaida??
camara unamuona mchezaji wa kawaida?
mukwala unamuona mchezaji wa kawaida?
shomari je ? zinbwe?? nouma??
 
Miendendo ya Azim Dewji inaiharibia Simba. Kwanza haeleweki yeye ni nani pale Simba, mbona kama anataka kuwafunika wengine wote?

Hizi ni style za kizamani, mtu kama yeye ambaye yupo kwenye bodi ya wakurugenzi hatakiwi kusimama yeye kama yeye na kuanza kutoa hizo ahadi. Simba ilishatoka huko.

Juzi ameahidi Simba ikifika fainali atatoa milioni 1 kwa kila mkoa walete mashabiki. Hayo mambo tuwaachie uto, Simba ikifika fainali uwanja unajaa siku 4 kabla bila hiyo misaada wala kispika.

Inasemekana Simba ilifungwa kwenye fainali 1993 kwa sababu baada ya kuonekana inaenda kufanya vizuri, kila mtu akaanza kujitokeza na kutafuta umaarufu kupitia Simba, walikuwa wanapishana tu huko kambini. Matokeo yake wachezaji wakapoteza umakini na utulivu.
 
sio kweli, wakati wanamtoa al ahly tripol walisaidiwa na nani??

wakati wanaongoza kundi walisaidiwa na utopolo??

kivipi leo useme timu haina quality player??
kibu wewe unamuona mchezaji wa kawaida??
camara unamuona mchezaji wa kawaida?
mukwala unamuona mchezaji wa kawaida?
shomari je ? zinbwe?? nouma??
Sasa ndugu yangu twende taratibu,,kadri hii michuano inavyosonga mbele unakutana na quality tofauti na uliyokutana nayo mwanzo,,hao aly ahly tripoli unaowataja Kila mtu aliona uwezo wao,,uyo kibu unayemsema anatumia nguvu nyingi akili kisoda uwezi kutegemea kibu akupe matokeo kwenye mechi kama hizi,,uyo mukwala ni mchezaji wa kiwango cha kutegemea kimataifa? Uyo kapombe umri umeenda akili inataka mwili unakataa uwezi kutemtegemea eti akuvushe kimataifa labda michuano ya ndani yeye pamoja na kapombe wameshachokaaa!!!
 
Sasa ndugu yangu twende taratibu,,kadri hii michuano inavyosonga mbele unakutana na quality tofauti na uliyokutana nayo mwanzo,,hao aly ahly tripoli unaowataja Kila mtu aliona uwezo wao,,uyo kibu unayemsema anatumia nguvu nyingi akili kisoda uwezi kutegemea kibu akupe matokeo kwenye mechi kama hizi,,uyo mukwala ni mchezaji wa kiwango cha kutegemea kimataifa? Uyo kapombe umri umeenda akili inataka mwili unakataa uwezi kutemtegemea eti akuvushe kimataifa labda michuano ya ndani yeye pamoja na kapombe wameshachokaaa!!!
mukwala ni striker la uganda national team ujue,

kibu unamdharau lakini kila kocha anayekuja simba/nation team lazima amkubali kibu wewe ni nani wa kumzodoa kibu denga??
 
Moja kati ya mambo mengi yanayotuweka nyuma waafrica ni ubinafsi na uchoyo,hutaki mwenzio apate.

CR7 akiwa kwenye timu yake ya utotoni,timu yao ilipata ofa kutoka sporting CP,mchezaji atakaefunga goli mbili anachukuliwa na sporting CP ya Ureno.
Cr7 akapata goli 1 na mwenzie akapata 1,mechi ikiwa inaendelea mwenzie CR7 akapata nafasi ya wazi ya kufunga lakini hakufunga akampa pasi Ronaldo ili CR7 awe na magoli mawili achukuliwa na sporting CP.
 
Miendendo ya Azim Dewji inaiharibia Simba. Kwanza haeleweki yeye ni nani pale Simba, mbona kama anataka kuwafunika wengine wote?

Hizi ni style za kizamani, mtu kama yeye ambaye yupo kwenye bodi ya wakurugenzi hatakiwi kusimama yeye kama yeye na kuanza kutoa hizo ahadi. Simba ilishatoka huko.

Juzi ameahidi Simba ikifika fainali atatoa milioni 1 kwa kila mkoa walete mashabiki. Hayo mambo tuwaachie uto, Simba ikifika fainali uwanja unajaa siku 4 kabla bila hiyo misaada wala kispika.

Inasemekana Simba ilifungwa kwenye fainali 1993 kwa sababu baada ya kuonekana inaenda kufanya vizuri, kila mtu akaanza kujitokeza na kutafuta umaarufu kupitia Simba, walikuwa wanapishana tu huko kambini. Matokeo yake wachezaji wakapoteza umakini na utulivu.
nakubaliana na wewe mkuu
 
mukwala ni striker la uganda national team ujue,

kibu unamdharau lakini kila kocha anayekuja simba/nation team lazima amkubali kibu wewe ni nani wa kumzodoa kibu denga??
Kwa kibudenga pale amna kitu Babu uwezi kumtegemea mechi za kimataifa anatumia energy kubwa but final touch zake ni Bure kabisa na timu zinazomjua zinamuacha anapuyanga weeeee badae anachoka anatolewa na akuna cha maana anachoisaidia timu
 
Kwa kibudenga pale amna kitu Babu uwezi kumtegemea mechi za kimataifa anatumia energy kubwa but final touch zake ni Bure kabisa na timu zinazomjua zinamuacha anapuyanga weeeee badae anachoka anatolewa na akuna cha maana anachoisaidia timu
kwanini kila kocha anayekuja simba ni panga pangua kikosi cha kwanza?? kwanini timu ya taifa anaitwa kila mara na anacheza??
 
Back
Top Bottom