Mwl. Nyerere aliasisi mfumo Kristo?

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
19,081
31,695
Heshima sana wana ukumbi,

Nimesoma maandiko mengi ya wanazuoni wa Kiislam ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakimtwisha zigo Mwl Nyerere kama muasisi wa mfumo Kristo.

Katika tafakari yangu ta leo nimejikuta nikishangaa na kusikitika kwa wakati mmoja.

Muasisi wa mfumo Kristo alitengeneza mfumo ambao wananchi 1.5 miliion wamepewa upendeleo wa nafasi 80 za ubunge!.

Sote tunafahamu kwamba wabunge wote wanatokea Zanzibar ni swala 5. Mwl Nyerere alitengeneza mfumo ambao wapiga kura laki tano wanawakilishwa na wabunge 80.

Huu mfumo Kristo hata siuelewi, labda wadadavuzi kutokea kulee Tandamti wanaweza kutupeleka darsa kidogo.
 
Ukweli mchungu Mwl Nyerere aliwabeba sana,lakini leo wapo baadhi yao wamefikia kiwango kikubwa cha utovu wa nidhamu hadi kuandika vitabu vilivyo jaa uongo,uzushi,unafiki na uzandiki.
Ndio ukweli halafu alikuwa anajifanya anakemea udini.
 
Heshima sana wana ukumbi,

Nimesoma maandiko mengi ya wanazuoni wa Kiislam ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakimtwisha zigo Mwl Nyerere kama muasisi wa mfumo Kristo.

Katika tafakari yangu ta leo nimejikuta nikishangaa na kusikitika kwa wakati mmoja.

Muasisi wa mfumo Kristo alitengeneza mfumo ambao wananchi 1.5 miliion wamepewa upendeleo wa nafasi 80 za ubunge!.

Sote tunafahamu kwamba wabunge wote wanatokea Zanzibar ni swala 5. Mwl Nyerere alitengeneza mfumo ambao wapiga kura laki tano wanawakilishwa na wabunge 80.

Huu mfumo Kristo hata siuelewi, labda wadadavuzi kutokea kulee Tandamti wanaweza kutupeleka darsa kidogo.
Hakuna sehemu dunia waislam wakawe na dini nyingine wasilalamike ni hivi sababu kwanini popote dunia wakichanganyika na watu wengine huwa hawatuliii sababu hizi

1.waanamiini wao wana haki zaidi wengine hawana
Quran inasema waislam pekee ndo watu wasafi watu wasio waislam ni makfir hawataiona pepo.....hii huwafanya kujiona wao muhimu sana kuliko wasio waislam

2. Kamwe hawataki serikali ya kawaida
Waislam mara nyingi hupenda serikali iwe ya kiislam ndo wataridhika so nchi ikiwa na mchanganyikoa wa dini nyingi swala hili huwa gumu ..hapo wao haunza kulalamika inshort wataanza kusema wanaonewa watataka sharia law watataka watu wengine wafuate utamaduni wa kiislam hata kama sio waislam ...wakigoma malalamiko

3.uislam kamwe hauwezi kuishi na dini zingine
Popote pale ambapo uislam upo population ikawa 10% tu hapo fujo huoanza sababu kuu uislam hauruhusu kabisa waislam kuchanganyikana sana watu wasio waislam mfano kuna mistari kwenye quran inakataza waislam hata kula chakula kapika kafir.....kwa mantiki hii hata viongoz wasio waislam kwao huwa haram
... .......

Hayo nime andika machache tu ila hata nyerere angefanya nini uislam ni very complicated hawa watu hawa wao kwa wao katika nchi za kiislam bila mkono wa chuma ni ngumu kuwatawala ndo maana nchi za kiarabu ila mambo yaaende u dictator huwa solution...maaana quran ina mistari mingi ambayo inachocchea fujo na sio amani

Na la mwisho wahanga wakubwa wa uislam ni waislam wenyewe ....
 
Hakuna sehemu dunia waislam wakawe na dini nyingine wasilalamike ni hivi sababu kwanini popote dunia wakichanganyika na watu wengine huwa hawatuliii sababu hizi

1.waanamiini wao wana haki zaidi wengine hawana
Quran inasema waislam pekee ndo watu wasafi watu wasio waislam ni makfir hawataiona pepo.....hii huwafanya kujiona wao muhimu sana kuliko wasio waislam

2. Kamwe hawataki serikali ya kawaida
Waislam mara nyingi hupenda serikali iwe ya kiislam ndo wataridhika so nchi ikiwa na mchanganyikoa wa dini nyingi swala hili huwa gumu ..hapo wao haunza kulalamika inshort wataanza kusema wanaonewa watataka sharia law watataka watu wengine wafuate utamaduni wa kiislam hata kama sio waislam ...wakigoma malalamiko

3.uislam kamwe hauwezi kuishi na dini zingine
Popote pale ambapo uislam upo population ikawa 10% tu hapo fujo huoanza sababu kuu uislam hauruhusu kabisa waislam kuchanganyikana sana watu wasio waislam mfano kuna mistari kwenye quran inakataza waislam hata kula chakula kapika kafir.....kwa mantiki hii hata viongoz wasio waislam kwao huwa haram
... .......

Hayo nime andika machache tu ila hata nyerere angefanya nini uislam ni very complicated hawa watu hawa wao kwa wao katika nchi za kiislam bila mkono wa chuma ni ngumu kuwatawala ndo maana nchi za kiarabu ila mambo yaaende u dictator huwa solution...maaana quran ina mistari mingi ambayo inachocchea fujo na sio amani

Na la mwisho wahanga wakubwa wa uislam ni waislam wenyewe ....
Hili nalo neno.
 
Hakuna sehemu dunia waislam wakawe na dini nyingine wasilalamike ni hivi sababu kwanini popote dunia wakichanganyika na watu wengine huwa hawatuliii sababu hizi

1.waanamiini wao wana haki zaidi wengine hawana
Quran inasema waislam pekee ndo watu wasafi watu wasio waislam ni makfir hawataiona pepo.....hii huwafanya kujiona wao muhimu sana kuliko wasio waislam

2. Kamwe hawataki serikali ya kawaida
Waislam mara nyingi hupenda serikali iwe ya kiislam ndo wataridhika so nchi ikiwa na mchanganyikoa wa dini nyingi swala hili huwa gumu ..hapo wao haunza kulalamika inshort wataanza kusema wanaonewa watataka sharia law watataka watu wengine wafuate utamaduni wa kiislam hata kama sio waislam ...wakigoma malalamiko

3.uislam kamwe hauwezi kuishi na dini zingine
Popote pale ambapo uislam upo population ikawa 10% tu hapo fujo huoanza sababu kuu uislam hauruhusu kabisa waislam kuchanganyikana sana watu wasio waislam mfano kuna mistari kwenye quran inakataza waislam hata kula chakula kapika kafir.....kwa mantiki hii hata viongoz wasio waislam kwao huwa haram
... .......

Hayo nime andika machache tu ila hata nyerere angefanya nini uislam ni very complicated hawa watu hawa wao kwa wao katika nchi za kiislam bila mkono wa chuma ni ngumu kuwatawala ndo maana nchi za kiarabu ila mambo yaaende u dictator huwa solution...maaana quran ina mistari mingi ambayo inachocchea fujo na sio amani

Na la mwisho wahanga wakubwa wa uislam ni waislam wenyewe ....
Dini ya magaidi hii..
 
Heshima sana wana ukumbi,

Nimesoma maandiko mengi ya wanazuoni wa Kiislam ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakimtwisha zigo Mwl Nyerere kama muasisi wa mfumo Kristo.

Katika tafakari yangu ta leo nimejikuta nikishangaa na kusikitika kwa wakati mmoja.

Muasisi wa mfumo Kristo alitengeneza mfumo ambao wananchi 1.5 miliion wamepewa upendeleo wa nafasi 80 za ubunge!.

Sote tunafahamu kwamba wabunge wote wanatokea Zanzibar ni swala 5. Mwl Nyerere alitengeneza mfumo ambao wapiga kura laki tano wanawakilishwa na wabunge 80.

Huu mfumo Kristo hata siuelewi, labda wadadavuzi kutokea kulee Tandamti wanaweza kutupeleka darsa kidogo.
Mfumo kristo ni story za kufikirika za marehemu sheikh Ilunga na nduguye Moh Said.
 
Mfumo kristo ni story za kufikirika za marehemu sheikh Ilunga na nduguye Moh Said.
Ukimsikiliza Mohamed Said utafikiri ni mtu mwenye akili kumbe ujinga umemjaa kila mahali.

Fikiria kafikia hadi kulazimisha marehemu wa kikristo wa vita ya maji maji huko Songea eti walikuwa Waislam wakabatizwa kabla ya kunyongwa.Ukimdadisi zaidi anakimbilia maneno inasemekana,nimefanya mihadhara USA,German.........
 
Ukimsikiliza Mohamed Said utafikiri ni mtu mwenye akili kumbe ujinga umemjaa kila mahali.

Fikiria kafikia hadi kulazimisha marehemu wa kikristo wa vita ya maji maji huko Songea eti walikuwa Waislam wakabatizwa kabla ya kunyongwa.Ukimdadisi zaidi anakimbilia maneno inasemekana,nimefanya mihadhara USA,German.........
Kwenye histohisia zake alikuwa analalamika kuwa historia yote imejaa habari za Nyerere (as if Nyerere ndiye aliyekuwa analazimisha kutajwa au kuandikwa). Sasa hivi kuna ustaadhat pale ikulu, anasifiwa hata mvua ikinyesha. Ila Moh hana shida na hili kwa sababu ni ndugu katika imani.
 
Kati ya mambo ambayo huwa nayaharau mno, ni mambo ya Udini

Udini ni sumu ya maelendele
Ni sumu katika mstakabali wa uhai wa watu
Ni sumu Ni sumu Ni sumu

Nawaombea watu wote bila kujali dini zao, tushirikiane ili tujenge nchi yetu kwa umoja wetu, kwani tuko nyuma hatua milioni kuwafikia wenzetu waliotangulia katika kupiga hatua za maendeleo kwa nchi zao

Ukitaka kujua udini hauna maana na ni laana, Angalia Somalia, Nigeria, Na nchi nyingi nyingi tu huko duniani, wanawaza kuchinjana tu hakuna la maana

Jambo moja la msingi, Kiongozi yeyote anayepewa mamlaka ya juu Katika nchi yetu, ajitahidi sana kubalansi mambo ili kuondoa kabisa haya manung'uniko ya udini katika nafasi za uteuzi n.k

Iwapo watu wote tungelikuwa kama mimi, kwa mtazamo wangu, kwenye uteuzi, Rais angezingatia watu makini na wenye weredi bila kujali dini zao ili mradi wanakwenda kusaidi nchi yao basi, na wao wakaitenda kazi pasina kubagua na kutanguliza dini zao, mbona ingekuwa burudani kabisa
 
Kwenye nchi yoyote yenye dini tofauti tofauti population ya waislamu ikizidi 30 % tu. Lazima waislamu walete mizengwe.

Nigeria waislamu wanalalamika pia lawama hizo hizo.

Nguvu ambayo watoto wa kiislamu wanaitumia madrassa katika kusoma ki arabu na kukariri quran ingekuwa waislamu wanaitumia kuelewa mathematics na kukariri laws za physics wangezalisha ma engineer wengi sana na waislamu wangekuwa mbali sana kimaendeleo. Shida kusoma sayansi hawataki wanakomaa na kukariri vitabu vya waarabu ambavyo vinawarudisha nyuma na kuwafundisha chuki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom