Mtu Poa 2013
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 107
- 69
Jamani Nina shida na gari Nissan Serena. Anayeuza yake anistie PM. Nina sh 5M
Kama uko serious ninayo naiuza kwa bei hiyo nakupa, iko safi inatembeaJamani Nina shida na gari Nissan Serena. Anayeuza yake anistie PM. Nina sh 5M
mbon umeguna? Kulikoni? bi? auDuh aiseee
Hakuna Serena ya bei hiombon umeguna? Kulikoni? bi? au
Kama uko serious ninayo naiuza kwa bei hiyo nakuoa, iko safi inatembea
Tatizo usije nilegesha kama Soka. Kama uko serious njoo DM
Mimi ninayo ya bei hiyo na nadhani anaulizia used siyo kutoka madukani"..of course gari zetu ni used fromJapan. Mimo nasemea used ya hapaHakuna Serena ya bei hio
Hapo ulitaka kumaanisha nini ?Kama uko serious ninayo naiuza kwa bei hiyo nakuoa, iko safi inatembea
Tatizo usije nilegesha kama Soka. Kama uko serious njoo DM
SORRY NAKUPA SIYO KUOA. TYPOERR! IE kwa bei hiyo ya 5M nakupaHapo ulitaka kumaanisha nini ?
Jamani Nina shida na gari Nissan Serena. Anayeuza yake anistie PM. Nina sh 5M
ZinapatikanaWewe jamaa una utani gari ya mil 24 uipate kwa mil 5. Hata Raum hupati kwa hio bei
...nakupa...!o na p zipo jirani.😂😂😂Hapo ulitaka kumaanisha nini ?
Ampe ti kwani shida iko wapi, maisha yenyewe haya hayaeleweki. Tupeane raha tu tujue moja...nakupa...!o na p zipo jirani.😂😂😂
😀Hapo ulitaka kumaanisha nini ?