Mwenye Nissan Serena anicheki

Mnajuavmsinukuu vibaya. Mi siongelei us3d kuagiza tokea nje. Mi naongelea ambaye ameshaitumia bongo kaichoka aniuzie
 
Najua hata kwa hiyo sh 5m kama ntapata Nissan Serena lazima niweke bajeti ya sh 2m kurekebisha ma ubovu + sh 1m matairi mpya. Jumla itakuwa sh 8m. Sh 8m ni Bora kuliko ningeagiza Japan bei ingekuwa juu zaidi
 
Mmmmmh we jamaa unajua hiyo ni ndugu yake na Alphad mil 5 si ukanunue pikipiki mzee,cheap is expensive.
 
Back
Top Bottom