Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.

Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .

Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!

MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average

Nifanyaje kumsaidia
Umeelezea kijumlajumla sana mpaka hatuwezi kujua kama wewe ndiye una matatizo au ni huyo mtoto.

Ungeweka mifano hai tungeweza kuelewa zaidi.
 
Akishindwa huwa unatoa reaction gani au maneno gani huwa unamuambia

Vipi kama kila ukimuuliza kitu anahisi kama unataka kumpima na kumuhukumu kiasi cha yeye kupata hofu ya kujibu kwa uwezo wake halisi

Na je, umeshawahi kumpima intelligence yake kwenye mambo mengine maana unaweza kumkuta darasani au kwenye public speaking sio mzuri lakini akawa mzuri kwenye creative works kama graphics design, videography au chochote kile anachokipenda

Yawezekana shida ikawa kwake lakini ikawa kwako pia kwa kutafuta kitu unachokitaka kwa mwanao kuliko kile alichonacho..

Yawezekana ukawa disgraced nae kiasi cha kumuona ni useless ila kama hana health issues, ipo siku atakushangaza hususani akipata supportive system nzuri huko nje

Wale watu watakaomuelewa na kumkubali kwa uwezo alionao kuliko alichokikosa. Na hapo ndipo utajijua umekuwa failure kiasi gani kama mzazi licha ya kuwa na akili za kufaulu darasani
 
Nina kijana wa miaka 17.
Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija kuongea unaweza ukajiuliza ameongea wire ukiwa connected kwene switch au Laaah.

Shuleni ni average sana si mkia maksi zake 46,67,37,50,30 kifupi alipata division 3 .
Kinachonitatiza ni uwezo wa kufikiria na kuchanganua mambo mdogo. Maswali ya kawaida ya kutumia common sense hawezi !!
Ukimuelekeza kitu cha kawaida haelewi mara moja had urudie
Ni rahisi kuchanganya vitu na kusahau.
Kifupi anashindwa kujisimamia au kupambanua vitu vya kawaida vya uelewa wa kawaida .

Alafu sometimes anachanganya vitu havihusiani
Ukimuuliza swali anajibu jibu ambalo halina uhusiano na ulichomuuliza!

MIMI MZEE WAKE NIKO VIZURI!Sijui hata karithi kwa nani haya matatizo ,,,, shulen mm nilikua smart siyo sana lakin smart kiasi cha kumlizisha mzazi yyte yule average

Nifanyaje kumsaidia

Weka mifano ya unachosema. Maana umeeleza kuwa wewe una akili lakini umeonesha nawe ni kama yeye. Hujaweka hata mifano kadhaa nasi tujiridhishe usemacho sana sana umekuja kulalamika tu humu. Huyo mtoto inaonesha ni wako kabisa bila kuchakachuliwa. Na wewe inaonesha network not available.
 
Akishindwa huwa unatoa reaction gani au maneno gani huwa unamuambia

Vipi kama kila ukimuuliza kitu anahisi kama unataka kumpima na kumuhukumu kiasi cha yeye kupata hofu ya kujibu kwa uwezo wake halisi

Na je, umeshawahi kumpima intelligence yake kwenye mambo mengine maana unaweza kumkuta darasani au kwenye public speaking sio mzuri lakini akawa mzuri kwenye creative works kama graphics design, videography au chochote kile anachokipenda

Yawezekana shida ikawa kwake lakini ikawa kwako pia kwa kutafuta kitu unachokitaka kwa mwanao kuliko kile alichonacho..

Yawezekana ikawa disgraced nae kiasi cha kumuona ni useless ila kama hana health issues, ipo siku atakushangaza hususani akipata supportive system nzuri huko nje

Watu watakaomuelewa na kumkubali kwa uwezo alionao kuliko alichokikosa. Na hapo ndipo utajijua umekuwa failure kiasi gani kama mzazi licha ya kuwa na akili za kufaulu darasani
Kazi ni mvuvu sasa sijuagi ana talent gan??
uvivu inaweza kua talent
 
Ongea nae. Usikute kuna vitu vinamchanganya we haujui. Especially mambo ya mapenzi.

Na je, zamani enzi za shule ya msingi au wakati ana 10-15 years alikuaje?
mapenzi no hana hizo mambo hata kubalehe vizuri bado!!

zamani alikua muongo muongo vikatembea viboko had akaacha ila hilo la shule shida ipo tangu zamani !!
Ukikagua daftari lake lazima upate hasira

Mfano; kwene daftar amepata ila swali lile lile umpe afanye hawezi! hapo ndipo fimbo zilipoanza kuhusika
 
mapenzi no hana hizo mambo hata kubalehe vizuri bado!!

zamani alikua muongo muongo vikatembea viboko had akaacha ila hilo la shule shida ipo tangu zamani !!
Ukikagua daftari lake lazima upate hasira

Mfano; kwene daftar amepata ila swali lile lile umpe afanye hawezi! hapo ndipo fimbo zilipoanza kuhusika
Kuna kitu hakipo sawa kwenye ulezi wako kiongozi
 
Kumbe!! Kwa sentensi hii inaonyesha wazi akili karithi kwako au wewe hujamlea vizuri.

Umeshindwa kuelewa hoja yangu na kuichanganua
nimekuelewa sana mkuu naww nimekuuliza
Sehemu tunayokaa hamna watoto wa rika lake kwaiyo watoto wa rika lake anaonana nao shule. sasa unavosema namchanganya na werevu nawatoa wap

mtoto anaenda asubuhi anarudi jioni!
ungefafanua tu hapo tungeelewana
 
Back
Top Bottom