kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,977
Kijana mpuuzi sana Ndegesele na Jambo kwa shy ni hatari sana aiseee wako vizuri bila low profileJaribu kuficha uongo wako. Phantom na gaki ni watu wawili tofauti. Gaki investment ni ya mchaga anayeitwa GAsper KIleo. Kachuku ga na ki. Phantom ni ya shombeshombe pamoja na kuchanganya huko bado kuna vibopa kama jambo, ndegesela, fresho n. k. Halafu elewa siyo matajiri wote wanaopenda kujionyesha kama dar walivyo. Arusha kuna kaburu(kibo), sanje, abbas, moshi kuna zara, asante n. k