Mwananchi Mwanza; mtaa wenye mabilionea wengi kuliko hata Capripoint

Jaribu kuficha uongo wako. Phantom na gaki ni watu wawili tofauti. Gaki investment ni ya mchaga anayeitwa GAsper KIleo. Kachuku ga na ki. Phantom ni ya shombeshombe pamoja na kuchanganya huko bado kuna vibopa kama jambo, ndegesela, fresho n. k. Halafu elewa siyo matajiri wote wanaopenda kujionyesha kama dar walivyo. Arusha kuna kaburu(kibo), sanje, abbas, moshi kuna zara, asante n. k
Kijana mpuuzi sana Ndegesele na Jambo kwa shy ni hatari sana aiseee wako vizuri bila low profile
 
Acha kubwabwaja bwana mdogo....
Usibabaike na vi unga vya sembe wanavozalisha kina Fresho, Musoma Food na vidumu vya mafuta vya Jambo....
Wote hao hakuna alofikia level ya Bilionea.. Ingawa nyie mnawaabudu kishenz...

Haya twende... Gaki aliyumba kishenz lile li Ginery lake la Mhumbu alimuuzia Phantom mzee... Ulikua wapi wewe kujua haya.

Kidooogo ungenambia labda hayati Askofu Balina (ametumbua kishenz sadaka za RC pale)


Usilolijua ni usiku wa giza. Ginery iliyiuzwa ilikuwa ni ya kisumwa. Tafuta update za jambo leo hii na fresho. Jambo wa leo siyo yule aliyekuwa anategemea pamba. Jambo hategemei vituo vya mafuta. Zunguka kanda ya ziwa uone product zake zikoje masokoni
 
Duh mbona hii hosp ipo kitambo tangu nikiwa mdogo aiseee pamoja na kwamba ni mwenyeji wa mwanza kwenye mambo haya utanipiga chenga tu,kufatilia vitu hivi kazi kweli
Mwanza kumbe we sio mwenyeji sasa au itakuwa una miaka mingi bila kufika
 
Mwanza nzima tajiri wanaemtegemea ni Kishimba peke yake yule mwenye gorofa pale karibu na soko kuu upande wa juu kidogo karibu na dadadala (vipanya) vya kwenda Nyegezi.
Huyo ndio pekee aliyebaki baada ya Nyehunge kufariki kwa kugongwa na basi akiwa kwenye Basikeli.

Arusha nao walikua wanaemtegemea tajiri mmoja tuu... Yule bilionea alikufa kwenye ajali ya helikopter yake.

Tanga mji mzima wanaemtegemea B. W. Mkapa.

Shinyanga mji mzima wanawamtegemea watu watatu tuu Phantom, Gaki investment na Fresho kwisha habari...

Tabora nzima wanaemtegemea Mayor Hotel (mzee mnene kishenz hata kutembea kazi)

Bukoba nzima wanaemtegemea yule tajiri mwenye Kaizirege Secondary.

Morogoro nzima wanaemtegemea Abood.

Kifupi matajiri wa mikoani ni wa kuokoteza.

Njooni jijini Dar muone mapedeshee walivo jazana.


Dar ni wababishaji, wengi ni dizaini ya Clouds Media.....unga/sembe kwa wingi na kuchangia chama wakati wa uchaguzi.
 
Unapotaja matajiri wa Mwanza kwa haraka haraka watu wengi mawazo yao yanaenda Capri Point,lkn kuna mtaa wa Mwananchi ambao una matajiri wengi ambao wanapenda Low profile,mtaa huu uko pembeni ya stendi ya Buzuruga una mabilionea wanaokadiliwa kufika 54 na hivyo kuufanya kuwa moja ya mitaa michache sana yenye bilionares per sq km kubwa nchini.
Baadhi ya bilionea hao ni Fortes, waarabu wa Nyehunge, Ngassa, Mluga/mruga (ndg wa Gachuma) ,Baraka,Njiwa Pori, Lunara, CF builders, yusuph golds, Shilinde, (Zakaria, Midimu, Kitana, nk hawa wana nyumba zao Huko)
Now you know
Mkuu unafahamu maana ya bilionea?, tukitaja list hata ya tz tu hao watakuwepo?. Nadhan hufahamu ili mtu aitwe bilionea utajiri wake unapaswa kuanzia kiasi fulan. Labda uniambie ni list ya mamilionea wa mwanza not bilionea.
 
Back
Top Bottom