Ndiko nyapu iliko nadhamani, huko kwenu si mnahonga sukari tu nusu kilo tayari umepata nyapu, au kwenda kumsaidia kulima shambani.
Waaapi wewe new OrleansNani kakwambia mauza uza ya US yapo New York???
**** mji unaitwa new Orleans acha kabisa huko ni hatari
HAHAHA NANIHI ANATAKA KU CHAT NA WEWE MAZAFANTA HAHAHANilijiunga huko na kujitoa baada ya siku nne, wasomi wengi wanauza nyuch huko. Mbaya zaidi niliunstall app lkn meseji kupitia email yangu zinazidi kutililika eti nanihii anataka kuchati na wewe!!! Mazafak
Siku hizi madada inawachukua dakika45- 60 kuanzia kumjua mtu mpaka kuvuliwa chupi tena madada wenyewe ni wanafunzi wa Elimu ya juu! Chap chap services
Mimi sababu nina familia gharama za chipis siziwezi, ila usibeze mla chipsi Mlo mmoja wa Chips inagharimu huko kwenu ni mlo wa siku mzima wa familia, mfano: Chipsi mishikaki mitatu na soda moja chipsi mishikaki mitatu Tsh. 4500 +soda Tsh. 700 jumla Tsh.5200 chips nyama mbuzi nyama Tsh.4,000 + chipsi = na Tsh. 5500. Chipsi Tsh.3500 hadi 5500, Msibeze mla chipsi maana mlo wake wa siku kwangu ni siku mbili.Kumbe na wewe ni yule mwanaume wa Dar unaeshindia chips na kujidai NYAPU ghali!
Sio Ghali mzee ni kwamba dem anaona bora akupe kwa ghali maana unamchafua tuu... Njoo kwetu dem akiingia ataki kutoka.
Ila sio kwa silesi 2 za mkate na chips yai yenye tomato man... #Hahahaa
Kata kesho to utaona mataa halafu nyoosha moja kwa moja utaona bango la badoonaendaje huko??? nikajionee
Mbona rahisi tu mkuu, jiunge, andika jinsia ya watu unaowataka na miaka yao kwa uwiano,mfano kuanzia 18 hadi unayotaka mwenyewe, ruhusu huo mtandao usome eneo ulilopo ili ukuletee warembo walio karibu na wewe.
NJia ya kwanza rahisi ni kulike kila picha ya mrembo aliekuvutia, akilike back mnaweza chat na mkahamia kwenye whatsapp na meseji za kawaida baada ya kubadilishana namba za simu.
NJia ya pili unalipia kiasi flani kwa muda flani hapo unapewa haki ya kumtumia meseji yeyote unaemtaka, akijib mkachat mkakubaliana mnatoka kwenye mtandao mnahamia kitandani.
Huo siujui,ngoja niinstall sasa hivikuna mwanae na badoo anaitwa blendr nao ni hatari
Kama humuombi mwanaume hela you are not only wife material but also wife in demand!Katika maisha yangu, sijawahi kumuomba mwanamme hela, wadada Huko wapo kibiashara zaidi
Kwa hiyo unapigwa burebure na wanaume wako wote?? Njoo PM maana wanawake kama nyie ndio tunaowatakaKatika maisha yangu, sijawahi kumuomba mwanamme hela, wadada Huko wapo kibiashara zaidi