The Messenger
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 1,523
- 809
Ivi Dar kuna nini maana mitandao yote kila dem yuko Dar...ukitaka kujua janga hili lipo wapi utaambiwa dar ni hataree sana jij hili,?
Ivi Dar kuna nini maana mitandao yote kila dem yuko Dar...ukitaka kujua janga hili lipo wapi utaambiwa dar ni hataree sana jij hili,?
mimi nina miaka miwili nipo huko mbona sijaona hao malaya,haiwezekani mtu unachokoza watu huko alafu ukiombwa hela unakimbilia huku kulalamika,yaani hawezi kukuomba kama hakuna series flan ya maongezi.Jamani kuna mtandao unaitwa badoo,yani huko kuna malaya wa kutupwa,siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu,wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile.
Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana,nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana,yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.
Niinbox namba yako ntakupigia nikuelekezeUnapataje demu?mi nimejiunga lakini sijui jinsi ya kuwapata.halafu kuna kulipia lakini kwa Ksh
Jichunguze sana,kama hupati demu huko,sasa kule kuna nini zaidi ya kuchati na unknown person?mimi nina miaka miwili nipo huko mbona sijaona hao malaya,haiwezekani mtu unachokoza watu huko alafu ukiombwa hela unakimbilia huku kulalamika,yaani hawezi kukuomba kama hakuna series flan ya maongezi.
Mkuu mimi nimejiunga mda mrefu sana hila sijawai kukutana hayo mazali,embu nielekeze ili nipunguze kupigwa vizinga.Niinbox namba yako ntakupigia nikuelekeze
Nani kakwambia mauza uza ya US yapo New York???
**** mji unaitwa new Orleans acha kabisa huko ni hatari
Jamani kuna mtandao unaitwa badoo,yani huko kuna malaya wa kutupwa,siku hizi ukitaka msichana wa fasta we jiunge huko tu,wamezagaaa kama siafu ila kuna kamtimdo wadada wa huko wamebuni kama wanaambizana vile.
Ukichati nae tu kidogo utasikia,"naomba niazime 30000 nina shida sana,nitakurudishia ndani ya wiki moja".
Sasa mtu unajiuliza" namkopeshaje fedha mtu ambae sijawahi hata kumuona? Haaahaaa hiyo ndio hatari ya badoo bwana,yani ukikataliwa badoo basi wewe jichunguze una matatizo gani.