Mwakyembe amtaja waziwazi Rostam Aziz!

Sikonge bwana acha utani wenzako tuna machungu ati.
Salimia wenzako wote, muliolelewa na mzee SHEDI NA MSASA PALE MAZENGO COMPLEX.
 
Hahahaaaa, daaa, mkuuu!!! Mzee Shedi wa Mazengo na Mzee Chonya. Wale wazee walinilisha miaka 4. Daahh, heshima sana kwao.

Unajua nilitaka kuzima kabisa ili mtu asije na maneno ya "Mnamshambulia kwa sababu ni Muislaam......" na ukiangalia walioshika bango, wengi ni Wakristo. Nikasema "ngoja nirushe kabisa risasi....."

Tukiwa jeshini, kama mmetoroka na hamna uhakika kama karibu kuna Afande, basi mkienda mnasalimia "Jambo Afande......" Ukisikia kimya unajua hamna mtu. Ukisikia JAMBO, wewe mbiyoooo....... Hivyo, hiyo ilikuwa ni zaidi ya UTANI.....
Sikonge bwana acha utani wenzako tuna machungu ati.
Salimia wenzako wote, muliolelewa na mzee SHEDI NA MSASA PALE MAZENGO COMPLEX.
 
Mnamwandama Rostam Azziz kwa sababu ni Mu-Islaam.

Shame on you Wakristo mkiongozwa na Mwakyembe, Samuel Sitta, Slaa, Mbowe, Lema, na genge zima la Wakristo. Mwataka wengine wale wapi?

Nakuunga mkono 100% mkuu Sikonge!!
 
Mbona anajulikana kitambo?....kuna asiyejua kuhusika kwa Rostam ktk Dowans? What's the way forward?...au basi wanamshinikiza vp yeye (Rostam et al) au JK kuacha kutupora hela yetu?
 
RA ni paka na jk na serikali yake ni panya tu, je ninani ataanza kumfunga huyu paka kengere?
 
Sikonge bwana acha utani wenzako tuna machungu ati.
Salimia wenzako wote, muliolelewa na mzee SHEDI NA MSASA PALE MAZENGO COMPLEX.

Kumbe Sikonge nae pia alipita Mazengo Complex!!! ebwana eeh!!! sie tulipita enzi za Mnenuka, Peter Jones yule muingereza aliekuwa akifundisha hesabu, na enzi za unyama unyama yule mwalimu mnoko sana. Them days man! can forget.
 
Nakuunga mkono 100% mkuu Sikonge!!

Kwani Rostam ni muislamu?. Mimi nilimsikia swahiba wake Salva Rweymam akisema kama yule jamaa si Muislamu ila anafuata dini moja huko Iran. Ila ufisadi hauna dini bwana. Infact uislamu umetaja ufisadi kwa jina na kutahadharisha watu wasifanye ufisadi kayika ardhi. Kama ilivyokuja katika Suurat Al Baqra...'' Walaa tufsiduu fil Ardh....''
Shkh Yahya.
 
hana lolote Mwakyembe...mi sijamuona kama kuna la maana analoongea kama anakerwa na haya why sasa anaendelea kuwa miongoni mwao huko CCM...
ulitaka afanye je sasa? kukimbia chama sio suluhisho la matatizo, tatizo likija unapaswa ulikabili na ndivyo anavyofanya Mwakyembe...
Bravo Mwakyembe
 
Mwalimu Mnoko yupi huyo? Mie nilikuwepo enzi hizo Adolf Kondo akisoma na akahama kutoka kuchezea CDA na kwenda Simba. Mwalimu Mnoko alikuwa Dungu na baba yao ni Msasa. Ila kuna huyo tuliambiwa alikuwepo kabla ya Msasa akiitwa Dudu (mmasai sijui) ila familia yake walikuwepo bado pale Mazengo. Dudu alikuwa kaandikwa kila sehemu watu wakimtukana, hahahaaaa.......

Enzi zetu HM alikuwa Mzee Aseri na baadaye akaja Mkoba. Niliondoka bweni la Mwongozo na hadi leo sijakanyaga pale tena. Nina hamu sana kupita kuangalia sehemu niliyoishi mbali na familia kwa mara ya kwanza.

Ningeliweza basi ningelijenga Chuo Kikuu kingine na kuwapa hao Anglican na Mazengo ikarudi. Inakuwa kama kipande cha historia yangu wamekinyofoa.
Kumbe Sikonge nae pia alipita Mazengo Complex!!! ebwana eeh!!! sie tulipita enzi za Mnenuka, Peter Jones yule muingereza aliekuwa akifundisha hesabu, na enzi za unyama unyama yule mwalimu mnoko sana. Them days man! can forget.
 
Excellent Mwakyembe, walikuweka uwaziri wakufunge mdomo, walijua wamekubana
they failed, now i recognize openly why Dr. Slaa is ur close friend, hata during campaign
alikupigia wazi wazi, huu ni uzalendo wa hali ya juu, wish you bright future days ahead
Mwakyembe
 
Kwani Rostam ni muislamu?. Mimi nilimsikia swahiba wake Salva Rweymam akisema kama yule jamaa si Muislamu ila anafuata dini moja huko Iran. Ila ufisadi hauna dini bwana. Infact uislamu umetaja ufisadi kwa jina na kutahadharisha watu wasifanye ufisadi kayika ardhi. Kama ilivyokuja katika Suurat Al Baqra...'' Walaa tufsiduu fil Ardh....''
Shkh Yahya.
............ anaabudu moja ya dini kale za kipagani za jamii ya kiajemi ! inaitwa "Zoroastrianism"
 
Kumbe Sikonge nae pia alipita Mazengo Complex!!! ebwana eeh!!! sie tulipita enzi za Mnenuka, Peter Jones yule muingereza aliekuwa akifundisha hesabu, na enzi za unyama unyama yule mwalimu mnoko sana. Them days man! can forget.

Ya unyama duuu. umenirudisha kitambo kweli. Itakuwa hata kipatko unamjua, teh teh.
Please usiwaseme vibaya wale wanoko, wengine ni wanaJF.
 
Mwalimu Mnoko yupi huyo? Mie nilikuwepo enzi hizo Adolf Kondo akisoma na akahama kutoka kuchezea CDA na kwenda Simba. Mwalimu Mnoko alikuwa Dungu na baba yao ni Msasa. Ila kuna huyo tuliambiwa alikuwepo kabla ya Msasa akiitwa Dudu (mmasai sijui) ila familia yake walikuwepo bado pale Mazengo. Dudu alikuwa kaandikwa kila sehemu watu wakimtukana, hahahaaaa.......

Enzi zetu HM alikuwa Mzee Aseri na baadaye akaja Mkoba. Niliondoka bweni la Mwongozo na hadi leo sijakanyaga pale tena. Nina hamu sana kupita kuangalia sehemu niliyoishi mbali na familia kwa mara ya kwanza.

Ningeliweza basi ningelijenga Chuo Kikuu kingine na kuwapa hao Anglican na Mazengo ikarudi. Inakuwa kama kipande cha historia yangu wamekinyofoa.

Mimi nilitelekeza cheti changu kwa muda mrefu. Nilivyoenda kuchukua nikakuta jamaa wananiambia nenda kafuate DOM SEC. Du ikawa balaa tena kufunga safari mpaka town.
 
Mnamwandama Rostam Azziz kwa sababu ni Mu-Islaam.

Shame on you Wakristo mkiongozwa na Mwakyembe, Samuel Sitta, Slaa, Mbowe, Lema, na genge zima la Wakristo. Mwataka wengine wale wapi?

Tatizo hilo genge la wakristo wanatengeneza Richmond lingine, wakishirikiana na mwakyembe, sitta, William Mhando, William Ngeleja siyo kwamba wanauchungu na deal lenyewe ila kwakuwa hawkupewa mgao vizuri
Ngoja wapte mgao watatulia, wameanza kutulia..Uwaziri, unaibu si haba..
 
Back
Top Bottom