Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,181
- 4,660
Ishu kubwa jamaa anaonekana kwenye jamii kama mtu mwenye uchungu na rasilimali za umma.
Ndo maana hata raia wa kawaida wanamtakia awe kiongozi wao. Hata 2025 atashinda urais ikiwa hakutakuwa na wizi wa kura.
Dp world ilishamchafua Rais Samia.
Ndo maana hata raia wa kawaida wanamtakia awe kiongozi wao. Hata 2025 atashinda urais ikiwa hakutakuwa na wizi wa kura.
Dp world ilishamchafua Rais Samia.