Muelekeo wa Ushindani ulivyo sasa kati ya Jubilee na NASA baada ya kufanya kikao na IEBC

ecolizer baba

Member
Sep 29, 2010
88
310
Wadau nawasalimu asubuhi njema kama ya leo.


Jana IEBC ilifanya kikao cha pamoja na vyama vya Jubilee na Muungano wa NASA.


Baada ya kile kikao pande zote tatu zilizungumza kama ifuatavyo:


JUBILEE:


1. Walidai kuwa wanaridhishwa na jinsia maandalizi ya Uchaguzi yanayofanywa na IEBC yanaenda.


2. Hawana Minimum Demands wala Irreducible minimum Demands toka kwa IEBC.

3. Kwa sasa wanaelekeza nguvu zao zote kwenye kampeni kwa siku zilizosalia na hawategemei tena kufika IEBC hadi baada ya Uchaguzi wa tarehe 26.

NASA:

NASA walienda IEBC wakiongozwa na Raila Odinga huku vinara wengine wa muungano huo wakiwa wapo pia pamoja na wanasheria wao.

1. Hakuna jambo lolote kwenye irreducible Minimus lililotimizwa na IEBC.

2. Wataendelea na Maandamano yao ya kudai matakwa yao yatimizwe na IEBC.

3. Bado wataendelea kushinikiza Kampuni ya Safran Morpho na Safaricom kutopewa tenda ya kushughulika na Uchaguzi.

IEBC:

IEBC wakiongozwa na Wafula Chebukati:

1. Matakwa mengi ya NASA yameshatimizwa.

2. Safran Morpho na Safaricom na Alguhair wataendelea kuhusika na Uchaguzi huu.


Sasa baada ya yote hayo the cards are clear now. Ni kwamba kwa hali inavyokwenda kwa sasa ni wazi kuwa Uhuru Kenyatta ana nafasi kubwa ya kushinda. Kwanza wao wameshasema kuwa hawawadai IEBC jambo lolote. Huu ni mwiba mchungu kwa NASA kwa sababu wananchi na jumuiya za kimataifa watajua kuwa mwenye shida sasa ni NASA na wala siyo Jubilee wala IEBC.

Ushauri wangu kwa Raila na NASA wenzake ni kwamba kwa muda huu uliobaki waekekeze nguvu zao kukamilisha kwenye kampeni kuliko kufanya maandamano na press conference kuongelea mambo yale yale ambayo vyovyote iwavyo Uchaguzi upo pale pale.

Asanteni sana.
 
What NASA are doing is completely right coz if the same factors that led to the nullification of the August 8 elections are still upheld how on earth do u expect to win the rerun ??

Eti wazungu wameshaona NASA ndio wabaya??? Funny! Mbona last tym walsema election process was credible ila mwisho wa siku korti ikasema uchaguzi ulikuwa Null and void so to hell with wazungu
 
Kuwa mfuasi wa jubilee ni kitu stress free. Maamuzi ya ngazi za juu kwenye chama ni yale yale ya wananchi mashinani. Tupatane tarehe 26 Oktoba!
 
Akili za kusema Wazungu wataona hivi aliekuambia wazungu wana msaada na mambo ya hapo Afrika ni nani?
 
Wadau nawasalimu asubuhi njema kama ya leo.


Jana IEBC ilifanya kikao cha pamoja na vyama vya Jubilee na Muungano wa NASA.


Baada ya kile kikao pande zote tatu zilizungumza kama ifuatavyo:


JUBILEE:


1. Walidai kuwa wanaridhishwa na jinsia maandalizi ya Uchaguzi yanayofanywa na IEBC yanaenda.


2. Hawana Minimum Demands wala Irreducible minimum Demands toka kwa IEBC.

3. Kwa sasa wanaelekeza nguvu zao zote kwenye kampeni kwa siku zilizosalia na hawategemei tena kufika IEBC hadi baada ya Uchaguzi wa tarehe 26.

NASA:

NASA walienda IEBC wakiongozwa na Raila Odinga huku vinara wengine wa muungano huo wakiwa wapo pia pamoja na wanasheria wao.

1. Hakuna jambo lolote kwenye irreducible Minimus lililotimizwa na IEBC.

2. Wataendelea na Maandamano yao ya kudai matakwa yao yatimizwe na IEBC.

3. Bado wataendelea kushinikiza Kampuni ya Safran Morpho na Safaricom kutopewa tenda ya kushughulika na Uchaguzi.

IEBC:

IEBC wakiongozwa na Wafula Chebukati:

1. Matakwa mengi ya NASA yameshatimizwa.

2. Safran Morpho na Safaricom na Alguhair wataendelea kuhusika na Uchaguzi huu.


Sasa baada ya yote hayo the cards are clear now. Ni kwamba kwa hali inavyokwenda kwa sasa ni wazi kuwa Uhuru Kenyatta ana nafasi kubwa ya kushinda. Kwanza wao wameshasema kuwa hawawadai IEBC jambo lolote. Huu ni mwiba mchungu kwa NASA kwa sababu wananchi na jumuiya za kimataifa watajua kuwa mwenye shida sasa ni NASA na wala siyo Jubilee wala IEBC.

Ushauri wangu kwa Raila na NASA wenzake ni kwamba kwa muda huu uliobaki waekekeze nguvu zao kukamilisha kwenye kampeni kuliko kufanya maandamano na press conference kuongelea mambo yale yale ambayo vyovyote iwavyo Uchaguzi upo pale pale.

Asanteni sana.
Ai wishi ai wozi ani aijipii
 
Ningewashangaa NASA kukubali dubwana lile lile lililohukumiwa kuharibu uchaguzi linapewa kazi ile ile
 
Back
Top Bottom